The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Hivyo hivyo Ila hajasema gazeti kasema Katiba ni kitabu km kilivyo kitabu cha 'Adili na Nduguze' Shaaban Robertkatiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure
Astaghifilullah!Usiniambie?🤔Hivyo hivyo Ila hajasema gazeti kasema Katiba ni kitabu km kilivyo kitabu cha 'Adili na Nduguze' Shaaban Robert
We ulikua wapi?Astaghifilullah!Usiniambie?🤔
Burundi mkuu.Ndiyo narudi kwa mguu.We ulikua wapi?
Haya changanya mguu ufike hayo umeyasikia ni machache kati ya mengiBurundi mkuu.Ndiyo narudi kwa mguu.
Nipo hapa Kijiji Cha Kumshindwi Kasulu Kigoma Tanzania.Nakuja.Haya changanya mguu ufike hayo umeyasikia ni machache kati ya mengi
Hayo ndio mawazo ya kiongozi mkubwa wa nchi ni hatari sana.Hivyo hivyo Ila hajasema gazeti kasema Katiba ni kitabu km kilivyo kitabu cha 'Adili na Nduguze' Shaaban Robert
Au kitabu cha ngoswe. "Mapenzi kitovu cha uzembe"Hivyo hivyo Ila hajasema gazeti kasema Katiba ni kitabu km kilivyo kitabu cha 'Adili na Nduguze' Shaaban Robert
Very true wanaona mambo kwa upana zaidi.Akili kubwa kama CHADEMA na TEC wanapasws kuwa consultants na siyo participants.
Naam hivyo hivyo Katiba ni kitabu sawa na kitabu cha 'Joka la Mdimu'Au kitabu cha ngoswe. "Mapenzi kitovu cha uzembe"
Jamaa alitaka apewe huba njiani.😀Au kitabu cha ngoswe. "Mapenzi kitovu cha uzembe"
Eti Umeuliza; toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa ya ushawishi?Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?
Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
Umeandika kijinga sana.Umevunja ungo?Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?
Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
NAONA WARAKA WA TEC BADO UNAWACHOMA SANA PONGEZI ZA DHATI KWA TEC WARAKA WA KISOMI UNAWACHOMA WAHUSIKANimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC
Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
Wanaogopwa kuliko ukomaNimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC
Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.