Pre GE2025 Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ulikuwa na msimamo huu hata kabla ya Mbowe kupigwa chini?
Uchawa ni laana maana imeandikwa "amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu".
Huyo ni tegemezi kwa Mbowe,hivyo hawezi ona lolote jema kwa Lissu.
 
Hivi kwaakili yako uliamini Lissu anaweza fanya tofauti na alichofanya Mbowe?? Shida watanzania ni wajinga na wavivu sana kufwatilia vitu….

Nilikua namsikiliza sana Lissu kipindi kile cha maridhiano namna alivyokua akitetea ku compromise na wakati Samia kaalikwa kwenye mkutano wa BAWACHA alisifia akisema Rais anatembea na jukwaa kubwa ghafla akabadilika na kupondea vibaya sana hiki ndo kisa cha kumdharau vibaya mno huyo jamaa.
Period imekupanda kichwani, watanzania tuna akili na tumemuelewa. Na hata leo tumemsikia na kumuelewa, hajakanusha no REFORM NO ELECTION slogan, hawakubali kuingia kwenye uchaguzi kama wa 2019, 2020 na 2024.

Tutazungumza lugha atakayoielewa Samia, na chama watakaa waone way forward. Tutolee chuki zako za kichawi, unaona dharau, matusi na kejeli dhidi ya mnaopishana mtazamo ndio ufumbuzi. Acha lugha wa malaya niliishakuonya, CHADEMA na watanzania wana akili kukushinda. Pathetic
 
Kikubwa tunataka mshiriki kwenye uchaguzi, hayo madai mengine endeleeni kuyadai, mkishinda nyie mtafanya hayo mnayotaka kwenye ilani na sera zenu
Utashindaje wakati hakuna mazingira ya kushinda? 2024 98% ya wagombea wa upinzani walienguliwa au hukuwepo?
 
Utashindaje wakati hakuna mazingira ya kushinda? 2024 98% ya wagombea wa upinzani walienguliwa au hukuwepo?
yule aliamua kuvuruga uchaguzi kwa utashi wake, by the way wapinzani wana nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi kama ni wa haki na wazi
 
Yeye mwenyewe anewahi kusema kuwa hivi karibuni wamewachanganya sana watanzania kwa kubadilibadili misimamo, kwa ndimi mbilimbili.

Sasa akileta ndimi mbili katika hili, siyo tu kwamba ataonekana kinyonga wa kisiasa bali ataifanya CHADEMA nzima idharauliwe.

Kuingia kwenye uchaguzi huku ukijua kuwa hata ushinde haupewi ni kushiriki dhambi ya kuwalaghai Watanzania, ni kushiriki dhambi ya kupoteza pesa za watanzania bure, ni kuingia kwenye uchaguzi kutafuta ruzuku tu hakuna kingine chochote!.
Ebu kamsikilize vizuri ameeeleza vizuri sana acha kupotoshwa
 
yule aliamua kuvuruga uchaguzi kwa utashi wake, by the way wapinzani wana nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi kama ni wa haki na wazi
Na ndicho wananchi wenye mapenzi mema na Tanzania wanahitaji. Samia na CCM hawana dhamira ya uchaguzi huru na haki
 
yaani ukipenda chongo utaona kengeza ,chadema mnafanywa mataahira kwa kiwangoi cha juu sana yaani hapo umemuelewa lissu na huo ujinga anausema? kasoma akili zenu manyumbu wa chadema na kasikiliza upepo unavyoenda kuwa watamuona hana akili akisusia uchaguzi kaamua aje na tafsiri ya kipuuzi kama hiyo nayie mmeingia kingi bado mnakazi ndefu sana ya kuja kushika dola labda mjaribu mwaka 2060
[/QUOT
Kuna msimamo wa kiongozi na msimamao wa chama . Ngoja tusubiri maazimio ya Chama Chao . Ndo tumjaji lisu. Sisi wazee tunasema unapo msema mtoto wajirani anatabia MBAYA Anza kwanza kumchunguza wa kwako.
 
Baadhi ya reforms zimeshafanyika kama Tume huru ya uchaguzi.
Tuna uhuru wa kibadili jina la Tanzania tuite Kalifonia (California). Lakini je, tukifanya hivyo tutakuwa California. Tulikuwa na tume ya uchaguzi, tukaibadili jina tukaita tume huru ya uchaguzi. Je, tume hiyo sasa ni huru?
 
Kweli Mbowe alikuwa na nyumbu wengi!

Yani leo hii wewe ndio wa kumdharau Lisu? Mbona hatukuyaona haya miezi 4 nyuma.?
 

