Heshima mbele wakuu wote mliachangia hii topic, let me say this:-
Wazee taifa liko njia panda, I have a lot of respect kwa mkuu wangu Kifimbo, aliyeanzisha hii topic, tumekuwa kwenye hizi forum kuanzia BCS, TEF, na sasa JF, jamani tembo aliyelala ni CCM, sio Chadema it is about time sasa tukawa for real, badala ya kuzunguka mbuyu, wakati wote hapa ni wananchi wa Tanzania na tunajua what time is!
I am not trying kuwapa free pass Chadema, or anybody huko upinzani, lakini kwa wale tunaowashambulia without mercy ninawaambia hivi katika siasa the name of the game ni accomplishment of the goals, ninawaomba wael wote mnaowashambulia without mercy Chadema na upinzani kwa ujumla, exactly mnachojaribu ku-accomplish ni nini hasa kwa taifa letu at this time and moment?
In the wake ya akina Chenge kuwa na dola za kimarekani $ 1,000,000 tena kwenye banki ya US sio ya bongo maaana ungesema kuwa zingewekwa hapa zingetusaidia angalau ku-recycle our economy, lakini ameziweka nje! Sasa kama Mwanasheria Mkuu tu wa utawala wa Mkapa ana hizo hela nje, je yeye mwenyewe Mkapa ana ngapi? Makamu wake ana ngapi? Waziri Mkuu wake ana ngapi?Mawaziri wake wana ngapi? Ma-RC wake wana ngapi? Ma-DC wana ngapi? Kweli mmmeshindwa kuuliza any of this simple questions badala yake mnalilia some none national ishus? What is this? Chadema inahusika vipi na matatizo tuliyonayo sasa hivi ya uongozi mbovu na usioaminika? I can understand kwamba Chadema inaaapishwa next week kuchukua power ya taifa, lakini as a nation hivi mnajua kuwa we are in leadership crisis? Debate za matatizo ya Chadema, leo zitatusaidia nini as a nation?
I mean mimi ni CCM damu, lakini kwa wale wenzangu ninaomba niwaambie hivi kuwa kule bungeni hakuna balance kati ya CCM na upinzani, sasa ninaaamini kuwa the goal ni kujaribu kuleta balance of ishus hapa JF, lakini that kind of thinking is a waste too kwa sababu political ishus haziwi created, huwa at heart ni natural ishus, now ishu ya Waziri Chenge inaweza kuwa balanced only na waziri wa upinzani kuwa na the same amount or more ya za Chenge, lakini no way inaweza kuwa balanced na ishus kama hiii ya udikteta, ninasema no way! If anything ni sisi wenyewe kujishusha hadhi tu na ku-display level ya uwezo wetu wa kufikiri, I mean hivi wakuu mnajua kuwa kweli kuhusu uozo mwingi ambao bado haujasemwa wazi kuhusiana na baadhi ya viongozi wetu na tabia zao?
Wazee lets get serious angalau kidogo, kama kuna ishu nzito huko upinzani sawa, lakini lets be realistic na taifa letu jamani, heshima kwa wote lakini please not this kind of ishus! Lets be real, exactly what are you accomplishing nationally kwa mashambuliz ya Chadema, ni kwa faida ya wananchi, taifa, wewe, au kikundi fulani, na kama ni kikundi fulani do they real care kuwa uko hapa unawalalia macho Chadema?
Ahsante Wakuu!