CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

Mimi kama mjasiliamali wa kuprinti tisheti nimeanza kupokea order za kuprint tisheti zenye picha ya hayati Magufuli zitazovaliwa siku ya mkutano mkubwa wa Chadema pale jijini Mwanza.

Mtu mmoja aliyenipa order aliuliza.....
Tisheti za JPM zinauzwa wapi, ndio za kuvaa nyakati hizi za mikutano sasa, bila kujali upo mkutano gani, no matter what kuna ujumbe utapenya... tena wenye nguvu... usiobezeka..

Njooni Mwanza tuwalie hela zenu na mtueleze kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli, na mtueleze pia kwa nini watoto wa Mbowe ,Lisu na Lema ni raia wa Marekani.

Niko hapa naprint za kutosha

Unaumwa Sana. Mkutano wa CHADEMA unakuuma unatamani kujinyonga. Pole Sana.
 
Nimepewa taarifa hawa wavaa combat feki wanakutana na zomea zomea toka waendee Mwanza

Wanapita mitaani na mawani yao makubwa wanapanua vidole viwili wananchi wanawajibu kwa kuwazomea

Hii aibu imefanya CHADEMA kuita viongozi wa umoja fulani wa watu waishio Mwanza kutoka kule mkoa fulani wawashawishi ili kuhudhuria mkutano

Pia machinga wanapewa tisheti za bure kama watahudhuria mkutano

Pia kuna malori yameandaliwa kutoka Mara kusomba watu kwenda kufuta aibu

Hii aibu wanayopata CHADEMA sijaishuhudia toka waanze siasa
Aibu yako!
 
Chadema hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani

Ndio unaongea nini hicho?. Kweli wewe sio mzima.
 
Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Aibu yako chawa!
Aibu yako mjane wa shetani Magufuli!
 
Nimepewa taarifa hawa wavaa combat feki wanakutana na zomea zomea toka waendee Mwanza

Wanapita mitaani na mawani yao makubwa wanapanua vidole viwili wananchi wanawajibu kwa kuwazomea

Hii aibu imefanya CHADEMA kuita viongozi wa umoja fulani wa watu waishio Mwanza kutoka kule mkoa fulani wawashawishi ili kuhudhuria mkutano

Pia machinga wanapewa tisheti za bure kama watahudhuria mkutano

Pia kuna malori yameandaliwa kutoka Mara kusomba watu kwenda kufuta aibu

Hii aibu wanayopata CHADEMA sijaishuhudia toka waanze siasa
Wewe dada unaishi vp na majirani zako? mbona una nongwa sana
 
Nimepewa taarifa hawa wavaa combat feki wanakutana na zomea zomea toka waendee Mwanza

Wanapita mitaani na mawani yao makubwa wanapanua vidole viwili wananchi wanawajibu kwa kuwazomea

Hii aibu imefanya CHADEMA kuita viongozi wa umoja fulani wa watu waishio Mwanza kutoka kule mkoa fulani wawashawishi ili kuhudhuria mkutano

Pia machinga wanapewa tisheti za bure kama watahudhuria mkutano

Pia kuna malori yameandaliwa kutoka Mara kusomba watu kwenda kufuta aibu

Hii aibu wanayopata CHADEMA sijaishuhudia toka waanze siasa
Umeandika hisia zako, na vile hujaweka video, unaonekana wewe ni hater tu. Haters are the greatest failures
 
Nimepewa taarifa hawa wavaa combat feki wanakutana na zomea zomea toka waendee Mwanza

Wanapita mitaani na mawani yao makubwa wanapanua vidole viwili wananchi wanawajibu kwa kuwazomea

Hii aibu imefanya CHADEMA kuita viongozi wa umoja fulani wa watu waishio Mwanza kutoka kule mkoa fulani wawashawishi ili kuhudhuria mkutano

Pia machinga wanapewa tisheti za bure kama watahudhuria mkutano

Pia kuna malori yameandaliwa kutoka Mara kusomba watu kwenda kufuta aibu

Hii aibu wanayopata CHADEMA sijaishuhudia toka waanze siasa
Acha uongo...mimi nipo buzuruga hapa mataa wamepita na vibe kubwa tuu....acha uongo
 
Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Chadema na ccm ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Nimepewa taarifa hawa wavaa combat feki wanakutana na zomea zomea toka waendee Mwanza

Wanapita mitaani na mawani yao makubwa wanapanua vidole viwili wananchi wanawajibu kwa kuwazomea

Hii aibu imefanya CHADEMA kuita viongozi wa umoja fulani wa watu waishio Mwanza kutoka kule mkoa fulani wawashawishi ili kuhudhuria mkutano

Pia machinga wanapewa tisheti za bure kama watahudhuria mkutano

Pia kuna malori yameandaliwa kutoka Mara kusomba watu kwenda kufuta aibu

Hii aibu wanayopata CHADEMA sijaishuhudia toka waanze siasa
Mwaka huu mpaka CHADEMA ikuzalishe mtoto wa kike
 
Back
Top Bottom