MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Ukiwa muoga usiwatie na wenzako hofuSi mumesema maandamano ni ya amani sasa ulinzi wa nini?
Kumbe mnafahamu pia maandamano haya yanaweza kuhatarisha usalama wa watu na mali zao? Maana kufanya maandamano na mikutano nchi nzima tena kwa siku moja, sidhani kama kuna jeshi linaloweza kukuhakikishia usalama wako maana kuna waovu pia watatumia fulsa hiyo.
Na kwa kuwa maandamano haya yametawaliwa na itikadi za kisiasa hususan wa vyama hivi viwili, hivyo tegemea mambo kama ya kuchomeana ofisi za vyama, na hapa ndipo vurugu zitakapoanzia. Tusubili tu tuone, maana wakati mwingine matokeo ya kile unachotamani kukifanya hutoa majibu sahihi.
Wao wafanye wasifanye
Maandamano kama hayo hushiriki wasio jitambua.
Mwenye akili zake hawezi kuandamana kwa hoja za kijinga kama hizo,
Ufisadi umewapoteza leo wamekosa hoja wanakuja na upuzi upuzi!!!
Mimi sita weka msiba wala kuumia kwa lolote litakalo tokea Tar 01
MAGU NI WATOFAUTI SANA
Wao wafanye wasifanye
Maandamano kama hayo hushiriki wasio jitambua.
Mwenye akili zake hawezi kuandamana kwa hoja za kijinga kama hizo,
Ufisadi umewapoteza leo wamekosa hoja wanakuja na upuzi upuzi!!!
Mimi sita weka msiba wala kuumia kwa lolote litakalo tokea Tar 01
MAGU NI WATOFAUTI SANA
Hicho ndicho kitakachotokea, sasa kama unapingana nacho maanayake tayari wewe ni mwoga sababu haupo tayari kukabiliana nacho.Ukiwa muoga usiwatie na wenzako hofu
Imekuingia hiyo, ukuta iko palepaleTaarifa ambazo ni za SIRI mno na ambazo zimepatikana kwa ugumu mkubwa sana tena wa kujitoa mhanga kutokana na unyeti wake zinasema kwamba muda wowote kuanzia sasa Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA unakusudia kutangaza kusitisha mpango wake wa kufanya maandamano ya UKUTA yaliyopangwa kufanyika tarehe 1 September 2016.
Taarifa hiyo imedai kwamba sababu kubwa ya CHADEMA kuamua hivyo ni kuona kuwa kwa sasa Uongozi wa CCM unafanya Kazi yake vizuri tu na kwamba hayo mapungufu mengine ni madogo sana ambayo yanaweza tu kuzungumzika bila hata ya kufanya maandamano.
Wakati hayo yakiendelea inasemekana pia kuwa muda wowote kuanzia sasa CHADEMA wanajipanga kuitisha Mkutano na Waandishi wa Habari nchini Tanzania ili kuwaomba radhi Watanzania kwa usumbufu wowote waliowapa na kwamba sasa yameisha na CHADEMA inaenda kuwa ya AMANI, UTU na UPENDO.
Mwisho mnyetishaji wangu amesema kuwa sasa CHADEMA walichoamua kukifanya ni kwamba siku hiyo ya tarehe 1 September 2016 wataomba tu kuonana na Mheshimiwa Rais ili kuitumia kama kumpongeza kwa Uongozi wake mzuri na madhubuti na wakitoka hapo wataelekea pia Makanisani na Misikitini kumshukuru Mwenyezi Mungu na kumwombea mafanikio mema Rais na kutubu dhambi zao zote kwa Maulana.
Kama hii taarifa ni ya UKWELI basi naomba nichukue fursa hii adhimu kuwasifu na kuwapongeza sana Wanachama wote wa CHADEMA na Uongozi wao wote wa juu na labda niseme tu kama CHADEMA wameamua kuwa na hii busara nina uhakika kuwa sasa Saisa za Tanzania zimekomaa na CHADEMA imeonyesha AFYA katika Demokrasia.
Hongereni sana CHADEMA, tusameheane na tujenge nchi yetu hii kwa pamoja na kwa wale ambao walikuwa pengine wakijipanga kwa Oparesheni UKUTA sasa ni rasmi kuwa CHADEMA imeusitisha na HAUTAKUWEPO tena. Ngoja nitege sikio nisikilize hiyo Press Conference yao ya muda mfupi ujao ambapo watatangaza rasmi kusitisha UKUTA.
CCM na CHADEMA sasa ni Ndugu moja kwa maslahi ya Mama Tanzania.
Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM na CHADEMA
Pepo baya la UKUTA potea,shindwa na lilegee.
===========
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka.
Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa.
“Tutashiriki mazungumzo yoyote ya kusaka muafaka na kama matamko ya Rais Magufuli yakibalishwa. Tutawaeleza wanachama kusitisha mikutano ya Septemba 1 na kuendelea na mikutano ya kawaida,” alisema Mbowe.
