CHADEMA njia pekee ya kushika dola 2030, unganisheni nguvu na team Magufuli

CHADEMA njia pekee ya kushika dola 2030, unganisheni nguvu na team Magufuli

Kwa mujibu wa mazingira ya mabadiliko ya hali ya kisiasa, 2030 ni mbali sana, kambi ya magufuli itakuwa haipo na CHADEMA ya sasa nayo itakuwa na misimamo mingine kama wanavyojipambanua kuwa misimamo yao huwa inabadilika kulingana na hali ya kisiasa ya wakati uliopo. Sura kamili itajulikana baada ya uchaguzi mkuu wa 2030
 
Kuna muandishi wa habari aliuliwa laivu lakini hata hawamuongelei. Kuna dokta alitekwa na kung'olewa kucha wala hawamtaji
Ile awamu nakumbuka kuna watu walipigwa mabom arusha na mashumbusi .wa dr. Slaa
 
Miaka takribani 2 imepita toka afariki Hayati Rais wa awamu ya tano John Pombe Magufuli na juzi tarehe 17/03/2023 tumeazimisha miaka miwili ya kifo chake kwa masikitiko makubwa.

Baada ya kufariki kiongozi wa awamu ya 5 nchi imepitia vipindi tofauti ambavyo vimethibitisha na kudhihirisha aina ya siasa yetu kama nchi.

Kukosekana kwa misimamo,chuki na hasira zimekithiri zidi ya siasa za Rais alopita na hata safu yake ya uongozi imeonekana kuwa ni butu hadi kupelekea watu aliowaamini ni dhaifu na hawawezi kwenda pamoja kwenye serikali iliyopo.

Katika kumbukumbu zangu kuna majina mengi yaliondolewa kwenye orodha ya serikali hii ya 6 akiwemo Ndugu Polepole, Bashiru pamoja na wengineo.

CCM imejisahaulisha kuwa imepitia kipindi hicho cha mpito dhidi ya watu hawa ambao waliopenda na kuzoea mfumo uliopita wa Rais Magufuli pia ni dhahiri bado hakuna maelewano mazuri kati ya pande hizo mbili mpaka sasa.

CCM imejisahaulisha Zaidi kwa kuingia makubaliano dhidi ya chama cha upinzani ambacho kilichoharibu sifa za awamu iliyopita kwa kuonekana mbaya kwenye Taifa kuliko awamu zote sababu hiyo tu,inatosha kuwafanya CHADEMA kuungana na CCJ ili kujivika taji la nchi ifikapo mwaka 2030.


Binafsi naona mafanikio makubwa ya CHADEMA kwenye CCJ kuliko CCM hili litadhirika ifikapo 2024 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na 2025 kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa.

Salamu.

Sijui mtu gani huyo from lake zone ataisapoti chadema ambayo wafuasi wake wengi ni from north isipokua labda only TANGA CITY 😁
 
Kwa nyongeza tu, mama aachiwe apite bila kupingwa na chama chochote ili alete katiba mpya. Hivi vyama vya upinzani itabidi vife kifo cha uongo japo vimeruhusiwa kubwekabweka ili tu vionekane vipo hai. Kwenye serikali za mitaa, vitongoji, vijiji, udiwani na ubunge vikagombanie ila urais wasigombanie kuheshimu maridhiano yatakayopelekea kupata katiba mpya ndio wajipange kugombea urais kama wanavyotaka
 
Miaka takribani 2 imepita toka afariki Hayati Rais wa awamu ya tano John Pombe Magufuli na juzi tarehe 17/03/2023 tumeazimisha miaka miwili ya kifo chake kwa masikitiko makubwa.

Baada ya kufariki kiongozi wa awamu ya 5 nchi imepitia vipindi tofauti ambavyo vimethibitisha na kudhihirisha aina ya siasa yetu kama nchi.

Kukosekana kwa misimamo,chuki na hasira zimekithiri zidi ya siasa za Rais alopita na hata safu yake ya uongozi imeonekana kuwa ni butu hadi kupelekea watu aliowaamini ni dhaifu na hawawezi kwenda pamoja kwenye serikali iliyopo.

Katika kumbukumbu zangu kuna majina mengi yaliondolewa kwenye orodha ya serikali hii ya 6 akiwemo Ndugu Polepole, Bashiru pamoja na wengineo.

CCM imejisahaulisha kuwa imepitia kipindi hicho cha mpito dhidi ya watu hawa ambao waliopenda na kuzoea mfumo uliopita wa Rais Magufuli pia ni dhahiri bado hakuna maelewano mazuri kati ya pande hizo mbili mpaka sasa.

CCM imejisahaulisha Zaidi kwa kuingia makubaliano dhidi ya chama cha upinzani ambacho kilichoharibu sifa za awamu iliyopita kwa kuonekana mbaya kwenye Taifa kuliko awamu zote sababu hiyo tu,inatosha kuwafanya CHADEMA kuungana na CCJ ili kujivika taji la nchi ifikapo mwaka 2030.


Binafsi naona mafanikio makubwa ya CHADEMA kwenye CCJ kuliko CCM hili litadhirika ifikapo 2024 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na 2025 kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa.

