CHADEMA ndio chama kinachopendelewa zaidi na Rais Samia, lakini hawana adabu!

CHADEMA ndio chama kinachopendelewa zaidi na Rais Samia, lakini hawana adabu!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
CHADEMA wanasema Rais jana kawananga wao lakini ukweli ni kwamba CHADEMA ndio chama ambacho Rais Samia amekipa upendeleo sana.

CHADEMA walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi, walikuwa na mazungumzo yao pekee na wakapewa Kinana, viongozi wao ndio waliokaribishwa na Rais Ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo. Wao wamemchukulia Rais kama anawaogopa, kumbe aliamua tu kutumia busara.

Nawaambia tu kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa sasa wakifanya chochote watasikilizwa hiyo nafasi hairudi tena!
 
Chadema wanasema rais jana kawananga wao ,lakini ukweli ni kwamba chadema ndio chama ambacho rais Samia amekipa upendeleo sana,! Chadema walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi.chadema walikuwa na mazungumzo Yao pekee na wakapewa kinana ! Chadema viongozi wao ndio waliokaribishwa na rais ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo! Wao wamemchukulia rais kama anawaogopa ,kumbe aliamua TU kutumia busara ! Nawaambia TU kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa Sasa wakifanya chochote watasikikizwa ,hiyo nafasi hairudi Tena! ....
Wao ni chama pekee kilicho serious.
Wao ndio pekee wanalalamikia uvunjifu wa katiba.
Wee ulitaka upendeleo apewe lipumba aliyeshiriki kt uvunjifu wa sheria akishirikiana na JPM the devil and evil??
Huna hoja mkuu
 
Chadema wanasema rais jana kawananga wao ,lakini ukweli ni kwamba chadema ndio chama ambacho rais Samia amekipa upendeleo sana,! Chadema walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi.chadema walikuwa na mazungumzo Yao pekee na wakapewa kinana ! Chadema viongozi wao ndio waliokaribishwa na rais ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo! Wao wamemchukulia rais kama anawaogopa ,kumbe aliamua TU kutumia busara ! Nawaambia TU kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa Sasa wakifanya chochote watasikikizwa ,hiyo nafasi hairudi Tena! ....
Bila CHADEMA kusikilizwa,hakuna Rais atakayetawala Kwa amani
Kwa ilivyo Kwa RC kuwa na waumini wengi nchini,ndivyo ilivyo Kwa CHADEMA
 
Hata Magufuli aliishia kuiba kura akiiogopa CHADEMA. Usifanye mchezo na CHADEMA. Jana mama kaishia kuhadidhia kuwa kalelewa kwenye maadili na BLA BLA zingine ili tu kujifanya CHADEMA ionekane sio.
 
Chadema wanasema rais jana kawananga wao ,lakini ukweli ni kwamba chadema ndio chama ambacho rais Samia amekipa upendeleo sana,! Chadema walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi.chadema walikuwa na mazungumzo Yao pekee na wakapewa kinana ! Chadema viongozi wao ndio waliokaribishwa na rais ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo! Wao wamemchukulia rais kama anawaogopa ,kumbe aliamua TU kutumia busara ! Nawaambia TU kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa Sasa wakifanya chochote watasikikizwa ,hiyo nafasi hairudi Tena! ....
Hujitambui!!

Ukizungumzia vyama vya upinzani kwa Tanzania, utamaanisha chama gani? Kuna wakati Serikali hulazimika kuzungumza na wapinzani wao, siyo kwa kupenda au kwa huruma bali kwa kulazimishwa na mazingira ya wakati.
 
Chadema wanasema rais jana kawananga wao ,lakini ukweli ni kwamba chadema ndio chama ambacho rais Samia amekipa upendeleo sana,! Chadema walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi.chadema walikuwa na mazungumzo Yao pekee na wakapewa kinana ! Chadema viongozi wao ndio waliokaribishwa na rais ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo! Wao wamemchukulia rais kama anawaogopa ,kumbe aliamua TU kutumia busara ! Nawaambia TU kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa Sasa wakifanya chochote watasikikizwa ,hiyo nafasi hairudi Tena! ....
Wajinga hufikiri rais anapendelea vyama akizungumza nao au akitoa nafasi ya kufanya mikutano mbona hiyo ni haki yao kikatiba?
 
Chadema wanasema rais jana kawananga wao ,lakini ukweli ni kwamba chadema ndio chama ambacho rais Samia amekipa upendeleo sana,! Chadema walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi.chadema walikuwa na mazungumzo Yao pekee na wakapewa kinana ! Chadema viongozi wao ndio waliokaribishwa na rais ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo! Wao wamemchukulia rais kama anawaogopa ,kumbe aliamua TU kutumia busara ! Nawaambia TU kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa Sasa wakifanya chochote watasikikizwa ,hiyo nafasi hairudi Tena! ....
CDM hawahitaji hisani ya kiongozi yoyote, na Samia anajua fika hawapendelei popote CDM, bali CCM ndio imekuwa ikipora ushindi wa CDM wazi wazi. Anachokifanya Samia ni kuwapoza CDM kwakuwa anajua ndio wenye mvuto, na wao ndio wamewapora sana ushindi wao wa halali. Anajua bila CDM kushiriki siasa za nchi hii zinadoda. Kama huamini nenda kaangalie uchaguzi mdogo wa Mbarali jinsi ulivyododa kwakuwa CDM hawashiriki.
 
Chama kinachopendelea ni CCM na sio CDM!
Omba sana ujaaliwe akili uwe na utambuzi wa kufikiri.
CDM inatetea usawa, katiba, na kulinda rasliamali za nchi,
CCM inafanya wizi, kuuza maliza za nchi na unyanganyi.
 
Back
Top Bottom