Kiongozi huyo wa Chadema alitangaza kufanyika kwa Operesheni Ukuta nchi nzima na kwamba Kamati Kuu ya Chama hicho imeridhia kufanya maandamano na mikutano nchi nzima kwa lengo la kupinga kile walichodai ni kuminywa kwa demokrasia ndani na nje ya Bunge.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amewataka kusitisha maandamano hayo akieleza kuwa kama walizoea kutikisa kiberiti, wakati huu hiki ni kiberiti cha gesi.
Source: Dar24
Ligazeti lirefu hakuna maana yoyoteTaarifa ambazo ni za SIRI mno na ambazo zimepatikana kwa ugumu mkubwa sana tena wa kujitoa mhanga kutokana na unyeti wake zinasema kwamba muda wowote kuanzia sasa Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA unakusudia kutangaza kusitisha mpango wake wa kufanya maandamano ya UKUTA yaliyopangwa kufanyika tarehe 1 September 2016.
Taarifa hiyo imedai kwamba sababu kubwa ya CHADEMA kuamua hivyo ni kuona kuwa kwa sasa Uongozi wa CCM unafanya Kazi yake vizuri tu na kwamba hayo mapungufu mengine ni madogo sana ambayo yanaweza tu kuzungumzika bila hata ya kufanya maandamano.
Wakati hayo yakiendelea inasemekana pia kuwa muda wowote kuanzia sasa CHADEMA wanajipanga kuitisha Mkutano na Waandishi wa Habari nchini Tanzania ili kuwaomba radhi Watanzania kwa usumbufu wowote waliowapa na kwamba sasa yameisha na CHADEMA inaenda kuwa ya AMANI, UTU na UPENDO.
Mwisho mnyetishaji wangu amesema kuwa sasa CHADEMA walichoamua kukifanya ni kwamba siku hiyo ya tarehe 1 September 2016 wataomba tu kuonana na Mheshimiwa Rais ili kuitumia kama kumpongeza kwa Uongozi wake mzuri na madhubuti na wakitoka hapo wataelekea pia Makanisani na Misikitini kumshukuru Mwenyezi Mungu na kumwombea mafanikio mema Rais na kutubu dhambi zao zote kwa Maulana.
Kama hii taarifa ni ya UKWELI basi naomba nichukue fursa hii adhimu kuwasifu na kuwapongeza sana Wanachama wote wa CHADEMA na Uongozi wao wote wa juu na labda niseme tu kama CHADEMA wameamua kuwa na hii busara nina uhakika kuwa sasa Saisa za Tanzania zimekomaa na CHADEMA imeonyesha AFYA katika Demokrasia.
Hongereni sana CHADEMA, tusameheane na tujenge nchi yetu hii kwa pamoja na kwa wale ambao walikuwa pengine wakijipanga kwa Oparesheni UKUTA sasa ni rasmi kuwa CHADEMA imeusitisha na HAUTAKUWEPO tena. Ngoja nitege sikio nisikilize hiyo Press Conference yao ya muda mfupi ujao ambapo watatangaza rasmi kusitisha UKUTA.
CCM na CHADEMA sasa ni Ndugu moja kwa maslahi ya Mama Tanzania.
Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM na CHADEMA
Pepo baya la UKUTA potea,shindwa na lilegee.
===========
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka.
Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa.
“Tutashiriki mazungumzo yoyote ya kusaka muafaka na kama matamko ya Rais Magufuli yakibalishwa. Tutawaeleza wanachama kusitisha mikutano ya Septemba 1 na kuendelea na mikutano ya kawaida,” alisema Mbowe.
Kiongozi huyo wa Chadema alitangaza kufanyika kwa Operesheni Ukuta nchi nzima na kwamba Kamati Kuu ya Chama hicho imeridhia kufanya maandamano na mikutano nchi nzima kwa lengo la kupinga kile walichodai ni kuminywa kwa demokrasia ndani na nje ya Bunge.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amewataka kusitisha maandamano hayo akieleza kuwa kama walizoea kutikisa kiberiti, wakati huu hiki ni kiberiti cha gesi.
Source: Dar24
Taarifa ambazo ni za SIRI mno na ambazo zimepatikana kwa ugumu mkubwa sana tena wa kujitoa mhanga kutokana na unyeti wake zinasema kwamba muda wowote kuanzia sasa Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA unakusudia kutangaza kusitisha mpango wake wa kufanya maandamano ya UKUTA yaliyopangwa kufanyika tarehe 1 September 2016.
Taarifa hiyo imedai kwamba sababu kubwa ya CHADEMA kuamua hivyo ni kuona kuwa kwa sasa Uongozi wa CCM unafanya Kazi yake vizuri tu na kwamba hayo mapungufu mengine ni madogo sana ambayo yanaweza tu kuzungumzika bila hata ya kufanya maandamano.
Wakati hayo yakiendelea inasemekana pia kuwa muda wowote kuanzia sasa CHADEMA wanajipanga kuitisha Mkutano na Waandishi wa Habari nchini Tanzania ili kuwaomba radhi Watanzania kwa usumbufu wowote waliowapa na kwamba sasa yameisha na CHADEMA inaenda kuwa ya AMANI, UTU na UPENDO.
