CHADEMA ndio chama kinachopendelewa zaidi na Rais Samia, lakini hawana adabu!

CHADEMA ndio chama kinachopendelewa zaidi na Rais Samia, lakini hawana adabu!

Wao ni chama pekee kilicho serious.
Wao ndio pekee wanalalamikia uvunjifu wa katiba.
Wee ulitaka upendeleo apewe lipumba aliyeshiriki kt uvunjifu wa sheria akishirikiana na JPM the devil and evil??
Huna hoja mkuu
Hoja Yako wewe hasa Ninini zaidi ujinga na upumbavu
 
Bila CHADEMA kusikilizwa,hakuna Rais atakayetawala Kwa amani
Kwa ilivyo Kwa RC kuwa na waumini wengi nchini,ndivyo ilivyo Kwa CHADEMA
Kwa takwimu zipi mkuu labda mnazodanganywa na mboo we
 
CHADEMA wanasema Rais jana kawananga wao lakini ukweli ni kwamba CHADEMA ndio chama ambacho Rais Samia amekipa upendeleo sana.

CHADEMA walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi, walikuwa na mazungumzo yao pekee na wakapewa Kinana, viongozi wao ndio waliokaribishwa na Rais Ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo. Wao wamemchukulia Rais kama anawaogopa, kumbe aliamua tu kutumia busara.

Nawaambia tu kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa sasa wakifanya chochote watasikilizwa hiyo nafasi hairudi tena!
Mama anajua kama sio wizi wa kura Chadema ndio ingekuwa madarakani, na CCM wanajua siku wakiondoka madarakani upinzani utataifisha mali zote za CCM kwani ni mali za wananchi. Chadema ndio chama cha Wanachi Fisiemu ni chama cha wachumia tumbo na mafisadi.
 
CHADEMA wanasema Rais jana kawananga wao lakini ukweli ni kwamba CHADEMA ndio chama ambacho Rais Samia amekipa upendeleo sana.

CHADEMA walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi, walikuwa na mazungumzo yao pekee na wakapewa Kinana, viongozi wao ndio waliokaribishwa na Rais Ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo. Wao wamemchukulia Rais kama anawaogopa, kumbe aliamua tu kutumia busara.

Nawaambia tu kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa sasa wakifanya chochote watasikilizwa hiyo nafasi hairudi tena!
Kwani malengo ya chama ni kupata upendeleo wa dola au uungwaji mkono wa wananchi?
 
Kwanini kipendelewe?

Kwani katiba inampa rais uwezo wa kupendelea chama kimoja cha siasa na kuviavha vingine?

Kama ni hivyo Samia nae haijui katiba aliyosema jana watu wanahitaji elimu , katiba imeeleza wazi usawa sio upendeleo.

Na kwani CHADEMA walimuomba upendeleo au yeye amejipendekeza kutafuta cheap popularity?
 
CHADEMA wanasema Rais jana kawananga wao lakini ukweli ni kwamba CHADEMA ndio chama ambacho Rais Samia amekipa upendeleo sana.

CHADEMA walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi, walikuwa na mazungumzo yao pekee na wakapewa Kinana, viongozi wao ndio waliokaribishwa na Rais Ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo. Wao wamemchukulia Rais kama anawaogopa, kumbe aliamua tu kutumia busara.

Nawaambia tu kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa sasa wakifanya chochote watasikilizwa hiyo nafasi hairudi tena!
Inaonekana kijijini kwenu umesoma peke yako

Hebu acha kujifunika blanket,amka!!!!
 
Chadema hawabebeki

Hata yule Shujaa Magufuli aliwapenda sana wakaanza kumuita Uchwara
Aliyekwambia Chadema wanataka wabebwe nani? Ukibebwa ni lazima ujue aliyekubeba anaweza wakati wowote kukuachia uanguke.
Marehemu Magufuli na CCM kwa ujumla haijawahi na haitakuja kuipenda Chadema.

Amandla...
 
CHADEMA wanasema Rais jana kawananga wao lakini ukweli ni kwamba CHADEMA ndio chama ambacho Rais Samia amekipa upendeleo sana.

CHADEMA walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi, walikuwa na mazungumzo yao pekee na wakapewa Kinana, viongozi wao ndio waliokaribishwa na Rais Ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo. Wao wamemchukulia Rais kama anawaogopa, kumbe aliamua tu kutumia busara.

Nawaambia tu kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa sasa wakifanya chochote watasikilizwa hiyo nafasi hairudi tena!
TUWE WAKWELI, TUSIFICHANE TUELEZANE WAZI WAZI.
KUNA BINADAMU WANAZALIWA KINYUME NA MAUMBILE ZA MAMA ZAO,
NA WANAJULIKANA KWA MATENDO NA MANENO YAO:

KWA MFANO TU:
KATIKA VYAMA VYA SIASA TANZANIA NI CHAMA GANI KINA NGUVU? kati ya hivi?
-Chama cha mapinduzi (ccm)
-Civic United Front (CUF)
-National Convention for Construction and Reform - NCCR
-Union for Multiparty Democracy (UMD)
-National League for Democracy (NLD)
-United Peoples’ Democratic Party (UPDP)
-National Reconstruction Alliance (NRA)
-Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA)

AU BASI,

SASA KWA NINI KILA UZI MNAONGELEA CHAMA HIKI HIKI??
 
