CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

Hawa bila shaka walikuwa mikono ya marehemu ya kutekelezea uove. Wanapatwa na maluweluwe ya kukamatwa siku moja. Wanaishi katika woga mkubwa. Wakisikia tu Kalemani jatolewa uwaziri, tayari hofu inapanda kuwa labda mwondoa CCTV za uovu anaandaliwa barabara ya kufikishwa kwenye vyombo vya haki.
🤣🤣🤣wanahofu kubwa sana
 
Mkutano lini, unafanyika wapi na saa ngapi? Nitapita hapo kula madini niliyo yamisi
 
Yuko Mwanza wapi? Unaamini yuko Mwanza? Hawa ni wapumbavu amabo wakisha milij smart phone wamemaliza kila kitu, ila Wazazi wao wana life la choka mbata huko bushi linalo sababishwa na hawa hawa CCM
Tuliza kichwa chako dogo kesho sio mbali, hebu edit kwanza maandishi yako sababu hata kuanzika hujui.
 
Chama hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani
Chama cha Mambuzi mnaandika uongo kujidanganya wenyewe kisha mnafurahia, nadhani hata sokwe wanaweza kuwa na IQ kubwa kuliko nyie

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nipo na mishe zangu, siwezi kwenda sababu ya huo ujinga wenu.
Ukiitwa mjinga utachukia! Maana unaandika ujinga. Thread umeanzisha wewe na kusema umeenda Mwanza kufuatilia pia mkutano, sasa unaandika upoloto huu tena?
Wakati mwingine bora kufuga mbuzi utamla supu kuliko kuwa na mifugo aina yako

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
nmepita hapoo watu wanauliza, wanakuja kugawa mahindi ya chakula??
 
Unafurahi ili? Halafy unakuta mtu kama wewe wazazi wako wana life choka mbaya sana huko Bushi, ila uko town una kenua meno tu, ujinga wa watu kama nyie ni mtaji mkubwa sana kwa CCM.Fake ID zinasaidia sana la sivyo
Hakuna Bush wala Biden, tulia hivyohivyo uone aibu inayoenda kutokea
 
Ukiitwa mjinga utachukia! Maana unaandika ujinga. Thread umeanzisha wewe na kusema umeenda Mwanza kufuatilia pia mkutano, sasa unaandika upoloto huu tena?
Wakati mwingine bora kufuga mbuzi utamla supu kuliko kuwa na mifugo aina yako

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Povu lote la nini hili? Nimekutana na nyoka njiani nimepiga kichwani, kosa langu nn? Kwani nilipanga kukutana na nyoka?

Note: cdm ni kama nyoka
 
Nimepewa taarifa hawa wavaa combat feki wanakutana na zomea zomea toka waendee Mwanza

Wanapita mitaani na mawani yao makubwa wanapanua vidole viwili wananchi wanawajibu kwa kuwazomea

Hii aibu imefanya CHADEMA kuita viongozi wa umoja fulani wa watu waishio Mwanza kutoka kule mkoa fulani wawashawishi ili kuhudhuria mkutano

Pia machinga wanapewa tisheti za bure kama watahudhuria mkutano

Pia kuna malori yameandaliwa kutoka Mara kusomba watu kwenda kufuta aibu

Hii aibu wanayopata CHADEMA sijaishuhudia toka waanze siasa
 
Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Unaweweseka tu, hata nyie chawa tunawakaribisha sana
 
Mimi kama mjasiliamali wa kuprinti tisheti nimeanza kupokea order za kuprint tisheti zenye picha ya hayati Magufuli zitazovaliwa siku ya mkutano mkubwa wa Chadema pale jijini Mwanza.

Mtu mmoja aliyenipa order aliuliza.....
Tisheti za JPM zinauzwa wapi, ndio za kuvaa nyakati hizi za mikutano sasa, bila kujali upo mkutano gani, no matter what kuna ujumbe utapenya... tena wenye nguvu... usiobezeka..

Njooni Mwanza tuwalie hela zenu na mtueleze kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli, na mtueleze pia kwa nini watoto wa Mbowe ,Lisu na Lema ni raia wa Marekani.

Niko hapa naprint za kutosha
Unawashwa kinyeo
 
Back
Top Bottom