CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

Bila kumuunganisha marehemu na chadema mjisikii rahaa ccm.
 
Hahahaaa!! Mtu kakufa Kakufa tu. Aina mashiko kabisa.
 
CHADEMA sio chama kilichofilisika kisiasa. Magufuli aliitesa CHADEMA na watu wake. Magufuli hamna namna yeyite anaweza kusemwa na CHADEMA kwamba alikuwa ni baba wa demokrasia
 
Wewe una akili gani? Unashindwa kuandika hata neno hawana. Awana ndio mdudu gani?
Haaaaa kumbe ni hawana tatizo mimi natumia kiswaili wewe unatumia kiswahili tatizo ni gani [emoji1787]
 
20 January 2023
KATIBA MPYA KUBEBA MKUTANO WA CHADEMA VIONGOZI WAWASILI MWANZA!


Viongozi wa mabaraza ya wazee, wanawake na vijana wa CHADEMA pamoja na wabunge wa bunge la wananchi ambao walikuwa wagombea ubunge kuputia CHADEMA katika uchaguzi mkuu uliovurugwa 2020 katika majimbo yote Tanzania wameanza kuwasili jijini Mwanza kuungana na viongozi wa kitaifa, kanda na mikoa.
 
Usiwafundishe maadui zako cha kusema.Mnapenda siasa za uhasama nyie msio wazalendo.
 
Watu wanaweza kuudhuria siyo kwa kuikubali chadema ...ukweli chadema ni kama matapishi kwa watz walio wengi ...chadema kimekuwa chama cha wapuuzi ...walamba makalio ya mabeberu
Hapa tayari umeshapanic πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi nadhani kama JPM ataguswa, basi aguswe positively na siyo negatively, hapo CDM watapata wafuasi wengi sana.

Ukweli ni kwamba, JPM anaishi mioyoni mwa Watanzania wengi sana. Lakini pia ikumbukwe kuwa si kila unayemchukia wewe anachukiwa pia na watu wengine, hapana.

Kuna watu waliumbwa kwa namna ya pekee sana Duniani. Hata afanye mabaya mengi namna gani, atapendwa tu na watu.
Huyo ndiye JPM.
 
Jiwe lazima atajwe, kuna uchafu wake mwingi sana ambao ulisababisha madhara mengi ila obviously hatakuwa main agenda.
 
Uko vizuri, baada ya Jiwe kuzuia umma wa Watanzania wasivae T-shirts za 'Get well soon Lissu' na akafa huku Lissu yuko hai basi endelea kwani Sukuma gang wapo wa kutosha watanunua.
 
Hapa tayari umeshapanic [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanaweza kuudhuria ila ukaishia kuzomewa tu ...kumbuka magufuli alipo pokea kijiti kwa muhuni mzee wa msoga alivyo pata tabu mikoa ya mbeya watu walikuwa wanakwenda ila wanazomea na hata zito kabwe kakutana na kashi kashi za hivyo walikuwa wanakenda kwa wingi ila wanapiga kelele yuda yuda
 
Haya tuma salamu kwa mataga 50 popote walipo.
 
Lazima wamzungumzie Magufuli japo kwa mafumbo kwa sababu wanaamini nchi hii ilikuwa shwari ila Magufuli ndio kavuruga kila kitu, hadi hao ccm wenyewe kama akina Nape na Mzee makamba bado wanamzungumzia Magufuli sasa Chadema wanaachaje kumzungumzia Magufuli?

Kama tunaamini Magufuli ndio chanzo cha matatizo ya nchii hii basi huwezi kukwepa kumtaja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…