TUWE WAKWELI, TUSIFICHANE TUELEZANE WAZI WAZI.
KUNA BINADAMU WANAZALIWA KINYUME NA MAUMBILE ZA MAMA ZAO,
NA WANAJULIKANA KWA MATENDO NA MANENO YAO:

KWA MFANO TU:
KATIKA VYAMA VYA SIASA TANZANIA NI CHAMA GANI KINA NGUVU? kati ya hivi?
-Chama cha mapinduzi (ccm)
-Civic United Front (CUF)
-National Convention for Construction and Reform - NCCR
-Union for Multiparty Democracy (UMD)
-National League for Democracy (NLD)
-United Peoples’ Democratic Party (UPDP)
-National Reconstruction Alliance (NRA)
-Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA)

AU BASI,

SASA KWA NINI KILA UZI MNAONGELEA CHAMA HIKI HIKI??
Mti wenye matunda daima ndiyo upigwao mawe
 
Ukweli ni kuwa Rais anajua kuwa Chadema ndiyo chama pekee ambacho kinaweza kupata ridhaa ya kuongoza nchi hii bila msaada na mbeleko ya vyombo vya dola. Kinachompa tatizo Rais ni nguvu ya wahafidhina wa ndani ya chama chake ambao hawataki Chadema ifanye siasa kwa uhuru kama Katiba inavyowapa haki hiyo.
 
CHADEMA wanasema Rais jana kawananga wao lakini ukweli ni kwamba CHADEMA ndio chama ambacho Rais Samia amekipa upendeleo sana.

CHADEMA walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi, walikuwa na mazungumzo yao pekee na wakapewa Kinana, viongozi wao ndio waliokaribishwa na Rais Ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo. Wao wamemchukulia Rais kama anawaogopa, kumbe aliamua tu kutumia busara.

Nawaambia tu kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa sasa wakifanya chochote watasikilizwa hiyo nafasi hairudi tena!
tena tunapoelekea uchaguzi. I can confirm to you ladies and gentlemens , kuwa katika vyama 22 vyenye usajili wa kudumu nchini, vyama 20 vitaungana na CCM kuiadabisha chadema itakayokuwa imegawanyika upande wa ufipa na ile ya Mikocheni.
 
Wao ni chama pekee kilicho serious.
Wao ndio pekee wanalalamikia uvunjifu wa katiba.
Wee ulitaka upendeleo apewe lipumba aliyeshiriki kt uvunjifu wa sheria akishirikiana na JPM the devil and evil??
Huna hoja mkuu
Mkiendelea kumsema hivi vibaya Rais Magufuli ndiyo mnazidi kupotea
 
CHADEMA wanasema Rais jana kawananga wao lakini ukweli ni kwamba CHADEMA ndio chama ambacho Rais Samia amekipa upendeleo sana.

CHADEMA walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi, walikuwa na mazungumzo yao pekee na wakapewa Kinana, viongozi wao ndio waliokaribishwa na Rais Ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo. Wao wamemchukulia Rais kama anawaogopa, kumbe aliamua tu kutumia busara.

Nawaambia tu kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa sasa wakifanya chochote watasikilizwa hiyo nafasi hairudi tena!
Kupendwa ndo nini? Na adabu ndo kitu gani ? Iinapokuja swala la maslai ya taifa upendo huo hatutaki.
Ila linapo kuja swala la kijamii na Rais kama mwana jamii hatuna pingamizi na upendo, na kueshimiana,

Kijamii hata mimi uyu mama namheshim na kumpeda sana, ila sio latika mambo nyeti ya kitaifa period
 
CHADEMA wanasema Rais jana kawananga wao lakini ukweli ni kwamba CHADEMA ndio chama ambacho Rais Samia amekipa upendeleo sana.

CHADEMA walipewa nafasi ya kusikilizwa binafsi, walikuwa na mazungumzo yao pekee na wakapewa Kinana, viongozi wao ndio waliokaribishwa na Rais Ikulu mara nyingi zaidi kwa mazungumzo. Wao wamemchukulia Rais kama anawaogopa, kumbe aliamua tu kutumia busara.

Nawaambia tu kwamba wamechezea bahati wasidhani kwa sasa wakifanya chochote watasikilizwa hiyo nafasi hairudi tena!
chadema haihitaji kisikilizwa na wauwaji yani chadema iendelee kuungana na wauza bandar, wauwaji wa watu ngorongoro huo utakuwa upumbavu tena chadema iendelee kushikilia hapo hapo mpaka wapumbavu wa ccm na kiongoz wao wapate akili, eti chadema imechezea bahati unaijua chadema wewe alishindwa mbwa wenu dikiteta sembuse mcheza kizmkazi.
 
Back
Top Bottom