CHADEMA na TEC hawakutuma Mwakilishi kwenye Kongamano la Vyama vya Siasa?

CHADEMA na TEC hawakutuma Mwakilishi kwenye Kongamano la Vyama vya Siasa?

TEC wawepo kwenye mkutano au wasiwepo hiyo siyo issue kubwa. Kubwa ni nguvu waliyo nayo hawa jamaa ndani ya taifa hili. Kama kuna mtu hajaiona hiyo nguvu basi atakuwa atakuwa na tatizo. Rejeeni moto wa bandari ulivyokuwa na namna bunge letu lilivyopitisha ule mkataba halafu likajiandaa kurekebisha sheria kufuta sheria za Magufuli kulinda maliasili zetu. Baada ya waraka nini kilifuatia? Kwa uchache tu:-
- Tuliona mbunge wa Bunda anaweweseka hadharani ndani ya kanisa anatubu wakati misa inaendelea.
-Ghafla tu watetezi wa huo mkataba wamepotelea kusikojulikana.
-Ghafla tu mamlaka ya bandari wametangaza tenda magazetini wakati IGA ilitamka bandari zote zipo chini ya DPW
-Tumeona jinsi mhimili mmoja ulivyonywea kwenye hili suala wakati wanaanza kikao chao tofauti kabisa na walivyokuwa mwanzoni wakati wanapitisha IGA.

Hayo ni kwa uchache tu. Je kuna ushahidi gani mwingine unahitajika kujua nguvu ya TEC kwenye nchi hii? Ukitaka kujua TEC wamechukulia umuhimu suala fulani na hasa lenye manufaa kwa taifa na watanzania angalia aina ya uwakilishi wao na mara nyingi utamuona father Kitima. Lakini iwapo suala sio muhimu sana na halina manufaa kwa taifa atatumwa mwakilishi mwingine tu wa kawaida.

Ni mtizamo tu.
 
Idara ya ujasusi ikoimara jiulize wangeenda na hutuba Zima iliwasema wao
 
Maana maudhui ya kikao yalikuwa kujadili kitabu cha Adili na Nduguze, unaona ulivyo na akili ya hovyo.
Utaelewa tu ukikaa kwa kutulia Ila ukikurupuka utazidi kuchanganyikiwa zaidi na wewe kwa akili zako za kushikwa nyuma km tolore unataka kutuaminisha kwamba Katiba ni kitabu tu yaan Katiba haina tofauti na 'Hawa The Bus Driver' au sio?
 
Utaelewa tu ukikaa kwa kutulia Ila ukikurupuka utazidi kuchanganyikiwa zaidi na wewe kwa akili zako za kushikwa nyuma km tolore unataka kutuaminisha kwamba Katiba ni kitabu tu yaan Katiba haina tofauti na 'Hawa The Bus Driver' au sio?

Kuna mahali nimesema hayo? Ng'ooooooombe wewe!
 
Kwahiyo kiliitishwa kongamano la kujadili kitabu cha Adili na nduguze utaenda?
Wewe usitutoe kwenye reli

Swali: Katiba ni nini?

Jibu: Ni kitabu tu km vilivyo vitabu vingine
 
Mnapoteza muda tuu kuendekeza negativity kwa kiongozi wa nchi
Kiongozi wa nchi anaesema Katiba haiwezi kuleta maendeleo na bado wewe unamwona anafaa kuitwa kiongozi wa nchi? unless umejaza makamasi kichwani.
 
Tofauti na ilivyoripotiwa na Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika kuwa Chama chake hakitashiriki Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa ukweli ni kuwa Chama hicho kinashiriki

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Zanzibar mh Said Issa Mohamed Ndiye anakiwakilisha Chama hicho kwenye Mkutano huo akiwa siti ya jirani na Shehe mstaafu wa Mkoa wa DSM alhad Musa Salum

Source: Mwanahalisi Digital
 
Tofauti na ilivyoripotiwa na Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika kuwa Chama chake hakitashiriki Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa ukweli ni kuwa Chama hicho kinashiriki

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Zanzibar mh Said Issa Mohamed Ndiye anakiwakilisha Chama hicho kwenye Mkutano huo akiwa siti ya jirani na Shehe mstaafu wa Mkoa wa DSM alhad Musa Salum

Source: Mwanahalisi Digital
Huo mkutano unahusu bara, Zanzibar wanakatiba yao na wanaendesha chaguzi zao ingawa kimagamumagamu.
 
Back
Top Bottom