Mwisho mnyetishaji wangu amesema kuwa sasa CHADEMA walichoamua kukifanya ni kwamba siku hiyo ya tarehe 1 September 2016 wataomba tu kuonana na Mheshimiwa Rais ili kuitumia kama kumpongeza kwa Uongozi wake mzuri na madhubuti na wakitoka hapo wataelekea pia Makanisani na Misikitini kumshukuru Mwenyezi Mungu na kumwombea mafanikio mema Rais na kutubu dhambi zao zote kwa Maulana.
Kama hii taarifa ni ya UKWELI basi naomba nichukue fursa hii adhimu kuwasifu na kuwapongeza sana Wanachama wote wa CHADEMA na Uongozi wao wote wa juu na labda niseme tu kama CHADEMA wameamua kuwa na hii busara nina uhakika kuwa sasa Saisa za Tanzania zimekomaa na CHADEMA imeonyesha AFYA katika Demokrasia.
Hongereni sana CHADEMA, tusameheane na tujenge nchi yetu hii kwa pamoja na kwa wale ambao walikuwa pengine wakijipanga kwa Oparesheni UKUTA sasa ni rasmi kuwa CHADEMA imeusitisha na HAUTAKUWEPO tena. Ngoja nitege sikio nisikilize hiyo Press Conference yao ya muda mfupi ujao ambapo watatangaza rasmi kusitisha UKUTA.
CCM na CHADEMA sasa ni Ndugu moja kwa maslahi ya Mama Tanzania.
Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM na CHADEMA
Pepo baya la UKUTA potea,shindwa na lilegee.
===========
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka.
Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa.
“Tutashiriki mazungumzo yoyote ya kusaka muafaka na kama matamko ya Rais Magufuli yakibalishwa. Tutawaeleza wanachama kusitisha mikutano ya Septemba 1 na kuendelea na mikutano ya kawaida,” alisema Mbowe.
Kiongozi huyo wa Chadema alitangaza kufanyika kwa Operesheni Ukuta nchi nzima na kwamba Kamati Kuu ya Chama hicho imeridhia kufanya maandamano na mikutano nchi nzima kwa lengo la kupinga kile walichodai ni kuminywa kwa demokrasia ndani na nje ya Bunge.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amewataka kusitisha maandamano hayo akieleza kuwa kama walizoea kutikisa kiberiti, wakati huu hiki ni kiberiti cha gesi.
Source: Dar24
Imepenya hiyoooooooWao wafanye wasifanye
Maandamano kama hayo hushiriki wasio jitambua.
Mwenye akili zake hawezi kuandamana kwa hoja za kijinga kama hizo,
Ufisadi umewapoteza leo wamekosa hoja wanakuja na upuzi upuzi!!!
Mimi sita weka msiba wala kuumia kwa lolote litakalo tokea Tar 01
MAGU NI WATOFAUTI SANA
Imekuingia hiyo sasa unaanza kutapa tapa ukuta ipo palepaleKwa walipofikia hawawezi kusitisha. Tumaini peke yake walilobaki nalo Viongozi wa Chyademan walilobaki nalo ni Poliysi wazingire nyumba zao ikifika hiyo sep 1.
Polysi wakizingira nyumba zao mkakati wa Viongozi wa Chyademan kutoshiriki maandamano utakuwa umefanikiwa.
Ombi langu kwa Polisi wasiwafate Majumbani wawasubiri Mitaani.
Inaelekea kuna korodani ziko kwenye vice!Wao wafanye wasifanye
Maandamano kama hayo hushiriki wasio jitambua.
Mwenye akili zake hawezi kuandamana kwa hoja za kijinga kama hizo,
Ufisadi umewapoteza leo wamekosa hoja wanakuja na upuzi upuzi!!!
Mimi sita weka msiba wala kuumia kwa lolote litakalo tokea Tar 01
MAGU NI WATOFAUTI SANA
Amini, sadam, gadafi walikuwa wa tofauti pia!Wao wafanye wasifanye
Maandamano kama hayo hushiriki wasio jitambua.
Mwenye akili zake hawezi kuandamana kwa hoja za kijinga kama hizo,
Ufisadi umewapoteza leo wamekosa hoja wanakuja na upuzi upuzi!!!
Mimi sita weka msiba wala kuumia kwa lolote litakalo tokea Tar 01
MAGU NI WATOFAUTI SANA
Ccm sasa wanapokea mapigo kila upandeHahaha nimeshindwa hata kusoma huu ugoro wako ,wamesitisha ,Lowasa yuko Mbeya ,juzi Mbowe alikua Arusha ,kina Beregu walikua wanachanja mbuga huko wakapata ajali ,Lisu yupo makao makuu anaandaa mashitaka ,Sumaye naye anapiga jaramba Pwani ,mweee hii ngoma mbona nzito
Anachoweza kufanikisha ni kuua innocent people in masses na kuwazika katika mass graves! This he can do without hesitation!Let us wait and see this movie!
Sababu za UKUTA hatuzijui ila jina lenyewe UKUTA sio zuriSababu za kuwepo UKUTA unazijua?