mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Mtu akitubu tunampokeaMnafiki mkubwa!!Dr.Slaa mliepa ubalozi si mlikuwa mnapiga virungu na mabomu wakati yuko upinzani ila leo kageuka lulu?
Wapinzani mliowaita malofa mbona leo hii Magu kawapa vyeo na hujawahi kuhoji au kukosoa?
Zitto ametubu wapi?