CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.


Idadi ya watu kwenye mikutano sio tija sana siku hizi cha maana ni ujumbe na matokeo. Mfano Lissu anafanya mikutano ya kwa njia ya mitandao na anapata watu zaidi ya 3,000 wakati mwingine mpaka 5,000 na ujumbe unatembea. Jiulize miaka 7 wamewezaje kuwepo bila mikutano? Yaani wananchi wanajali matokeo kama katiba mpya na vitu kama hivyo sio kujaza watu. Hata wakija watu 1,000 poa
 
Mimi kama mjasiliamali wa kuprinti tisheti nimeanza kupokea order za kuprint tisheti zenye picha ya hayati Magufuli zitazovaliwa siku ya mkutano mkubwa wa Chadema pale jijini Mwanza.

Mtu mmoja aliyenipa order aliuliza.....
Tisheti za JPM zinauzwa wapi, ndio za kuvaa nyakati hizi za mikutano sasa, bila kujali upo mkutano gani, no matter what kuna ujumbe utapenya... tena wenye nguvu... usiobezeka..

Njooni Mwanza tuwalie hela zenu na mtueleze kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli, na mtueleze pia kwa nini watoto wa Mbowe ,Lisu na Lema ni raia wa Marekani.

Niko hapa naprint za kutosha
Mbona mmrjawa na woga sana.

Hofu imetanda kwani huyo hayati alikosea nini mbona mnatishika sana?

Matendo yake na yenu yanawatisha nyie wenyewe
 
Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Bora umetuamsha twende mkutanoni ukose cha kuongea kesho,pipoz
 
Ni Aibu
Hivyo ndio unavyoweza kusema, ni aibu kubwa imewapata chadema kwenye maandalizi ya mikutano yao mwanza na musoma.

Nimekuja Mwanza kikazi ila pia kuafatilia mkutano wa chadema. Muitikio wa watu ni mdogo sana, bahati mbaya Wana magari ya matangazo Ila magari yenyewe nimekutana na moja limeisha mafuta.

Watu wapo busy kusaka pesa ili kuinua uchumi. Hawana muda kabisa na hii inayoitwa mkutano wa hadhara.

Hali ikiendelea hivi, huenda mkutano wa kesho ukahairishwa. Ndio, nina uhakika kwa 90% mkutano unaweza kuhairishwa sababu ya muitikio mdogo.

Nitawaletea kila kitachojiri, maana wana kawaida ya ku-edit picha na kutumia zile za 2015 za Lowassa.
Mkuu hizo picha za Lowasa 2015 furahisha wanazipenda kweli kesho tutegemee kupostiwa kwa wingi
wakijinasibu kuujaza uwanja.
 
Siku ya mkutano utazima data.

Muitikio ni mkubwa ndiyomaana hata wewe umetoka huko ulipotoka na kwenda mwanza kufatilia mkutano wa chadema kama ulivyosema.
Chama hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani
 
Dawa inaingia kwenu. Mnatetemeka. Msiogope kwani mlifanya nini mpaka mnaogopa?
Chadema hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani
 
Mimi kama mjasiliamali wa kuprinti tisheti nimeanza kupokea order za kuprint tisheti zenye picha ya hayati Magufuli zitazovaliwa siku ya mkutano mkubwa wa Chadema pale jijini Mwanza.

Mtu mmoja aliyenipa order aliuliza.....
Tisheti za JPM zinauzwa wapi, ndio za kuvaa nyakati hizi za mikutano sasa, bila kujali upo mkutano gani, no matter what kuna ujumbe utapenya... tena wenye nguvu... usiobezeka..

Njooni Mwanza tuwalie hela zenu na mtueleze kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli, na mtueleze pia kwa nini watoto wa Mbowe ,Lisu na Lema ni raia wa Marekani.

Niko hapa naprint za kutosha
Kati ya walioshangilia na waliomchomoa betri nani mbaya
 
Chadema hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani
Sasa woga wa nini? Matendo yenu yanawatafuna.
 
Zile za chama chenu cha Umoja Party, mbona hamvai tena?

Uhakikishe wanakulipa kabisa. La sivyo utakula hasara maana unaweza kupewa order kwa mategemeo kuna wa kuzinunua, halafu kwa vile hawatakuwepo, waliokupa order wakakuachia ubaki nayo hayo matshirt, maana kuvaa tshirt ya mtu mwovu inahitaji ujasiri wa pekee.
 
Chama hakina maana kabisa hawana nguvu .
1.waongo
2.hawana sera mpya
3.hawana nguvu hawana connection yawao kutoaibishwa .
4.mafisadi wao just imagine nchi ikiwa imechafukwa wao wanauwezo wakukimbilia nje nakukuacha wewe hapa unauliwa na mapolisi Sasa yanini turudi njia kuu at least unapata amani
Mbona MaCCM mmepanic namna hii na mikutano bado hata haijaanza vizuri??

Mmeishi kwenye comfort zone kwa miaka 6 sasa akili zenu zimelala hamtaki kuamka.
 
Siku ya mkutano utazima data.

Muitikio ni mkubwa ndiyomaana hata wewe umetoka huko ulipotoka na kwenda mwanza kufatilia mkutano wa chadema kama ulivyosema.
Mimi nipo na mishe zangu, siwezi kwenda sababu ya huo ujinga wenu.
 
Mbona MaCCM mmepanic namna hii na mikutano bado hata haijaanza vizuri??

Mmeishi kwenye comfort zone kwa miaka 6 sasa akili zenu zimelala hamtaki kuamka.
Mikutano sio janbo jipya. Mbowe kwenye hiyo miaka 6 kafanya sana mikutano, sugu kafanya sana, hechrle kafanya sana Ila yote hakuna jipya
 
Adui Yako akikunenea mabaya jua UNAFANYA VIZURI, LAKINI,

Adui Yako akikusifia, jiangalie mara mbili, Kuna tatizo mahala.

Nimeona VIDEO, matching guys na akina mama soko la mirongo wakicheza Kwa furaha nyimbo za CDM,

Kesho ni Furaha tele, maybe BASHE aweza STUKA Michele kuuzwa mza Leo 3000 Kwa kilo!!!!
Nyie ndio mlidai mchele uuzwe nje ya nchi, au nimesahau ?
 
Back
Top Bottom