econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Chadema awana akili kabisa [emoji2957][emoji2957]
Wewe una akili gani? Unashindwa kuandika hata neno hawana. Awana ndio mdudu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema awana akili kabisa [emoji2957][emoji2957]
Mwaka huu mpaka Chadema ikuzalisheNi Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Baada ya chadema na dj wao kubuma.....[emoji1787][emoji1787]kama namwona kiroho kinavyo kwenda mbio cha mjambiani mpumbavu kwa mbali anapiga jicho kuwa chungulia chadema wanavyo galagazwa na mzimu wa marehemu tunamsubiri Muisiharamu samia tumpige na mayai viza.[emoji1787][emoji1787]Sawa kada wa ccm kunywa maji ,kakojoe , ukalale
Laana alijipa Mwenyewe kujifananisha na MUNGU kafa huku anachekaChadema wana laana kubwa sana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Hapo ndo penye mkanganyiko mkubwa.Chadema wana laana kubwa sana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Watu wanaweza kuudhuria siyo kwa kuikubali chadema ...ukweli chadema ni kama matapishi kwa watz walio wengi ...chadema kimekuwa chama cha wapuuzi ...walamba makalio ya mabeberuSiku ya mkutano utazima data.
Muitikio ni mkubwa ndiyomaana hata wewe umetoka huko ulipotoka na kwenda mwanza kufatilia mkutano wa chadema kama ulivyosema.
Umesahau mkuu hata hao nzi wa kijani walishangiliaChadema wana laana kubwa sana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Wapumbavu sana hao kenge ....wanadhani wananchi tumezinya akili kama wao walamba asaliNalaana hiyo itawapoteza kabisa kwenye siasa za Tanzania mbaka akili zitakapo warudi.
Magufuli hapaswi kubezwa na watu wenye akili.
Kibaya zaidi viongozi wao wamelamba asali wanauona ukweli lakini wanashindwa kuwazuia chawa wao kulopokalopoka mambo ya hovyo.
Umeumwa sana moyo chadema haukutoki mdomoni uchawa unakuumiza. Kunywa sumuUmesahau mkuu hata hao nzi wa kijani walishangilia
Bitter truthCHADEMA mna wakati mgumu Sana kunadi será zenú.
Mnamsema vibaya Magufuli huku wananchi tukimwona ndiyo alikuwa mkombozi wetu.
Hata CCM wameruhusu mikiutano wajue mtaongea nini. Tena huko mwanza msije mkansema vibaya magufuli.
Nasubiri Kwa hamu nione agenda zenú, ila kumbukeni bila kuwa mlengo wa magufuli mtapata tabu Sana
View attachment 2489420
CHADEMA ni Brand KUBWA haina sababu ya Kumsifia Shetani mpiga Risasi Mbambikiaji Kesi za Ugaidi mauaji na Uhujumu uchumiCHADEMA mna wakati mgumu Sana kunadi será zenú.
Mnamsema vibaya Magufuli huku wananchi tukimwona ndiyo alikuwa mkombozi wetu.
Hata CCM wameruhusu mikiutano wajue mtaongea nini. Tena huko mwanza msije mkansema vibaya magufuli.
Nasubiri Kwa hamu nione agenda zenú, ila kumbukeni bila kuwa mlengo wa magufuli mtapata tabu Sana
View attachment 2489420
Endelea kuropoka, akili kubwa tunajua mtego ulipo Kwa CHADEMACHADEMA ni Brand KUBWA haina sababu ya Kumsifia Shetani mpiga Risasi Mbambikiaji Kesi za Ugaidi mauaji na Uhujumu uchumi
H ah aha hatari tupuWapo mtegoni , wamponde Marehemu wakose watu/kura Kanda ya ziwa au wamsifie Mama Samia mshindani wao 2025, Mama alietoa demokrasia na ndio wameweza kuitisha mkutano Mwanza. Kazi kwao na Chama Chao.