CHADEMA na CUF waungana kipinga nyongeza ya posho bunge la katiba

CHADEMA na CUF waungana kipinga nyongeza ya posho bunge la katiba

Ktk vinara wanaotaka posho iongezwe yumo Kapt Komba NA Maji Marefu.
 
Nawasikitia sana magamba.hawa jamaa km mchwa wananjaa ya kufa mtu wamesahau hata wale waliowatuma nchi wanaimaliza
 
Hivi Nasari siku hizi kumbe yupo sisiemu? Maana nilisoma habari kuwa yeye yupo mstari wa mbele kutaka kuongezwa posho.

Hakuna cha chadema wala sisiemu wote walafi tu
 
acheni unafiki, mbowe yumo kwenye kamati ya wanaodai posho pamoja na kina lukuvi halafu mnasema eti cuf na chadema wanaipinga? Au mbowe mshamvua uanachama? Nassari nae yupo ccm? Angalau zitto pekee hata kama mnafiki amejitofautisha na wengine kwa kusema hata ikiongezwa hatoichukua, kama chadema na cuf mnayoongea yanatoka kwenye mioyo yenu tangazeni kutochukua nyongeza ikiongezeka.

zitto hana haja na vijisenti hivyo, akaunt yake iko sawa tangu 2008 alipoanza kuasi
 
kijana wa Lumumba slaa naposho vitu viwili tofauti au unataka uonekane Leo umepost kitu ili usikose b7


huyu mzee lini aliwahi kuwa na msimamo? Mbona leo amerudi kwenye ajenda ya zitto.
 
Headline ilinistua!. Unaposikia mke wa mtu anaolewa tena na mwanaume mwingine huku ile ndoa aliyomo bado yumo, lazima ushtuke!.

Pasco.
 
Mnyika ameshatoa msimamo kwamba haungi mkono nyongeza ya Posho.Pengine Mbowe kuwepo huko atapendekeza zisiongezwe au zifutwe kabisa kwa wabunge wa bunge la jamhuri isipokua zibaki laki 3 kwa wale walioteuliwa na Rais

Huo ndo unafiki niliousema, Kwa nini Mnyika kapata kigugumizi kusema hata kama itapitishwa hawatoichukua? unasema kitu hukitaki wakati unajua kitapita unategea na kuomba kimoyo moyo ipite uilambe maana si ushajisemesha huipendi.
 
zitto hana haja na vijisenti hivyo, akaunt yake iko sawa tangu 2008 alipoanza kuasi

Kwa hiyo mbowe kenda kuwapigania Akina Lema na Nassari wenye haja navyo sio?
 
safi sana CDM & CUF kwa kususia posho, huo ndo uzalendo.

Nani wakususia Posho? Mpemba na Mchagga kwenye Pesa, wamesema wanapinga sio watasusa, aliesusa ni Zitto peke yake!!!! watakwambia Wanachukua hiyo nyongeza japo kwa shingo upande.
 
Jasho la wanyonge linatumika vibaya. Daa babu yangu Mzee CHIGUMBI kule MKANGAWALO yupo tayari kushiriki kutunga katiba kwa posho ya Tsh10, 000 kwa siku
 
Ritz ni kawaida yako sikushangai kumrukia Dr Slaa kama mbwa wa mkoloni mweusi MaCCM!!
Huo ni msimamo wa CDM hakuna kudai nyongeza ya posho!!
Jadiri rasimu ya katiba mpya, kumkomboa mwananchi kwenye utumwa wa MaCCM!!
 
Technolojia Zito usidanganyike zile za briefcase na German hazijaisha, na bado anaongezewa nyingine na TISS, hana njaa bwana!!!
 
Back
Top Bottom