Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

Hahahahahahaha
 
Mkuu ni vizuri mkae kimya msitafute justification kwa wizi mliofanya. Maadam mmechukua viti vyote basi endeleeni tu na bunge lenu msiokoteze sababu za kuunga unga.
 
Vipi maandamano yaliendaje leo? wengine ndo tunatoka kusaka tonge.
Akili yakuambiwa changanya na yako. Mtanzania usirubunike kirahisi na wahuni
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Kaandamane urudi maiti.....tena ntampa mbwa wangu maiti yako wakukule [emoji28][emoji28][emoji28]

Your browser is not able to display this video.
 
Vipi maandamano yaliendaje leo? wengine ndo tunatoka kusaka tonge.
Akili yakuambiwa changanya na yako. Mtanzania usirubunike kirahisi na wahuni
Nakuona hapa ukifakamia tonge ya ugali

Your browser is not able to display this video.
 
Labda wafungue chama cha mitandaoni ...
 

Daah! Ila stress siyo ugonjwa, hichi kibabu kingesha kufa kitambo. Hapo kinafikiria upya 2025...
 
Watu wakichoka na kuamua wenyewe kuandamana hapo ndipo faida ya maandamano huonekana@kijo
 
Kwa kiswahili kizuri ni kwamba wapinzani hawana cha kuwambia wananchi Mana muelekeo wao ulishakufa
 
Mkuu ni vizuri mkae kimya msitafute justification kwa wizi mliofanya. Maadam mmechukua viti vyote basi endeleeni tu na bunge lenu msiokoteze sababu za kuunga unga.
Nikwambie ambao Wana mihemko ya kwamba ccm imeshinda kihalali kabisa Kwani imewatendea watanzania maajabu makubwa
 
Nikwambie ambao Wana mihemko ya kwamba ccm imeshinda kihalali kabisa Kwani imewatendea watanzania maajabu makubwa
Eti eeh? Niambie Lindi na Mtwara wamefanyiwa maajabu gani hadi waichague CCM? Nitajie suala moja tu!!
 
Korosho inategemewa na zaidi ya 70% Je serikali ina legitimacy huko?

Vp querry zao za gesi asilia?
...Lakini huko Lindi wamevuna wabunge wa majimbo yote na madiwani wa kutosha.

Hata Mtwara pia wameshinda kwa kishindo (isipokuwa Jimbo moja) ina maana hata huko utasema huu ni ushindi 'feki'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…