Pre GE2025 Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kikubwa tunataka mshiriki kwenye uchaguzi, hayo madai mengine endeleeni kuyadai, mkishinda nyie mtafanya hayo mnayotaka kwenye ilani na sera zenu
 
Akipuyanga kwenye no reforms no election hakuna mtu atakayemchukulia serious tena!.

Ndimi mbili hazijawahi kumuacha mtu salama!.

Hapa lugha ni moja tu.

NO REFORMS NO ELECTION!
Kasisitiza hakuna reform, hakuna uchaguzi.

Anaposema wataongea lugha Samia atayoilewa, anamanisha watafanya kile ambacho wakikifanya, serikali itaona umuhimu wa kuwasilikiza.
 
Hili jamaa Tapeli sana!! Mi nasikiaga hata kinyaa kumsikiliza….
Wewe punguani mnafiki, ukisema unamkubali mtu yeyote, huyo naye ni lazima awe amepungukiwa kichwani kama wewe.

Kwa mwenye akili, ukisikia punguani mnafiki anakup3nda, lazima utachukia, maana ni sawa upendwe na nzi.

Ninyi mapunguani wanafiki mkisema mnamchukia mtu mwenye akili kubwa, ni jambo la heri sana.
 
Kasisitiza hakuna reform, hakuna uchaguzi.

Anaposema wataongea lugha Samia atayoilewa, anamanisha watafanya kile ambacho wakikifanya, serikali itaona umuhimu wa kuwasilikiza.

Qeae umemwelewa vizuri sana. Inaonekana upo vizuri sana kichwani. Maana naona wengi wametoka kapa.
 
Amesema chama kitakaa na kujadili kuhusu no reform no election.
Hapo mwanzo alisema huo ndio msimamo wa chama hautabadilika.
Baada ya kuona ccm wapo seriously na hili jambo kaamua kubadili gia angani
Kama ya Mbowe Kama ya Lissu
Akili yako ndogo sana huwezi kumwelewa lisu
 
Hivi kwaakili yako uliamini Lissu anaweza fanya tofauti na alichofanya Mbowe?? Shida watanzania ni wajinga na wavivu sana kufwatilia vitu….

Nilikua namsikiliza sana Lissu kipindi kile cha maridhiano namna alivyokua akitetea ku compromise na wakati Samia kaalikwa kwenye mkutano wa BAWACHA alisifia akisema Rais anatembea na jukwaa kubwa ghafla akabadilika na kupondea vibaya sana hiki ndo kisa cha kumdharau vibaya mno huyo jamaa.
Mtu yeyote mwenye akili timamu, lazima anabadilika kutoka na hali ya mazingira ya wakati husika.

Yaani ulitaka Losu aendelee kuunga mkono maridhiano ambayo baada iligundulika ulikuwa ni ulaghai?

Sijui kama huwa unaelewa pale Wamarekani wanaposema kuwa hawana rafiki wala adui wa kudumu bali wana maslahi ya nchi ya kudumu.

Samia hata leo hii akibadilika na kuwa mkweli, kila mwenye akili nhema na anayeipenda Tanzania, bila ya kujali yupo chama gani, atamwunga mkono.
 
Amesema chama kitakaa na kujadili kuhusu no reform no election.
Hapo mwanzo alisema huo ndio msimamo wa chama hautabadilika.
Baada ya kuona ccm wapo seriously na hili jambo kaamua kubadili gia angani
Kama ya Mbowe Kama ya Lissu
Wewe akili yako imeshaliwa na malaria No. 2 kama lilivyo jina lako...

Tofautisha "KUAZIMIA" na "UTEKELEZAJI WA ULICHOAZIMIA"

Na "NO REFORMS, NO ELECTION " haina maana ya kususia uchaguzi bali ni HAKUNA UCHAGUZI KUFANYIKA KABISA KWA WOTE CCM, ACT, CHADEMA nk IWAPO HAPATAFANYIKA MABADILIKO YA MIFUMO NA SHERIA ZA KUENDESHA CHAGUZI ZILIZO HURU, ZA HAKI na UWAZI KWA KILA ANAYESHIRIKI...!!

Sasa kama kuna nafasi ya kukaa chini na kuzungumza a.k.a KURIDHIANA, then mazungumzo/maridhiano hayo msingi wake uwe ni kwa namna tutafanya reforms ili kuwezesha chaguzi za kweli na haki kufanyika hapa nchini...

Hatutaki maridhiano ya kuhongana fedha au chai au chakula ambacho kinaoza na kugeuka kesho kuwa mavi. Wala hatuhitaji maridhiano ya Samia kwenda kugawa viti vya udiwani, vya ubunge na ruzuku tukupe ngapi na mwisho "U - Rais muache kwa CCM...."

Huo ☝🏻☝🏻☝🏻ujinga na upumbavu wa ki - CCM, HAPANA bakini nao ninyi huko maana mlishajipaka rangi ya kudumu ya ujinga...!!

Na amesema na kufafanua vyema kabisa kuwa NO REFORMS, NO ELECTION ni azimio lililopititishwa na Kamati Kuu, likakubaliwa na Baraza Kuu na Mkutano Mkuu ukabariki azimio hilo na mpaka hapo sasa ni UAMUZI RASMI WA CHAMA KOTE NCHINI...

Kinachoendelea kufanyika sasa ni kuliwekea mipango au mikakati ya utekelezaji wa azimio hilo yatakayokuwa pushed kwenda serikalini kwa Samia ili atekeleze kuwezesha uchaguzi huru, wa haki na wa wazi kufanyika...

