Pre GE2025 Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Nov 19, 2024
Posts
94
Reaction score
307

Tundu Lissu amesema hayo baada ya kuwasili kwenye ofisi ya Makao Makuu ya CHADEMA tokea achaguliwe kuwa mwenyekiti wa Chama hicho.

Tundu Lissu amesema kuwa tuna uchaguzi Mkuu Oktoba, na tuna No Reform No Election. Hayo mambo mawili hayaendi pamoja, kiswahili chake ni Hakuna Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi. Siyo hatutasusia Uchaguzi.

Hatujazungumza Boycott, hakuna uchaguzi. Tuone tutawezaje kwenda nayo mbele, either kwa pamoja kama inawezekana au tuamue lipi muhimu zaidi. Tunaenda kujifungia ili tuijadili hii na chama, haitakuwa ni uamuzi wa Tundu Lissu, itakuwa ni uamuzi wa chama.

Inabidi tuzungumze lugha pekee anayoweza kuzungumza Rais Samia, na ataizungumza kwasababu nani anayetaka uchaguzi kama wa mwaka jana(Serikali za Mitaa - 2024), Uchaguzi wa 2020, uchaguzi wa 2019? No reform No Election. Na Tutazungumza lugha ambayo Samia ataielewa, na tutazungumza hii habari na kila mtu mchana kweupe, hatuna chochote cha kuficha, hatuna ajenda ya siri.

Pia soma
 
Amesema chama kitakaa na kujadili kuhusu no reform no election.
Hapo mwanzo alisema huo ndio msimamo wa chama hautabadilika.
Baada ya kuona ccm wapo seriously na hili jambo kaamua kubadili gia angani
Kama ya Mbowe Kama ya Lissu
 
Amesema chama kitakaa na kujadili kuhusu no reform no election.
Hapo mwanzo alisema huo ndio msimamo wa chama hautabadilika.
Baada ya kuona ccm wapo seriously na hili jambo kaamua kubadili gia angani
Kama ya Mbowe Kama ya Lissu
Nonsense. Hata hotuba haijaisha umeshajiwahi. Msikilize hadi mwisho,utamuekewa.
 
Lissu kaonesha kwamba nchi hii kutafisiri maneno, ni tungo tata sana ambazo zinaeleweka kwa wale wenye D 2 tu.
Hata Wasirra na Makala wameingia cha kike kwa tafsiri potofu walio itoa tofauti na Chadema walivyo itafsiri.
 
Amesema chama kitakaa na kujadili kuhusu no reform no election.
Hapo mwanzo alisema huo ndio msimamo wa chama hautabadilika.
Baada ya kuona ccm wapo seriously na hili jambo kaamua kubadili gia angani
Kama ya Mbowe Kama ya Lissu
Hanaga msimamo huyo 😁😁
 
Tundu Lissu amesema hayo baada ya kuwasili kwenye ofisi ya Makao Makuu ya CHADEMA tokea achaguliwe kuwa mwenyekiti wa Chama hicho.

Tundu Lissu amesema kuwa tuna uchaguzi Mkuu Oktoba, na tuna No Reform No Election. Hayo mambo mawili hayaendi pamoja, kiswahili chake ni Hakuna Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi. Siyo hatutasusia Uchaguzi. Hatujazungumza Boycott, hakuna uchaguzi. Tuone tutawezaje kwenda nayo mbele, either kwa pamoja kama inawezekana au tuamue lipi muhimu zaidi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nyumbu wanachezeshwa shere tuu
 
Amesema chama kitakaa na kujadili kuhusu no reform no election.
Hapo mwanzo alisema huo ndio msimamo wa chama hautabadilika.
Baada ya kuona ccm wapo seriously na hili jambo kaamua kubadili gia angani
Kama ya Mbowe Kama ya Lissu
Hili jamaa Tapeli sana!! Mi nasikiaga hata kinyaa kumsikiliza….
 

Attachments

  • IMG_1363.jpeg
    IMG_1363.jpeg
    99 KB · Views: 5
Lissu kaonesha kwamba nchi hii kutafisiri maneno, ni tungo tata sana ambazo zinaeleweka kwa wale wenye D 2 tu.
Hata Wasirra na Makala wameingia cha kike kwa tafsiri potofu walio itoa tofauti na Chadema walivyo itafsiri.
yaani ukipenda chongo utaona kengeza ,chadema mnafanywa mataahira kwa kiwangoi cha juu sana yaani hapo umemuelewa lissu na huo ujinga anausema? kasoma akili zenu manyumbu wa chadema na kasikiliza upepo unavyoenda kuwa watamuona hana akili akisusia uchaguzi kaamua aje na tafsiri ya kipuuzi kama hiyo nayie mmeingia kingi bado mnakazi ndefu sana ya kuja kushika dola labda mjaribu mwaka 2060
 
Akipuyanga kwenye no reforms no election hakuna mtu atakayemchukulia serious tena!.

Ndimi mbili hazijawahi kumuacha mtu salama!.

Hapa lugha ni moja tu.

NO REFORMS NO ELECTION!
Hivi kwaakili yako uliamini Lissu anaweza fanya tofauti na alichofanya Mbowe?? Shida watanzania ni wajinga na wavivu sana kufwatilia vitu….

Nilikua namsikiliza sana Lissu kipindi kile cha maridhiano namna alivyokua akitetea ku compromise na wakati Samia kaalikwa kwenye mkutano wa BAWACHA alisifia akisema Rais anatembea na jukwaa kubwa ghafla akabadilika na kupondea vibaya sana hiki ndo kisa cha kumdharau vibaya mno huyo jamaa.
 
Apa umewapa ulaji team mama sa100 ngoja waje.... njoeni ila hamjui kuchunguza maana ya mtu mwenye msimamo mkali.
 
Back
Top Bottom