Uchaguzi 2020 CHADEMA, ni wakati mwafaka mgombea Urais Mh. Tundu Lissu kutumia Helicopter kwa siku 10 hizi zilizobaki


Asante..

Kwa hiyo kumbe kuna hofu ya kumdungua akiwa juu siyo?

Kama intelejensia ya chama inaonesha ishara ya hatari, tuendelee na Magari..

Lakini ile jana mgombea Urais - CHADEMA, Tundu Lissu anatoka Kongwa zile gari mbili za polisi (ya nyuma na ya mbele) zinazo escort na ku - clear njia ya mgombea Urais kama sheria inavyoelekeza hazikuwepo...

Hii ikawa ni ishara ya hatari kwa Tundu Lissu. Sijui kamanda wa polisi (RPC) mkoa wa Dodoma na OCD wa wilaya ya Dodoma walikuwa na mpango gani tu? Je, waliweka wakora njiani wasababishe ajali na kumuua Tundu Lissu?

Hatuwezi kujua. Lakini any one can suspect that..
 
Helikopta walimzuia kutumia
 
Helikopta walimzuia kutumia
Kuzuiwa kwake wakati huo ilikuwa ni kwa kigezo cha "umri wa Rubani kuwa Mkubwa" contrary na matakwa ya sheria..

I thought, hilo lingeweza kurekebishwa mara moja kwa kupata Rubani wa umri unaotakiwa...
 
Kuzuiwa kwake wakati huo ilikuwa ni kwa kigezo cha "umri wa Rubani kuwa Mkubwa" contrary na matakwa ya sheria..

I thought, hilo lingeweza kurekebishwa mara moja kwa kupata Rubani wa umri unaotakiwa...

..baada ya kuzuiliwa kurusha helikopta waka-test kampeni za kutumia magari.

..walichogundua ni kwamba kampeni za magari ni more effective.

..kama wasingefungiwa kwa wiki moja wangeweza kumaliza kampeni vizuri.

..tatizo sasa hivi inabidi walipie zile siku saba walizokuwa wamefungiwa.
 
Ofcoz kila mtu anajua kuwa hilo ni tatizo..

Hivyo vyama vingine defenetely, viko pale kimakakati kuisaidia CCM na kupunguza speed na makali ya CHADEMA na Tundu Lissu..

Wanapaswa kukabiliana na hali hii kwa vyovyote vile..

There's no going back. Lazima mapambano yaendelee ktk mazingira haya haya hadi kuufukia ushindi...
 
Wakati serikali ina hamasisha watu waende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu Chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mbaka ipatikane katiba Mpya, Chakushangaza baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu chadema watadai wameibiwa kura.
Kwani serikali ilihamasisha wanaccm pekee au umeishiwaaa akiliiii
 
Hii ndo demokrasia mnayoililia kila mkipata keyboard?
 
Mimi nilikuwa mwanaCCM na uongo mbaya hali ilivyo ndani ya CCM ni mbaya na wako desperate wanaweza hata kuidungua hiyo Chopa kwani hawashindwi iwapo walitoka kumuua Lissu akiwa Ardhini huko hewani ndio kazi inakua rahisi

Nashauri Lissu amekula Ng'ombe nzima kamkia ka huko Kusini akamalizie hata kwa Mtumbwi
 
Wakupe soda mm ntalipiaaa
 
Ushauri wako wameusikia, na Leo hii chopa ipo angani
 

Kabla hujamshauri kutumia chopper, mchangie pesa ya kukodisha chopper. Zina gharama hizo. Pia fikiria usalama wa chopper hasa wakati huu. Msijedai kuhujumiwa!
 
CHADEMA kwa Siku hizi Kumi ( 10 ) zilizobaki sishauri kabisa 'Mtani' wangu Tundu Lissu atumie 'Chopper' kwani ya Deo Filikunjombe hayako mbali.
 
Chopa atoe wapi wakati mwenyekiti mwenyewe kamsusa. Chama cha Mbowe cha kipuuzi Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…