John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Yes, inawezekana kabisa, lakini siyo kwa kupitia chaguzi za kisiasa.Je Unajua Ipo CCM yaweza toka madarakani hata kwa Katiba hii hii?
Kwakuwa Katiba inaweza kuwa hata nzuri ila wa kuilinda wakawa waoga
Watanzania ni waoga sana kwenye haki zao sijui kwanini !
Watamlipa nini akiukosa?Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!
Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,
Britanicca
Sidhani kama hili linahitaji mjadala.Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!
Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,
Britanicca
Ngoma ibaki kama ilivyokua 2020 ,lissu na mgombea mwenza wa 2020, Mwalim kwa nini nasema hiviNaunga mkono hoja Lissu agombee, na mgombea mwenza atafutwe mwanamke msomi na mwenyekuweza kujenga hoja
Subutu ,siku ya mdahalo , utasikia mtu yuko ChinaTundu Lisu anatosha...tena uandaliwe mdahalo na kizimkazi tuone yale macho kama hayatadondoka chini!
Huyo Mwamba wanamuogopa mno,yaani akishinda Lissu Sidhani kama atatangazwa maana atawafunga watu wengi sana kwa ufisadi!Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!
Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,
Britanicca
Wewe unataka kuturudisha kwa Mama Abdul endapo litatokea la kutokea.Kikombe ichi kitupishe kwa kweli!!Naunga mkono hoja Lissu agombee, na mgombea mwenza atafutwe mwanamke msomi na mwenyekuweza kujenga hoja
Je Unajua Ipo CCM yaweza toka madarakani hata kwa Katiba hii hii?
Maana hata ukisema itafutwe Katiba Mpya kwanza ndo sasa tuta subiri nayo inakuwa imekaa ki CCM CCM !
Kwakuwa Katiba inaweza kuwa hata nzuri ila wa kuilinda wakawa waoga
Watanzania ni waoga sana kwenye haki zao sijui kwanini !
Watanzania unaweza ukawa Rais ukapitisha Tangazo kwamba tokea leo kila mtanzania Alale saa mbili jion nao wakatii, Bila kuulizwa sababu!
Au akaja Rais akasema hakuna uchaguzi Tena tutakuwa tunachagua raia anapokufa na wakatii,
Watanzania wako serious kwenye masuala ya timu ZAO za Mpira ndo maana akina magoma wana guts za Kwenda kuishtaki Yanga , au wanachama wa SIMBA wako tayari kuandamana timu inapofanya vibaya Ila hawako tayari kuandamana kumwajibisha kiongozi,
Ndo maana nasema Katiba Mpya ni Muhimu ! Je hii iliyopo hao CCM Wanayatimiza yaliyomo?
Britanicca
Acheni mizaha ya kijinga..!Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!
Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,
Britanicca
Bwege la lumumbaHakuna MTANZANIA atakayechagua kuongozwa na Raia wa Ubelgiji.
Wapenda haki wote tumekuelewa, tumelipokea na tunaliunga mkono.Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!
Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,
Britanicca
Sio ataleta changamoto tu bali atachukua ndooKuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!
Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,
Britanicca
Wala Lisu hataki umuunge mkono.Naiunga mkono CDM kulingana na kwamba CCM kimegawa raslimali zetu huku tukibaki bila ajira na maendeleo yanaenda kidokidogo sana. Ufisadi wa kufa mtu.
Ila simuungi mkono Lissu.