econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Sawa, alafu msisahau kumakejeli huyo mnaemuita muuwaji.
Usipangie watu Cha kuongea. Kama ulikuwa unamlamba miguu yule dhalimu Ni wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, alafu msisahau kumakejeli huyo mnaemuita muuwaji.
Sawa, kesho msije mkapiga vichwa tu namikono ilimuonekane wengi.
Mwishoe mtatajana tu!! Time will tel
Wote watakipata cha moto
Mtasema yote Hadi 2025
Mimi kama mjasiliamali wa kuprinti tisheti nimeanza kupokea order za kuprint tisheti zenye picha ya hayati Magufuli zitazovaliwa siku ya mkutano mkubwa wa Chadema pale jijini Mwanza.
Mtu mmoja aliyenipa order aliuliza.....
Tisheti za JPM zinauzwa wapi, ndio za kuvaa nyakati hizi za mikutano sasa, bila kujali upo mkutano gani, no matter what kuna ujumbe utapenya... tena wenye nguvu... usiobezeka..
Njooni Mwanza tuwalie hela zenu na mtueleze kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli, na mtueleze pia kwa nini watoto wa Mbowe ,Lisu na Lema ni raia wa Marekani.
Niko hapa naprint za kutosha
Aibu yako!Nimepewa taarifa hawa wavaa combat feki wanakutana na zomea zomea toka waendee Mwanza
Wanapita mitaani na mawani yao makubwa wanapanua vidole viwili wananchi wanawajibu kwa kuwazomea
Hii aibu imefanya CHADEMA kuita viongozi wa umoja fulani wa watu waishio Mwanza kutoka kule mkoa fulani wawashawishi ili kuhudhuria mkutano
Pia machinga wanapewa tisheti za bure kama watahudhuria mkutano
Pia kuna malori yameandaliwa kutoka Mara kusomba watu kwenda kufuta aibu
Hii aibu wanayopata CHADEMA sijaishuhudia toka waanze siasa
Chadema hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani
Tunataka tuwaonyeshe
Vp kama chadema ikikosa watu kwenye huo mkutano, ww utakosa posho hapo Lumumba???Wewe ulitakaje?
Aibu yako chawa!Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Wewe dada unaishi vp na majirani zako? mbona una nongwa sanaNimepewa taarifa hawa wavaa combat feki wanakutana na zomea zomea toka waendee Mwanza
Wanapita mitaani na mawani yao makubwa wanapanua vidole viwili wananchi wanawajibu kwa kuwazomea
Hii aibu imefanya CHADEMA kuita viongozi wa umoja fulani wa watu waishio Mwanza kutoka kule mkoa fulani wawashawishi ili kuhudhuria mkutano
Pia machinga wanapewa tisheti za bure kama watahudhuria mkutano
Pia kuna malori yameandaliwa kutoka Mara kusomba watu kwenda kufuta aibu
Hii aibu wanayopata CHADEMA sijaishuhudia toka waanze siasa
Umeandika hisia zako, na vile hujaweka video, unaonekana wewe ni hater tu. Haters are the greatest failuresNimepewa taarifa hawa wavaa combat feki wanakutana na zomea zomea toka waendee Mwanza
Wanapita mitaani na mawani yao makubwa wanapanua vidole viwili wananchi wanawajibu kwa kuwazomea
Hii aibu imefanya CHADEMA kuita viongozi wa umoja fulani wa watu waishio Mwanza kutoka kule mkoa fulani wawashawishi ili kuhudhuria mkutano
Pia machinga wanapewa tisheti za bure kama watahudhuria mkutano
Pia kuna malori yameandaliwa kutoka Mara kusomba watu kwenda kufuta aibu
Hii aibu wanayopata CHADEMA sijaishuhudia toka waanze siasa
Mwanaume mzima mmbea unaambiwa ujinga na mjinga, na wewe unakuja hapa kuandika ujinga wa kuambiwaNimepewa taarifa
Acha uongo...mimi nipo buzuruga hapa mataa wamepita na vibe kubwa tuu....acha uongoNimepewa taarifa hawa wavaa combat feki wanakutana na zomea zomea toka waendee Mwanza
Wanapita mitaani na mawani yao makubwa wanapanua vidole viwili wananchi wanawajibu kwa kuwazomea
Hii aibu imefanya CHADEMA kuita viongozi wa umoja fulani wa watu waishio Mwanza kutoka kule mkoa fulani wawashawishi ili kuhudhuria mkutano
Pia machinga wanapewa tisheti za bure kama watahudhuria mkutano
Pia kuna malori yameandaliwa kutoka Mara kusomba watu kwenda kufuta aibu
Hii aibu wanayopata CHADEMA sijaishuhudia toka waanze siasa
Chadema na ccm ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Mwaka huu mpaka CHADEMA ikuzalishe mtoto wa kikeNimepewa taarifa hawa wavaa combat feki wanakutana na zomea zomea toka waendee Mwanza
Wanapita mitaani na mawani yao makubwa wanapanua vidole viwili wananchi wanawajibu kwa kuwazomea
Hii aibu imefanya CHADEMA kuita viongozi wa umoja fulani wa watu waishio Mwanza kutoka kule mkoa fulani wawashawishi ili kuhudhuria mkutano
Pia machinga wanapewa tisheti za bure kama watahudhuria mkutano
Pia kuna malori yameandaliwa kutoka Mara kusomba watu kwenda kufuta aibu
Hii aibu wanayopata CHADEMA sijaishuhudia toka waanze siasa