CHADEMA na TEC hawakutuma Mwakilishi kwenye Kongamano la Vyama vya Siasa?

CHADEMA na TEC hawakutuma Mwakilishi kwenye Kongamano la Vyama vya Siasa?

Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC


Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
wa TEC si alikuepo 😳
 
Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC


Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
TEC hawawezi kugomea, kuzira, kujivunga, au kupuuza kongamano lolote linalojadili masuala ya KITAIFA eti wawaachie wengine wafanye wanavyotaka halafu baadae waje kulaumu, hawawezi kufanya hivyo kamwe.
Walikuepo zaidi ya moja tena kwa platform zaidi ya moja kwenye ukumbi moja.
 
Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?

Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
Aisee, naona umeamka sio sawa. Hao waumini wake watasimama hadharani kuunga mkono huo mkataba?
Mfano, makamu wa raisi ni mkatoliki sasa ataweza kusimama hadharani na kusema maaskofu wamekosea. Una maana gani unaposema taasisi hizi hazina impact yoyote
 
Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?

Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
Hayo ni mawazo ya mhitimu wa madrassa
 
Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC

Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
Hizo ndio taasisi pekee zinazojitambua kwa sasa nchini.
Wacha hao wanafiki wengine waendeleze unafiki wao
 
Hivyo hivyo Ila hajasema gazeti kasema Katiba ni kitabu km kilivyo kitabu cha 'Adili na Nduguze' Shaaban Robert
Kwahiyo kiliitishwa kongamano la kujadili kitabu cha Adili na nduguze utaenda?
 
Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?

Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
Mamlaka ya nchi iliyopatikana kwa uchaguzi wa kihayawani nayo ni ya kuogopwa?
 
Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC

Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
TEC waende kufanya nini kwenye kongamano la vyama vya siasa?
 
Hivyo hivyo Ila hajasema gazeti kasema Katiba ni kitabu km kilivyo kitabu cha 'Adili na Nduguze' Shaaban Robert


Maana maudhui ya kikao yalikuwa kujadili kitabu cha Adili na Nduguze, unaona ulivyo na akili ya hovyo.
 
Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC

Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
TEC ni chama cha siasa?
 
Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?

Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine

Hapo vipi 👆👆👆👆👆
 
Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?

Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
IBARA 4 (2) ya mkataba huu wa Kimangungo inasema Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Yaani Tanzania iombe ridhaa Dubai kwa Mali zake? Huu ujinga ubaki kwako na CCM yako.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Eti Umeuliza; toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa ya ushawishi?

Unaonekana una upeo mdogo sana, huijui nguvu ya taasisi kama TEC kwenye ushawishi wa kisiasa?

Nani anayejidanganya hapo?!

Umeuliza swali kimhemko sana, kaa tulia tafakuri upya, usikurupuke siku nyingine.
Mnapoteza muda tuu kuendekeza negativity kwa kiongozi wa nchi
 
IBARA 4 (2) ya mkataba huu wa Kimangungo inasema Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Yaani Tanzania iombe ridhaa Dubai kwa Mali zake? Huu ujinga ubaki kwako na CCM yako.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ule siyo mkataba mkuu, taasisi ya serikali yenye mamlaka kuingia mikataba ya bandari ni TPA basi na siyo vinginevyo. Kuhusu hiyo ibara ya nne inazungumzia kujikinga na conflict of interests au mgongano wa kimaslahi soma pia s.4 ya land act
 
Back
Top Bottom