Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Wajumbe wa Kamati Kuu mnaopenda kushiriki maandamano
Mmawia katokomea ufipa baada ya rais wake kupata kipigo Cha shoga mwizi Sasa sijui ile ahadi yenu ya kumwapisha Lissu iwe isiwe mtatekeleza lini? Màandamano hata ya chumbani kwako hayapo humu jf mnajifurahisha tuu.Nitakuwepo , na nitaanzia Buguruni sheli
Jukumu langu kubwa lilikuwa kukuletea habari za Kampeni kikamilifu , ambalo nimelitekeleza kwa kiwango cha kutukuka , na sasa nimerudi tena kukuletea habari zote za maandamanomkuu sioni ukianzisha mada. Pole bhana.
Wewe maandamano yanakuhusu nini ?Acheni unafki. Walivyoangushwa wenzenu wasio na majina Seikali za mitaa,hamkuitisha maandamano. Leo mibuyu imekatwa ndo mnataka maandamano just because mmeguswa.
Acheni Tamaa. Sasa tulieni muungane mfanye siasa za kweli na si za maslahi yenu binafsi.
Acheni ujinga. Mngeshinda ubunge mngeandamana ?Mwaka 2015 why hamkuandamana na madai ya kuibiwa yalikuwepo ?Sijafurahi mlivyoibiwa ila walivyofanyiwa wale wa chini serikali za mitaa why mliwaambia wajitoe ?Acheni hizo sometimes najiambia Magufuli kawaweza maana mmezidi unafki.Wewe maandamano yanakuhusu nini ?
Msitegemee huyo dictator uchwara atarudisha mtandao na huku mnataka kuandamana, tunzeni VPN Zenu vizuri. Na 2025 Anagombea tena tusipomfunga brake now.Maandamano ya mtandaoni labda.
Watanzania wanataka amani ndo maana wameipigia CCM
MAMA MKANYE MWANAO.
Natamani kuona familia ya Lissu Mbowe Kabwe Maalimusefu, kesgo wakiongoza maandamano.
Wananchi mkiona tu familia zao hazipo mjue mnatumika acheni upuuzi huo
Masikini wengi hukata tamaa mapemaAcheni ujinga. Mngeshinda ubunge mngeandamana ?Mwaka 2015 why hamkuandamana na madai ya kuibiwa yalikuwepo ?Sijafurahi mlivyoibiwa ila walivyofanyiwa wale wa chini serikali za mitaa why mliwaambia wajitoe ?Acheni hizo sometimes najiambia Magufuli kawaweza maana mmezidi unafki.
Wewe na wenzako wa huku mitandaoni mnawajaza viongozi wa upinzani upepo.
Kama mnaanza now kutogive up hapa sawa.Mara ngapi mmekuwa mkigive up?