Salamu.
timu magufuli tena!!, kama wananguvu team magufuli waanzishe chama lao wachukue dola waangushe liccm tuone,waache kujificha nyuma ya chadema na keyboard
 
timu magufuli tena!!, kama wananguvu team magufuli waanzishe chama lao wachukue dola waangushe liccm tuone,waache kujificha nyuma ya chadema na keyboard

Lake zone na chadema wapi na wapi? Au wapo? Hebu wajitokeze hapa tuwaone. Ni heri kutokua na chama kuliko kuungana na chadema
 
Miaka takribani 2 imepita toka afariki Hayati Rais wa awamu ya tano John Pombe Magufuli na juzi tarehe 17/03/2023 tumeazimisha miaka miwili ya kifo chake kwa masikitiko makubwa.

Baada ya kufariki kiongozi wa awamu ya 5 nchi imepitia vipindi tofauti ambavyo vimethibitisha na kudhihirisha aina ya siasa yetu kama nchi.

Kukosekana kwa misimamo,chuki na hasira zimekithiri zidi ya siasa za Rais alopita na hata safu yake ya uongozi imeonekana kuwa ni butu hadi kupelekea watu aliowaamini ni dhaifu na hawawezi kwenda pamoja kwenye serikali iliyopo.

Katika kumbukumbu zangu kuna majina mengi yaliondolewa kwenye orodha ya serikali hii ya 6 akiwemo Ndugu Polepole, Bashiru pamoja na wengineo.

CCM imejisahaulisha kuwa imepitia kipindi hicho cha mpito dhidi ya watu hawa ambao waliopenda na kuzoea mfumo uliopita wa Rais Magufuli pia ni dhahiri bado hakuna maelewano mazuri kati ya pande hizo mbili mpaka sasa.

CCM imejisahaulisha Zaidi kwa kuingia makubaliano dhidi ya chama cha upinzani ambacho kilichoharibu sifa za awamu iliyopita kwa kuonekana mbaya kwenye Taifa kuliko awamu zote sababu hiyo tu,inatosha kuwafanya CHADEMA kuungana na CCJ ili kujivika taji la nchi ifikapo mwaka 2030.


Binafsi naona mafanikio makubwa ya CHADEMA kwenye CCJ kuliko CCM hili litadhirika ifikapo 2024 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na 2025 kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa.

Salamu.
Let us wait and see.
 
Naona tuweke sanduku kama masikini au kanisani kulichangia taifa kama sadaka
Maana hela zinapigwa na watu wanashangilia tu

Hakuna faida ya kuungana wala nini ni sisi wenyewe tuungane kama nchi na kuwakataa majizi

Mkuu, tuanzie wapi?

Maana nchi sasa "officially" haina vyama vya siasa vya kuaminika yaani "genuine political oppostion parties".
 
Huo ubavu hawana waendelee kulamba asali tu.
20230318_181021.jpg
 
Wametumika?? Na nani? Tulimkosoa akiwa hai kivipi Leo tulimkosoa ndio iwe tunatumika?? Are you insane?
Thibitisha kama ulishawahi kumkosoa hadharani na kwa staha, ilikuwa lini na wapi baada ya hapo ukosoaji wako uliitikiwaje? Mtetezi wa majizi
 
Mkuu, tuanzie wapi?

Maana nchi sasa "officially" haina vyama vya siasa vya kuaminika yaani "genuine political oppostion parties".
Tatizo mnataka confrontational politics, ilihali kipindi Cha JPM mlikua mnatoka povu why tunapinga pinga Kila jambo Leo tumekua diplomatic mnasema hatuna vyama!!

Ulitaka Mbowe aandamane ilihali Kuna meza ya dialogue, siasa za uhasama zimeisha Sasa why tuwe aggressive kwa submissive government.

So weird take
 
Miaka takribani 2 imepita toka afariki Hayati Rais wa awamu ya tano John Pombe Magufuli na juzi tarehe 17/03/2023 tumeazimisha miaka miwili ya kifo chake kwa masikitiko makubwa.

Baada ya kufariki kiongozi wa awamu ya 5 nchi imepitia vipindi tofauti ambavyo vimethibitisha na kudhihirisha aina ya siasa yetu kama nchi.

Kukosekana kwa misimamo,chuki na hasira zimekithiri zidi ya siasa za Rais alopita na hata safu yake ya uongozi imeonekana kuwa ni butu hadi kupelekea watu aliowaamini ni dhaifu na hawawezi kwenda pamoja kwenye serikali iliyopo.

Katika kumbukumbu zangu kuna majina mengi yaliondolewa kwenye orodha ya serikali hii ya 6 akiwemo Ndugu Polepole, Bashiru pamoja na wengineo.

CCM imejisahaulisha kuwa imepitia kipindi hicho cha mpito dhidi ya watu hawa ambao waliopenda na kuzoea mfumo uliopita wa Rais Magufuli pia ni dhahiri bado hakuna maelewano mazuri kati ya pande hizo mbili mpaka sasa.

