Watu wapo busy Mwanza, hawana habari na chadema
..wananchi watasikiliza hoja.
..Cdm wakija na hoja nzuri wataungwa mkono.
..sasa hivi mapema mno kutoa hukumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wapo busy Mwanza, hawana habari na chadema
Hawa bila shaka walikuwa mikono ya marehemu ya kutekelezea uove. Wanapatwa na maluweluwe ya kukamatwa siku moja. Wanaishi katika woga mkubwa. Wakisikia tu Kalemani jatolewa uwaziri, tayari hofu inapanda kuwa labda mwondoa CCTV za uovu anaandaliwa barabara ya kufikishwa kwenye vyombo vya haki.Mbona mmrjawa na woga sana.
Hofu imetanda kwani huyo hayati alikosea nini mbona mnatishika sana?
Matendo yake na yenu yanawatisha nyie wenyewe
Mikutano sio janbo jipya. Mbowe kwenye hiyo miaka 6 kafanya sana mikutano, sugu kafanya sana, hechrle kafanya sana Ila yote hakuna jipya
Ungekuwa na uwezo wa kutafakari ungejiuliza, kwa nini watu wauawe na polisi. Wananchi watakuwa wamefanya nini mpaka wauawe na Polisi. Fahamu kuwa polisi haruhusiwi kuua mtu isipokuwa tu pale maisha ya huyo polisi yanapodhihirika kuwa yapo hatarini.Chadema hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani
Nyie mna laana ya nini ?Chadema wana laana kubwa sana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Chadema wana laana kubwa sana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Never argue with fools. They will drag you down to their level and beat you with experience.Wewe unawashwa na nn?
Wameshagawa hela ya mafuta kwa boda boda ambao ndio watajaza mkutano keshoNi Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Mtasema yote Hadi 2025Kati ya walioshangilia na waliomchomoa betri nani mbaya
kavaa chisheti izo za mungu wako uone kitakacho kukutaMimi kama mjasiliamali wa kuprinti tisheti nimeanza kupokea order za kuprint tisheti zenye picha ya hayati Magufuli zitazovaliwa siku ya mkutano mkubwa wa Chadema pale jijini Mwanza.
Mtu mmoja aliyenipa order aliuliza.....
Tisheti za JPM zinauzwa wapi, ndio za kuvaa nyakati hizi za mikutano sasa, bila kujali upo mkutano gani, no matter what kuna ujumbe utapenya... tena wenye nguvu... usiobezeka..
Njooni Mwanza tuwalie hela zenu na mtueleze kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli, na mtueleze pia kwa nini watoto wa Mbowe ,Lisu na Lema ni raia wa Marekani.
Niko hapa naprint za kutosha
Nalaana hiyo itawapoteza kabisa kwenye siasa za Tanzania mbaka akili zitakapo warudi.Chadema wana laana kubwa sana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Wote watakipata cha motoKati ya walioshangilia na waliomchomoa betri nani mbaya
ndio kusema mkuno umefanyika leo watu wakawa wachache auNi Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Lumumba mnawashwa washwaNi Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.
Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.
Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.
Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.
Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
MALAYA WA KISIASA UMERUDI KWA KASI. HONGERA NAONA UTAANZA KULIPWA SOONWatu wapo busy Mwanza, hawana habari na chadema