Niandamane kisa aliekuwa mbunge wa Hai kapoteza Jimbo
Niandamane kisa aliekuwa mbunge wa Kawe kapoteza Jimbo
Niandame kisa Mgombea wa uraisi kupitia Chadema kaikosa ikulu, na kampeni zake za kufoka tu kwa kujitegeza akimalizia na neno SAWA SAWA. Sasa Kama sio kushindwa wao walitaka ashindwe nani?
Mzee wa ubwabwa katulia hana neno na mtu. Atae andamana ahakikishe na bima yake ya afya iko active asije kuomba michango ya matibabu.
Niandamane kisa aliekuwa mbunge wa Kawe kapoteza Jimbo
Niandame kisa Mgombea wa uraisi kupitia Chadema kaikosa ikulu, na kampeni zake za kufoka tu kwa kujitegeza akimalizia na neno SAWA SAWA. Sasa Kama sio kushindwa wao walitaka ashindwe nani?
Mzee wa ubwabwa katulia hana neno na mtu. Atae andamana ahakikishe na bima yake ya afya iko active asije kuomba michango ya matibabu.