CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

Chama hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani
Ralax
 
Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Hongera Sana kwa kujiingizia sh 7000 mkuu ... Chadema ni ajira tosha hapo Lumumba [emoji23][emoji1][emoji23]
 
Kwi Kwi Kwi
Kwi kwi kwi nini.

Mtavuna mnacho panda. Sasahivi ungesha weka picha ama video za maandalizi lakini ni aibu tupu.

Ngoja nitupie picha ya mgariwenu ulivyo nasa hapa watu wanaupitia mbali kama gari la taka taka.

Akili zisipo warudia mkatambua watu walivyo na uchungu na maendeleo ya nchi hii, na mtu aliejaribu kupambana kuondoa ufisadi ndio huyo mnae furahia kifochake, mtabaki kama ACT.

Nafahamu mnaelewa sana upepo ulivyo sema mnajizima data makusudi.

Muda utawaonyesha makosayenu ambayo mnayajua na mnayafanya kwa makusudi.
Bila shaka mmechagua matumboyenu kuliko uzalendo.
 
Wapi nimesema inaniuma? Mimi nafurahi
Unafurahi ili? Halafy unakuta mtu kama wewe wazazi wako wana life choka mbaya sana huko Bushi, ila uko town una kenua meno tu, ujinga wa watu kama nyie ni mtaji mkubwa sana kwa CCM.Fake ID zinasaidia sana la sivyo
 
Siku ya mkutano utazima data.

Muitikio ni mkubwa ndiyomaana hata wewe umetoka huko ulipotoka na kwenda mwanza kufatilia mkutano wa chadema kama ulivyosema.
Yuko Mwanza wapi? Unaamini yuko Mwanza? Hawa ni wapumbavu amabo wakisha milij smart phone wamemaliza kila kitu, ila Wazazi wao wana life la choka mbata huko bushi linalo sababishwa na hawa hawa CCM
 
Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Puuzieni ujumbe huu.
 
Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Si ndio vzr kwenu kama CDM wakifeli??
 
Back
Top Bottom