Na kama hujui, SERIKALI YA CCM NA SAMIA WAO WATATEKELEZA TU WAPENDE AU WASIPENDE...!!

Kama huamini sasa, SUBIRI UTAONA KWA MACHO YAKO....
 
Yeye mwenyewe anewahi kusema kuwa hivi karibuni wamewachanganya sana watanzania kwa kubadilibadili misimamo, kwa ndimi mbilimbili.

Sasa akileta ndimi mbili katika hili, siyo tu kwamba ataonekana kinyonga wa kisiasa bali ataifanya CHADEMA nzima idharauliwe.

Kuingia kwenye uchaguzi huku ukijua kuwa hata ushinde haupewi ni kushiriki dhambi ya kuwalaghai Watanzania, ni kushiriki dhambi ya kupoteza pesa za watanzania bure, ni kuingia kwenye uchaguzi kutafuta ruzuku tu hakuna kingine chochote!.
 
Wewe punguani mnafiki, ukisema unamkubali mtu yeyote, huyo naye ni lazima awe amepungukiwa kichwani kama wewe.

Kwa mwenye akili, ukisikia punguani mnafiki anakup3nda, lazima utachukia, maana ni sawa upendwe na nzi.

Ninyi mapunguani wanafiki mkisema mnamchukia mtu mwenye akili kubwa, ni jambo la heri sana.
 

Attachments

  • IMG_1363.jpeg
    IMG_1363.jpeg
    99 KB · Views: 1
Hivi kwaakili yako uliamini Lissu anaweza fanya tofauti na alichofanya Mbowe?? Shida watanzania ni wajinga na wavivu sana kufwatilia vitu….

Nilikua namsikiliza sana Lissu kipindi kile cha maridhiano namna alivyokua akitetea ku compromise na wakati Samia kaalikwa kwenye mkutano wa BAWACHA alisifia akisema Rais anatembea na jukwaa kubwa ghafla akabadilika na kupondea vibaya sana hiki ndo kisa cha kumdharau vibaya mno huyo jamaa.
Kwani mtu hawezi kuanza vizuri na akamaliza vibaya.
Namna Samia alivyoanza utawala wake ulikuwa na matumaini lakini ghafla akabadilika na kufanya vibaya Kama mwendazake.
Kwani kwa sasa hakuna utekaji? Yupo wapi ndg Kibao?
Kesi za kutengeneza zimeisha?
Uchaguzi wa serikali za mitaa ulikuwa huru na haki?
Kama yote haya yapo, maana yake Samia kafeli kutenda aliyohubiri wakati anaingia.
Kama kafeli ulitaka tumsifu kwa maridhiano haya ya kitapeli? Mbona unakuwa mjinga kupitiliza, tatizo lako ni uchawa na njaa ya tumbo vinakusumbua.
 
Inaonekana watu wengi wanaandika kwa ushabiki na uchawa. Wameweka akili pembeni.
 
Amesema chama kitakaa na kujadili kuhusu no reform no election.
Hapo mwanzo alisema huo ndio msimamo wa chama hautabadilika.
Baada ya kuona ccm wapo seriously na hili jambo kaamua kubadili gia angani
Kama ya Mbowe Kama ya Lissu
Wewe sheikh hujapona malaria au imepanda kichwani?
 
Mama wa kichaga hebu punguza chuki za kichaga, kakunyima ulaji kwa mumeo Mbowe una kinyongo kuliko Mbowe
 
yaani ukipenda chongo utaona kengeza ,chadema mnafanywa mataahira kwa kiwangoi cha juu sana yaani hapo umemuelewa lissu na huo ujinga anausema? kasoma akili zenu manyumbu wa chadema na kasikiliza upepo unavyoenda kuwa watamuona hana akili akisusia uchaguzi kaamua aje na tafsiri ya kipuuzi kama hiyo nayie mmeingia kingi bado mnakazi ndefu sana ya kuja kushika dola labda mjaribu mwaka 2060
Utakuwa kwenye siku zako huwezi kuelewa ila wenye akili timamu tumemuelewa. Ukimaliza period msikilize tena utamuelewa
 
Weka hapa hiyo audio au video maana wewe na yule baba wa uongo ni mapacha.
 
Tundu Lissu amesema hayo baada ya kuwasili kwenye ofisi ya Makao Makuu ya CHADEMA tokea achaguliwe kuwa mwenyekiti wa Chama hicho.

Tundu Lissu amesema kuwa tuna uchaguzi Mkuu Oktoba, na tuna No Reform No Election. Hayo mambo mawili hayaendi pamoja, kiswahili chake ni Hakuna Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi. Siyo hatutasusia Uchaguzi.

Hatujazungumza Boycott, hakuna uchaguzi. Tuone tutawezaje kwenda nayo mbele, either kwa pamoja kama inawezekana au tuamue lipi muhimu zaidi. Tunaenda kujifungia ili tuijadili hii na chama, haitakuwa ni uamuzi wa Tundu Lissu, itakuwa ni uamuzi wa chama.

Inabidi tuzungumze lugha pekee anayoweza kuzungumza Rais Samia, na ataizungumza kwasababu nani anayetaka uchaguzi kama wa mwaka jana(Serikali za Mitaa - 2024), Uchaguzi wa 2020, uchaguzi wa 2019? No reform No Election. Na Tutazungumza lugha ambayo Samia ataielewa, na tutazungumza hii habari na kila mtu mchana kweupe, hatuna chochote cha kuficha, hatuna ajenda ya siri.
Asante sana Tundu Lissu kwa uamuzi huu muhimu wa kulitetea taifa la Tanganyika na watu wake.
 
Back
Top Bottom