Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wa TEC si alikuepo 😳Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC
Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
DuuhAkili kubwa kama CHADEMA na TEC wanapasws kuwa consultants na siyo participants.
Halafu wana watu wengi karibu nusu ya idadi ya watzAkili kubwa kama CHADEMA na TEC wanapasws kuwa consultants na siyo participants.
TEC hawawezi kugomea, kuzira, kujivunga, au kupuuza kongamano lolote linalojadili masuala ya KITAIFA eti wawaachie wengine wafanye wanavyotaka halafu baadae waje kulaumu, hawawezi kufanya hivyo kamwe.Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC
Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
Pitia Mpanda kuna ugali mkubwa umepikwa hapaNipo hapa Kijiji Cha Kumshindwi Kasulu Kigoma Tanzania.Nakuja.
Aisee, naona umeamka sio sawa. Hao waumini wake watasimama hadharani kuunga mkono huo mkataba?Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?
Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
Mama alichanganyikiwa kuona wadau muhimu kama TEC na CHADEMA hawapo,kilichobaki ikawa ni kuimba taarabu jukwaani.Aibu kubwa sana kwa taifa!
Hayo ni mawazo ya mhitimu wa madrassaWacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?
Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
Hizo ndio taasisi pekee zinazojitambua kwa sasa nchini.Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC
Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
Kwahiyo kiliitishwa kongamano la kujadili kitabu cha Adili na nduguze utaenda?Hivyo hivyo Ila hajasema gazeti kasema Katiba ni kitabu km kilivyo kitabu cha 'Adili na Nduguze' Shaaban Robert
Mamlaka ya nchi iliyopatikana kwa uchaguzi wa kihayawani nayo ni ya kuogopwa?Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?
Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
TEC waende kufanya nini kwenye kongamano la vyama vya siasa?Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC
Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
Hivyo hivyo Ila hajasema gazeti kasema Katiba ni kitabu km kilivyo kitabu cha 'Adili na Nduguze' Shaaban Robert
TEC ni chama cha siasa?Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC
Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
Acha porojo hujafatilia TEC walikuepoMama alichanganyikiwa kuona wadau muhimu kama TEC na CHADEMA hawapo,kilichobaki ikawa ni kuimba taarabu jukwaani.Aibu kubwa sana kwa taifa!
Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?
Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
IBARA 4 (2) ya mkataba huu wa Kimangungo inasema Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Yaani Tanzania iombe ridhaa Dubai kwa Mali zake? Huu ujinga ubaki kwako na CCM yako.Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?
Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
Mnapoteza muda tuu kuendekeza negativity kwa kiongozi wa nchiEti Umeuliza; toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa ya ushawishi?
Unaonekana una upeo mdogo sana, huijui nguvu ya taasisi kama TEC kwenye ushawishi wa kisiasa?
Nani anayejidanganya hapo?!
Umeuliza swali kimhemko sana, kaa tulia tafakuri upya, usikurupuke siku nyingine.
Ule siyo mkataba mkuu, taasisi ya serikali yenye mamlaka kuingia mikataba ya bandari ni TPA basi na siyo vinginevyo. Kuhusu hiyo ibara ya nne inazungumzia kujikinga na conflict of interests au mgongano wa kimaslahi soma pia s.4 ya land actIBARA 4 (2) ya mkataba huu wa Kimangungo inasema Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Yaani Tanzania iombe ridhaa Dubai kwa Mali zake? Huu ujinga ubaki kwako na CCM yako.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app