Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Sasa mbona mataga pori mmepanic namna hii???Mikutano sio janbo jipya. Mbowe kwenye hiyo miaka 6 kafanya sana mikutano, sugu kafanya sana, hechrle kafanya sana Ila yote hakuna jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona mataga pori mmepanic namna hii???Mikutano sio janbo jipya. Mbowe kwenye hiyo miaka 6 kafanya sana mikutano, sugu kafanya sana, hechrle kafanya sana Ila yote hakuna jipya
Umeandika hapo kuwa umeenda kufatilia chadema.Mimi nipo na mishe zangu, siwezi kwenda sababu ya huo ujinga wenu.
RalaxChama hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani
Hongera Sana kwa kujiingizia sh 7000 mkuu ... Chadema ni ajira tosha hapo Lumumba [emoji23][emoji1][emoji23]Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Mimi sio mwana chadema ila nilishangilia kifo cha huyo dhalimu Shetani na naamini yupo motoni anachomeka Kwa ukatili aliofanyaChadema wana laana kubwa sana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Kwi kwi kwi nini.Kwi Kwi Kwi
Achana na nyomi za Dr Slaa
Maandamano ya kupokea msaliti wa taifaMtoa post nakuhakikishia hapo kesho patakuwa hapatoshi, na naomba ufuatilie tarehe 25, ktk maandamano kwenda kumpoke Mh. Sana Tundu Lisu, ndipo utakapojua hujui
Mwishoe mtatajana tu!! Time will telKati ya walioshangilia na waliomchomoa betri nani mbaya
Tokea lini wamekua na hoja?..subiri huenda watakuja kivingine.
..Na uwape muda hoja zao zipimwe na kuchambuliwa.
Mshaanza kuja na picha za miaka 10 nyuma. ndio maana nimepiga kambi Mwanza kuwaumbua
Jidanganye tu mtawafanya nini wachomoa betri,walifanya kazi iliyotukuka kwa kweliWote watakipata cha moto
Alafu tukishatajana,dukuma gang bana kila mtu adui yako huna pa kushikaMwishoe mtatajana tu!! Time will tel
Acha kuweweseka wee chawa wa Bi Tozo [emoji23][emoji23]Mshaanza kuja na picha za miaka 10 nyuma. ndio maana nimepiga kambi Mwanza kuwaumbua
Ukiwa kwenye mishe zako ukakutana na nyoka njiani hutasimama?Umeandika hapo kuwa umeenda kufatilia chadema.
Unafurahi ili? Halafy unakuta mtu kama wewe wazazi wako wana life choka mbaya sana huko Bushi, ila uko town una kenua meno tu, ujinga wa watu kama nyie ni mtaji mkubwa sana kwa CCM.Fake ID zinasaidia sana la sivyoWapi nimesema inaniuma? Mimi nafurahi
Yuko Mwanza wapi? Unaamini yuko Mwanza? Hawa ni wapumbavu amabo wakisha milij smart phone wamemaliza kila kitu, ila Wazazi wao wana life la choka mbata huko bushi linalo sababishwa na hawa hawa CCMSiku ya mkutano utazima data.
Muitikio ni mkubwa ndiyomaana hata wewe umetoka huko ulipotoka na kwenda mwanza kufatilia mkutano wa chadema kama ulivyosema.
Tokea lini wamekua na hoja?
Puuzieni ujumbe huu.Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Si ndio vzr kwenu kama CDM wakifeli??Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.