Attachments

  • IMG_1363.jpeg
    IMG_1363.jpeg
    99 KB · Views: 1
Wana Jamvi

Leo si Mbowe alitakiwa kuwepo kukabidhi ofisi rasmi.? Inakuaje mwenyekiti anaomba tuache kusemana, tushakame kuwa kitu komoja na ameshindwa kumwita Mstaafu amkabidhi ofisi .?

Mathayo 7:5

Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako.
 
Wewe akili yako imeshaliwa na malaria No. 2 kama lilivyo jina lako...

Tofautisha "KUAZIMIA" na "UTEKELEZAJI WA ULICHOAZIMIA"

Na "NO REFORMS, NO ELECTION " haina maana ya kususia uchaguzi bali ni HAKUNA UCHAGUZI KUFANYIKA KABISA KWA WOTE CCM, ACT, CHADEMA nk IWAPO HAPATAFANYIKA MABADILIKO YA MIFUMO NA SHERIA ZA KUENDESHA CHAGUZI ZILIZO HURU, ZA HAKI na UWAZI KWA KILA ANAYESHIRIKI...!!

Sasa kama kuna nafasi ya kukaa chini na kuzungumza a.k.a KURIDHIANA, then mazungumzo/maridhiano hayo msingi wake uwe ni kwa namna tutafanya reforms ili kuwezesha chaguzi za kweli na haki kufanyika hapa nchini...

Hatutaki maridhiano ya kuhongana fedha au chai au chakula ambacho kinaoza na kugeuka kesho kuwa mavi. Wala hatuhitaji maridhiano ya Samia kwenda kugawa viti vya udiwani, vya ubunge na ruzuku tukupe ngapi na mwisho "U - Rais muache kwa CCM...."

Huo ☝🏻☝🏻☝🏻ujinga na upumbavu wa ki - CCM, HAPANA bakini nao ninyi huko maana mlishajipaka rangi ya kudumu ya ujinga...!!

Na amesema na kufafanua vyema kabisa kuwa NO REFORMS, NO ELECTION ni azimio lililopititishwa na Kamati Kuu, likakubaliwa na Baraza Kuu na Mkutano Mkuu ukabariki azimio hilo na mpaka hapo sasa ni UAMUZI RASMI WA CHAMA KOTE NCHINI...

Kinachoendelea kufanyika sasa ni kuliwekea mipango au mikakati ya utekelezaji wa azimio hilo yatakayokuwa pushed kwenda serikalini kwa Samia ili atekeleze kuwezesha uchaguzi huru, wa haki na wa wazi kufanyika...

Na kama hujui, SERIKALI YA CCM NA SAMIA WAO WATATEKELEZA TU WAPENDE AU WASIPENDE...!!

Kama huamini sasa, SUBIRI UTAONA KWA MACHO YAKO....
Swaga
 
Amesema chama kitakaa na kujadili kuhusu no reform no election.
Hapo mwanzo alisema huo ndio msimamo wa chama hautabadilika.
Baada ya kuona ccm wapo seriously na hili jambo kaamua kubadili gia angani
Kama ya Mbowe Kama ya Lissu
Mbowe wako si alishindwa?.
 
Amesema chama kitakaa na kujadili kuhusu no reform no election.
Hapo mwanzo alisema huo ndio msimamo wa chama hautabadilika.
Baada ya kuona ccm wapo seriously na hili jambo kaamua kubadili gia angani
Kama ya Mbowe Kama ya Lissu
Zilongwa mbali, zitendwa mbali!
 
Hanaga msimamo huyo 😁😁
Kama Lissu ambaye anajulikana kwa Msimamo hana Msimamo Je Mama Samia tusemeje??? . Raisi ambaye hata ripoti za mauaji anasema kwa kiki? . Lissu ni jiwe na ndiyo maana ni mashuhuri kisiasa kuliko mtu yeyote Tanzania kwa sasa. Nyie tegemeeni hao wasanii na machawa kama wewe mtaona. CCM wametoa Tsh 4B Lissu ashidwe na ushahidi upo lakini wameshidwa kwasababu jamaa anapendwa na kawazidi akili huo ndiyo ukweli
 
Kama Lissu ambaye anajulikana kwa Msimamo hana Msimamo Je Mama Samia tusemeje??? . Raisi ambaye hata ripoti za mauaji anasema kwa kiki? . Lissu ni jiwe na ndiyo maana ni mashuhuri kisiasa kuliko mtu yeyote Tanzania kwa sasa. Nyie tegemeeni hao wasanii na machawa kama wewe mtaona. CCM wametoa Tsh 4B Lissu ashidwe na ushahidi upo lakini wameshidwa kwasababu jamaa anapendwa na kawazidi akili huo ndiyo ukweli
Mashuhuri ndio kura?
 
Back
Top Bottom