CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

Mbona mmrjawa na woga sana.

Hofu imetanda kwani huyo hayati alikosea nini mbona mnatishika sana?

Matendo yake na yenu yanawatisha nyie wenyewe
Hawa bila shaka walikuwa mikono ya marehemu ya kutekelezea uove. Wanapatwa na maluweluwe ya kukamatwa siku moja. Wanaishi katika woga mkubwa. Wakisikia tu Kalemani jatolewa uwaziri, tayari hofu inapanda kuwa labda mwondoa CCTV za uovu anaandaliwa barabara ya kufikishwa kwenye vyombo vya haki.
 
Mikutano sio janbo jipya. Mbowe kwenye hiyo miaka 6 kafanya sana mikutano, sugu kafanya sana, hechrle kafanya sana Ila yote hakuna jipya

..subiri huenda watakuja kivingine.


..Na uwape muda hoja zao zipimwe na kuchambuliwa.
 
Chadema hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani
Ungekuwa na uwezo wa kutafakari ungejiuliza, kwa nini watu wauawe na polisi. Wananchi watakuwa wamefanya nini mpaka wauawe na Polisi. Fahamu kuwa polisi haruhusiwi kuua mtu isipokuwa tu pale maisha ya huyo polisi yanapodhihirika kuwa yapo hatarini.
 
Hakuna chama kinachokubalika kama CHADEMA, sema ni vile Chama cha Magoat kinavyoibaga kura.. Chadema kwenye mikutano yao wanJaza hata bila kutumia wasanii kushawishi watu.!
 
Mtoa post nakuhakikishia hapo kesho patakuwa hapatoshi, na naomba ufuatilie tarehe 25, ktk maandamano kwenda kumpoke Mh. Sana Tundu Lisu, ndipo utakapojua hujui
 
Chadema wana laana kubwa sana ya kushangilia kifo cha Magufuli
FB_IMG_1672939922136.jpg
 
Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Wameshagawa hela ya mafuta kwa boda boda ambao ndio watajaza mkutano kesho
 
Sukuma Gang mnaumia sana, rudini kwenu Burundi mlikozoea kuchinjana washenzi wakubwa nyie ndiyo maana Corona ilimfyekelea mbali huyo mungu wenu
 
Mimi kama mjasiliamali wa kuprinti tisheti nimeanza kupokea order za kuprint tisheti zenye picha ya hayati Magufuli zitazovaliwa siku ya mkutano mkubwa wa Chadema pale jijini Mwanza.

Mtu mmoja aliyenipa order aliuliza.....
Tisheti za JPM zinauzwa wapi, ndio za kuvaa nyakati hizi za mikutano sasa, bila kujali upo mkutano gani, no matter what kuna ujumbe utapenya... tena wenye nguvu... usiobezeka..

Njooni Mwanza tuwalie hela zenu na mtueleze kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli, na mtueleze pia kwa nini watoto wa Mbowe ,Lisu na Lema ni raia wa Marekani.

Niko hapa naprint za kutosha
kavaa chisheti izo za mungu wako uone kitakacho kukuta
 
Chadema wana laana kubwa sana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Nalaana hiyo itawapoteza kabisa kwenye siasa za Tanzania mbaka akili zitakapo warudi.
Magufuli hapaswi kubezwa na watu wenye akili.
Kibaya zaidi viongozi wao wamelamba asali wanauona ukweli lakini wanashindwa kuwazuia chawa wao kulopokalopoka mambo ya hovyo.
 
Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
ndio kusema mkuno umefanyika leo watu wakawa wachache au
 
Unaharaka gan mkuu wakati mkutano wenyewe ni tarehe 25? We mwenzetu tambitambi mpaka useme watu hawana muitikio?
 
Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Lumumba mnawashwa washwa
 
Back
Top Bottom