Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

Maandamano yamepamba moto hapa hadi polisi wamezidiwa nguvu na waandamanaji. Kuna wadada wawili wamejeruhiwa na risasi za moto na wanapelekwa hospitali kwa matibabu. Polisi nao wanapiga mabomu ya machozi ovyo ovyo yaani. Nikiripoti kutoka Jamhuri ya Twitter na Instagram, mimi ni ripota wako Jane Lowassa
Hahahahahahaha
 
Huyo Zitto mwenye pesa mbona husemi kama alitoa ahadi 2015 kwamba akishinda ubunge na kupata Meya wa mji kupitia ACT atawalipia ada wanafunzi wote waliochaguliwa kwenda A-level ndani ya shule za mkoa wa Kigoma, lakin hakutimiza ivo?? Sasa ajue hilo ni moja kati ya yalimpotezea ubunge, pia hakupata wanachama wapya zaidi ya kupoteza wapigakura wake.
Sisi wananchi wa Kigoma tunamisimamo yetu hata mbunge apendwe vp asipotimiza ahadi zake alizoahidi kwa mapenzi yake off he go. Apumzike tuone huyu Kirumbe (incoming) atafanya nn.


Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Mkuu ni vizuri mkae kimya msitafute justification kwa wizi mliofanya. Maadam mmechukua viti vyote basi endeleeni tu na bunge lenu msiokoteze sababu za kuunga unga.
 
Vipi maandamano yaliendaje leo? wengine ndo tunatoka kusaka tonge.
Akili yakuambiwa changanya na yako. Mtanzania usirubunike kirahisi na wahuni
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Kaandamane urudi maiti.....tena ntampa mbwa wangu maiti yako wakukule [emoji28][emoji28][emoji28]

 
Vipi maandamano yaliendaje leo? wengine ndo tunatoka kusaka tonge.
Akili yakuambiwa changanya na yako. Mtanzania usirubunike kirahisi na wahuni
Nakuona hapa ukifakamia tonge ya ugali

 
Chadema na ACT,kwa wale wabunge wenye ushahidi tosha nendeni mahakamani ili kuweka kumbukumbu!! Kinachotakiwa sasa hivi ni kuungana na kuunda chama kimoja chenye nguvu ili kuipasua ccm!! na kudai katiba mpya!!!
Ni ngumu mno kushinda kama chama tawala hakijapasuka na bila katiba mpya na tume huru!!
Na Logoff after five years tukutane tena!!!!
Labda wafungue chama cha mitandaoni ...
 
20201102_213011.jpg

Daah! Ila stress siyo ugonjwa, hichi kibabu kingesha kufa kitambo. Hapo kinafikiria upya 2025...
 
Watu wakichoka na kuamua wenyewe kuandamana hapo ndipo faida ya maandamano huonekana@kijo
 
Chadema na ACT,kwa wale wabunge wenye ushahidi tosha nendeni mahakamani ili kuweka kumbukumbu!! Kinachotakiwa sasa hivi ni kuungana na kuunda chama kimoja chenye nguvu ili kuipasua ccm!! na kudai katiba mpya!!!
Ni ngumu mno kushinda kama chama tawala hakijapasuka na bila katiba mpya na tume huru!!
Na Logoff after five years tukutane tena!!!!
Kwa kiswahili kizuri ni kwamba wapinzani hawana cha kuwambia wananchi Mana muelekeo wao ulishakufa
 
Mkuu ni vizuri mkae kimya msitafute justification kwa wizi mliofanya. Maadam mmechukua viti vyote basi endeleeni tu na bunge lenu msiokoteze sababu za kuunga unga.
Nikwambie ambao Wana mihemko ya kwamba ccm imeshinda kihalali kabisa Kwani imewatendea watanzania maajabu makubwa
 
Korosho inategemewa na zaidi ya 70% Je serikali ina legitimacy huko?

Vp querry zao za gesi asilia?
...Lakini huko Lindi wamevuna wabunge wa majimbo yote na madiwani wa kutosha.

Hata Mtwara pia wameshinda kwa kishindo (isipokuwa Jimbo moja) ina maana hata huko utasema huu ni ushindi 'feki'.
 
Back
Top Bottom