CHADEMA muungeni mkono Luhaga Mpina

CHADEMA muungeni mkono Luhaga Mpina

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huu ndio ushauri wangu kwa CHADEMA mpya chini ya Mwenyekiti, Tundu Lissu.

Nakumbuka makama wake, John Heche, siku Lissu anaingia ofisini kwa mara ya kwanza, aliahid kuwa wataanza kuanika madudu mbalimbali na alitoa mfano wa uagiza wa mabehewa ya treni(kama ni mapya, yamepigwa rangi, n.k)

Nafikiri wakati umefika wa kuunganisha nguvu kumuunga mkono Mpina vinginevyo nchi itabaki mifupa tu hii.

Pia, Wana-CCM nanyi hii kazi inawahusu na sio kuimba mapambio tu muda wote.
 
Sema wana CCM huwa wanajisahau sana, wapinzani wameomba tume huru na katiba mpya wanawazodoa tu. Siku wakifukuzwa CCM ndio wanaanza kutambua umuhimu wa tumè huru. Kwa hali ilivyo Mpina àkihamia upinzani hawezi shinda ubunge kwahiyo angetumia huu muda uliobaki kudai reforms kwenye chaguzi ili hata akiondolewa CCM awe na uhakika wa kurudi bungeni.

Najua kuna wengi tu wangependa kumchallenge Mama Samia ila hawawezi na hata wakienda upinzani wanajua wakimshinda hawatotangazwa. Ingekua uchaguzi ni huru trust me kina Majaliwa, Bashiru n.k wangejitoa ili kummaliza Mama Oktoba hiyo ila ndio hivyo tena tume sio huru na wao wanajua hilo

CCM amkeni uchaguzi huru na haki ni kwa faida ya wote sio upinzani tu.
 
Sema wana CCM huwa wanajisahau sana, wapinzani wameomba tume huru na katiba mpya wanawazodoa tu. Siku wakifukuzwa CCM ndio wanaanza kutambua umuhimu wa tumè huru. Kwa hali ilivyo Mpina àkihamia upinzani hawezi shinda ubunge kwahiyo angetumia huu muda uliobaki kudai reforms kwenye chaguzi ili hata akiondolewa CCM awe na uhakika wa kurudi bungeni.

Najua kuna wengi tu wangependa kumchallenge Mama Samia ila hawawezi na hata wakienda upinzani wanajua wakimshinda hawatotangazwa. Ingekua uchaguzi ni huru trust me kina Majaliwa, Bashiru n.k wangejitoa ili kummaliza Mama Oktoba hiyo ila ndio hivyo tena tume sio huru na wao wanajua hilo

CCM amkeni uchaguzi huru na haki ni kwa faida ya wote sio upinzani tu.
Tunasumbuliwa na ubinafsi. Kila mtu anaona akae kimya kulinda masilahi, cheo au wadhifa alionao.

Wanangoja wakifukuzwa ndio waanze kusema.
 
Back
Top Bottom