CCM imejisahaulisha Zaidi kwa kuingia makubaliano dhidi ya chama cha upinzani ambacho kilichoharibu sifa za awamu iliyopita kwa kuonekana mbaya kwenye Taifa kuliko awamu zote sababu hiyo tu,inatosha kuwafanya CHADEMA kuungana na CCJ ili kujivika taji la nchi ifikapo mwaka 2030.


Binafsi naona mafanikio makubwa ya CHADEMA kwenye CCJ kuliko CCM hili litadhirika ifikapo 2024 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na 2025 kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa.

Salamu.
Impacts ya team Mwendazake inaishia 2025 baada ya hapo hawana Chao
 
Aibu ipi?. Yeye kuwatesa CHADEMA kwenye utawala wake ni sahihi?. Punguza unafiki. Yule ibilisi Hana lolote ndio maana hakumaliza hata miezi mitatu awamu ya pili, akafa kwa aibu.
Ushenzi aliofanya kwenye chaguzi za 2019/2020 ulikuwa mkubwa mno Mungu hawezi kumuacha mshenzi kama yule aendelee kuishi.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Miaka takribani 2 imepita toka afariki Hayati Rais wa awamu ya tano John Pombe Magufuli na juzi tarehe 17/03/2023 tumeazimisha miaka miwili ya kifo chake kwa masikitiko makubwa.

Baada ya kufariki kiongozi wa awamu ya 5 nchi imepitia vipindi tofauti ambavyo vimethibitisha na kudhihirisha aina ya siasa yetu kama nchi.

Kukosekana kwa misimamo,chuki na hasira zimekithiri zidi ya siasa za Rais alopita na hata safu yake ya uongozi imeonekana kuwa ni butu hadi kupelekea watu aliowaamini ni dhaifu na hawawezi kwenda pamoja kwenye serikali iliyopo.

Katika kumbukumbu zangu kuna majina mengi yaliondolewa kwenye orodha ya serikali hii ya 6 akiwemo Ndugu Polepole, Bashiru pamoja na wengineo.

CCM imejisahaulisha kuwa imepitia kipindi hicho cha mpito dhidi ya watu hawa ambao waliopenda na kuzoea mfumo uliopita wa Rais Magufuli pia ni dhahiri bado hakuna maelewano mazuri kati ya pande hizo mbili mpaka sasa.

CCM imejisahaulisha Zaidi kwa kuingia makubaliano dhidi ya chama cha upinzani ambacho kilichoharibu sifa za awamu iliyopita kwa kuonekana mbaya kwenye Taifa kuliko awamu zote sababu hiyo tu,inatosha kuwafanya CHADEMA kuungana na CCJ ili kujivika taji la nchi ifikapo mwaka 2030.


Binafsi naona mafanikio makubwa ya CHADEMA kwenye CCJ kuliko CCM hili litadhirika ifikapo 2024 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na 2025 kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa.

Salamu.
Chadema haiwezi kushirikiana na wanuka damu
 
Team Maguful au Genge S sio kabisa, ni afadhali CHADEMA kusubiri miaka mingi ujayo kuliko kujiunga na hili genge. Humo ndani kuna ukabila, ukanda, chuki, dhuluma, visasi, wizi, uchawi nk. Hapana.
Duh! Mkuu hadi uchawi humo?
 
Miaka takribani 2 imepita toka afariki Hayati Rais wa awamu ya tano John Pombe Magufuli na juzi tarehe 17/03/2023 tumeazimisha miaka miwili ya kifo chake kwa masikitiko makubwa.

Baada ya kufariki kiongozi wa awamu ya 5 nchi imepitia vipindi tofauti ambavyo vimethibitisha na kudhihirisha aina ya siasa yetu kama nchi.

Kukosekana kwa misimamo,chuki na hasira zimekithiri zidi ya siasa za Rais alopita na hata safu yake ya uongozi imeonekana kuwa ni butu hadi kupelekea watu aliowaamini ni dhaifu na hawawezi kwenda pamoja kwenye serikali iliyopo.

Katika kumbukumbu zangu kuna majina mengi yaliondolewa kwenye orodha ya serikali hii ya 6 akiwemo Ndugu Polepole, Bashiru pamoja na wengineo.

CCM imejisahaulisha kuwa imepitia kipindi hicho cha mpito dhidi ya watu hawa ambao waliopenda na kuzoea mfumo uliopita wa Rais Magufuli pia ni dhahiri bado hakuna maelewano mazuri kati ya pande hizo mbili mpaka sasa.

CCM imejisahaulisha Zaidi kwa kuingia makubaliano dhidi ya chama cha upinzani ambacho kilichoharibu sifa za awamu iliyopita kwa kuonekana mbaya kwenye Taifa kuliko awamu zote sababu hiyo tu,inatosha kuwafanya CHADEMA kuungana na CCJ ili kujivika taji la nchi ifikapo mwaka 2030.


Binafsi naona mafanikio makubwa ya CHADEMA kwenye CCJ kuliko CCM hili litadhirika ifikapo 2024 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na 2025 kwenye uchaguzi mkuu wa Taifa.

Salamu.
Acha upumbavu. Magu ana team ipi?
 
Back
Top Bottom