Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Tunataka tuwaonyesheAisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunataka tuwaonyesheAisee
Hayo ni maoni yako na yanastahili yaheshimiwe.Kuondolewa kwa zuio haramu la mikutano ya hadhara ya siasa ni fursa nyingine inayofungua milango ya kisiasa kujenga na kumarisha demokrasia ya Tanzania wapinzani wanapaswa kuchanga karata zao vizuri katika agenda watakazotoka nazo.
Japo mlikuwa wahanga wakubwa wa utawala wake mnatakiwa kuachana na kumzungumzia au kulitaja jina la Magufuli kabisa katika majukwaa ya hadhara ya kisiasa. Magufuli haipaswi kuwa mojawapo ya ajenda kwa sababu hayagusi maisha ya raia tena kwa namna yoyote kwa sasa, hata hivyo mnaweza kuwazungumzia watu wake aina ya kina Mnyeti, Gelasius Byakanwa, Makonda, Sabaya, Muro n.k
Ajenda kuu za upinzani zinatakiwa kuwa
1. Hali ya maisha kiuchumi
2. Upatikanaji wa huduma za kijamii
3. Miondombinu
4. Hali ya kidemokrasia
5. Tume huru ya uchaguzi
6. Katiba mpya
7. Mikopo ya nchi
8. Mazingira ya kufanya biashara
9. Matumizi ya serikali
10. Uvunaji na uhifadhi wa maliasili zetu.
Kushinei kabisaNi Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Naam naam napokea tokea musoma hali si njema muraaa!Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Adui Yako akikunenea mabaya jua UNAFANYA VIZURI, LAKINI,Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Aibu iwapate wao sasa ndio uumie wewe wakati ni faida kwako?Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Watu wapo busy Mwanza, hawana habari na chademaChadema wana laana kubwa sana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Huku mwanza wamepitisha gari zao Ila watu hakunaNaam naam napokea tokea musoma hali si njema muraaa!
Hujaelewa nilichoandika? Nimesema maandaliziSi ungojee mkutano ufanyike, mbona unakiherehere?
Faida kwangu? Faida gani?Aibu iwapate wao sasa ndio uumie wewe wakati ni faida kwako?
Wapi nimesema inaniuma? Mimi nafurahiMbuzi toka chama cha mambuzi linalia meee.
Sasa kama hakuna mwitikio wewe inakuuma nn?
Hata kama ni AIBU kinakuwasha washa nini?Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Tuwajua. Zenu ni kutukana tu.Kampikie mumeo wewe kahaba