Pre GE2025 CHADEMA ni Wakati wa Kwenda na Lissu. Msisite, nina sababu…

Pre GE2025 CHADEMA ni Wakati wa Kwenda na Lissu. Msisite, nina sababu…

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!

Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,




Britanicca
Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!

Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,

Britanicca
Uko sahihi, lakini Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Tatizo litakalomkwamisha Lissu ni kama atakuwa na fedha na rasilimali za kutosha kufanya kampeni nchi nzima, na kila mahali ambapo Ccm itafika.
Hili lilithibitika 2020 sio kikwazo kwa Lissu.
.umesahau alifanya kampeni bila bango lake hata moja? Na vyombo vya habari vilimkimbia vikiogopa mkong'oto wa mzee. Lkn Lissu alimnyosha sana Magufuli kwenye Uchaguzi.

Dunia inajua, Taifa linajua
 
Naiunga mkono CDM kulingana na kwamba CCM kimegawa raslimali zetu huku tukibaki bila ajira na maendeleo yanaenda kidokidogo sana. Ufisadi wa kufa mtu.

Ila simuungi mkono Lissu.
Mkuu humuungi mkono Lisu kwa lipi?
 
Hata kama hatumkubali sana SSH, lakini hatuwezi kutoa urais kwa:
1. Mtu ambaye ni raia wa nchi nyingine
2. Utengamano wa uwezo wake wa kufikiri hutegemeana na majira ya mwezi.
Hata mkituroga, hatumpi ng'ooo!
 
Hili lilithibitika 2020 sio kikwazo kwa Lissu.
.umesahau alifanya kampeni bila bango lake hata moja? Na vyombo vya habari vilimkimbia vikiogopa mkong'oto wa mzee. Lkn Lissu alimnyosha sana Magufuli kwenye Uchaguzi.

Dunia inajua, Taifa linajua

..kampeni yake ilikuwa na mapungufu mengi.

..tunaweza kulaumu mazingira ya wakati ule, lakini safari hii turekebishe mapungufu ya safari iliyopita.
 
2025 naona uchaguzi mwepesi kwa opposition. Yaani wakikaza ndio mwaka wao.
 
Lissu ana sifa ambaye yeyote hana. Amepigwa risasi 16 na akaendelea kuwa hai, inaonekana Mungu amemnusuru awasaidie Watanzania.
 
Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!

Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,




Britanicca
Lissu anapaswa kuwa Waziri Mkuu wa Rais fulani lakini kwa nafasi ya Urais HAPANA. Lissu hawezi kuwa Rais. Lissu ni mtu tu wa kutumwa na kutekeleza. Nina ushahidi wa kauli zake nyingi kabla hajapigwa risasi na baada ya kupigwa risasi.

Urais unahitaji mtu mwenye utulivu wa akili, busara na asiye na ghadhabu. Kwenye uongozi tofauti ya Lissu na Magufuli ni ndogo sana.

Kama CHADEMA inaweza kutoa kiongozi mzuri basi ni Mbowe anazo qualities zote. Lakini ni mfanyabiashara. Atatumia fursa zote kujitajirisha kama anavyofanya na fedha na raslimali za chama. Wakishindwa basi John Mnyika ana busara kuliko Lissu
 
Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!

Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,
Britanicca
Mkuu britanicca, hakuna ubishi TL is good ndio maana nilishauri 2020 asimame na Magufuli Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! kwasababu ana uwezo fulani zaidi ya Magufuli!, lakini kwa uchaguzi wa 2025 kwa vile mgombea wa CCM ni mwanamke, ni Rais Samia, kwa ule uwezo wa TL kuliko Magufuli, kwa huyu mama itakuwaje?!, sini atamuogesha kwa mvua ya ... mimi nimeshauri Chadema Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!
Mnaonaje?.
P
 
Naunga mkono hoja Lissu agombee, na mgombea mwenza atafutwe mwanamke msomi na mwenyekuweza kujenga hoja
Aah mambo ya mwanamke kwasasa watu wengi hawataki ikiwemo na mimi...wanaonesha upungufu mkubwa sana.
 
Back
Top Bottom