Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Na kumuweka Jussa bila shaka linaweza kuwa ni moja ya makubaliano kati ya ACT na CHADEMA na hapo ndio ugumu wa kumsimamisha mwamama huyu unaweza kutokea ila nahakika mwanamama huyu angefaa sana kuwa mgombea mwenza wa Lissu.Naunga mkono hoja ila yule Dada Sijuwi kama atakubali ila hata Ismail Jussa anafaa kuwa makamo.
Hahaha...mnachekesha sana, kaka yupi wa Fatma anagombea urais Zanzibar?Fatuma anaogopa ku-jeopardize position ya baba yake na athali kwa kaka yake anayegombea urais Zanzibar. But a very brilliant idea!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]DUH.....Combinenga ya nyumbu na chui lazima mmoja aliwe
Mnafiki mkubwa!!Dr.Slaa mliepa ubalozi si mlikuwa mnapiga virungu na mabomu wakati yuko upinzani ila leo kageuka lulu?Mnamfukuza mtu to the point anaenda mahakamani ili abakie na ubunge.
Anaanzisha chama chake.
Miaka baadaye unaenda ili ukaungane naye.
All the while sababu ya kumfukuza mnadai ni msaliti.
Dafuq
Halisikii dawaChadema ni sikio la kufa
Nyumba wako Lumumba wakiongozwa na nyumbu mwenye chongo katika jamii ya nyumbu vipofu wa Lumumba.DUH.....Combinenga ya nyumbu na chui lazima mmoja aliwe
Huu ndio ushauri wangu kwa CHADEMA na ACT-Wazalendo ambao wako katika mazungumzo na vyama vingine kwa lengo la kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Ninahaki combination ya Lissu na Fatma Karume itakuwa na nguvu sana na pia itasaidia ku-balance swala zima la gender huku Maalim Seif akiomgeza nguvu kwa kumpigia kampeni huko visiwani.
Vile vile itasaidia sana kuweka mizani sawa iwapo CCM watamsimamisha mtu mwingine kutoka katika ukoo/famili ya mzee Karume kugombea uraisi huko Zanzibar.
Nawachia wakuu muamue sisi wengine tunatoa mawazo tu.
Huu ndio ushauri wangu kwa CHADEMA na ACT-Wazalendo ambao wako katika mazungumzo na vyama vingine kwa lengo la kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Ninahaki combination ya Lissu na Fatma Karume itakuwa na nguvu sana na pia itasaidia ku-balance swala zima la gender huku Maalim Seif akiomgeza nguvu kwa kumpigia kampeni huko visiwani.
Vile vile itasaidia sana kuweka mizani sawa iwapo CCM watamsimamisha mtu mwingine kutoka katika ukoo/famili ya mzee Karume kugombea uraisi huko Zanzibar.
Nawachia wakuu muamue sisi wengine tunatoa mawazo tu.
Tangu lini mtu anaejiamini kushinda akakataa swala la kuwa na Tume huru na akaanza vitisho hata kabla kampeni hazijaanza?Mtahangaika sana,Ila hakuna takataka yeyote inayoweza kusimama na jembe magufuli.
Unasema Lissu tena wakati nasikia Mwenyekiti anagombea? Ndoto za Lissu kugombea zimezimwa na wale wazee waliomfuata mwenyekiti nyumbani na kumlazimisha agombee!!Huu ndio ushauri wangu kwa CHADEMA na ACT-Wazalendo ambao wako katika mazungumzo na vyama vingine kwa lengo la kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Ninahaki combination ya Lissu na Fatma Karume itakuwa na nguvu sana na pia itasaidia ku-balance swala zima la gender huku Maalim Seif akiomgeza nguvu kwa kumpigia kampeni huko visiwani.
Vile vile itasaidia sana kuweka mizani sawa iwapo CCM watamsimamisha mtu mwingine kutoka katika ukoo/famili ya mzee Karume kugombea uraisi huko Zanzibar.
Nawachia wakuu muamue sisi wengine tunatoa mawazo tu.
Na mkamtangaza Ni adui yenu mkubwa!!!Mnafiki mkubwa!!Dr.Slaa mliepa ubalozi si mlikuwa mnapiga virungu na mabomu wakati yuko upinzani ila leo kageuka lulu?
Wapinzani mliowaita malofa mbona leo hii Magu kawapa vyeo na hujawahi kuhoji au kukosoa?
Utakufa wewe kwa corona na cdm itazidi kupasua angaChadema ni sikio la kufa