Tetesi: CHADEMA ‘Nusu Mkate’ wote wanahamia CCM February 5 akiwemo Wenje, Sugu na Boni Yai

Tetesi: CHADEMA ‘Nusu Mkate’ wote wanahamia CCM February 5 akiwemo Wenje, Sugu na Boni Yai

Alikuwa ccm kwa lazima sio kwa utashi wake.
Kwa hiyo alilazimishwa na kuingia kwenye kura za maoni za kugombea ubunge kwa tiketi ya CCm? Dr. Slaa na Maria je? Wanachama wa CCM ambao makesha nao space.
 
Wengi walivofurahia ushindi wa Lisu sio Kwa sababu Lisu yupo vizuri apana watu walitaka waone makanjanja kama hawa, watu wanaohadaaa wananchi Kwa siasa uchwara, watu wanaofanya uwinga wa kisiasa na wengine wote waliopo kwenye vyama Kwa hila flani
 
Wengi hawajui Kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM wa sasa mh Wassira aliwahi kuhamia NCCR mageuzi ilikuwa u-Star

Masumbuko Lamwai akahamia CCM ulikuwa u-Star

Juliana Shonza akahamia CCM ulikuwa u-Star

Mrema akahamia NCCR Mageuzi ulikuwa u-Star

Funga KAZI Laigwanan Lowassa akahamia Chadema ulikuwa u-Star uliopitiliza kama Zamoyoni Mogella kuhamia Yanga

Lowassa akahitimisha Hama Hama na kurejeshwa CCM na Rostam Aziz akiambiwa kuhama Chama Kwa hasira ni SIASA za Kidwanzi

Nawatakia Dominica NJEMA
FAM amewapiga b kadhaa sasa wanahaha...kazi sanaaaa
 
Sugu sasa hivi ni mjasiriamali na siyo mwanasiasa. Ule upambanaji wake umeisha. Samia ni mtu wa karibu sana na Abdul ni rafiki. Itakuwa vizuri sana kama wakihama japo sidhani kama watafanya hivyo. Au watahamia chama cha Zitto. Kumbuka kuwa CCM bado inahitaji ''wapinzani geresha'' hivyo haitataka pasiwepo na chama cha upinzani bandia.
 

Attachments

  • IMG_1437.jpeg
    IMG_1437.jpeg
    169.2 KB · Views: 2
Wengi hawajui Kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM wa sasa mh Wassira aliwahi kuhamia NCCR mageuzi ilikuwa u-Star

Masumbuko Lamwai akahamia CCM ulikuwa u-Star

Juliana Shonza akahamia CCM ulikuwa u-Star

Mrema akahamia NCCR Mageuzi ulikuwa u-Star

Funga KAZI Laigwanan Lowassa akahamia Chadema ulikuwa u-Star uliopitiliza kama Zamoyoni Mogella kuhamia Yanga

Lowassa akahitimisha Hama Hama na kurejeshwa CCM na Rostam Aziz akiambiwa kuhama Chama Kwa hasira ni SIASA za Kidwanzi

Nawatakia Dominica NJEMA
Pole sana hakuna wakumkimbia yule tapeli Lissu!! Very soon atatemeshwa bungo
 
Wengi hawajui Kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM wa sasa mh Wassira aliwahi kuhamia NCCR mageuzi ilikuwa u-Star

Masumbuko Lamwai akahamia CCM ulikuwa u-Star

Juliana Shonza akahamia CCM ulikuwa u-Star

Mrema akahamia NCCR Mageuzi ulikuwa u-Star

Funga KAZI Laigwanan Lowassa akahamia Chadema ulikuwa u-Star uliopitiliza kama Zamoyoni Mogella kuhamia Yanga

Lowassa akahitimisha Hama Hama na kurejeshwa CCM na Rostam Aziz akiambiwa kuhama Chama Kwa hasira ni SIASA za Kidwanzi

Nawatakia Dominica NJEMA
Safari njema. Wamechagua kitu Ile Roho inapenda.
 
Nitakua wa mwisho kabisa kuamini sugu anaweza kwenda ccm.

Sugu kabisaa aende ccm? Sijui lakini maana nafsi ya mtu ni kiza
Sugu ni rahisi sana kuhamia CCM, maana ashakula hela za Abdul
 
Kwa hiyo alilazimishwa na kuingia kwenye kura za maoni za kugombea ubunge kwa tiketi ya CCm? Dr. Slaa na Maria je? Wanachama wa CCM ambao makesha nao space.
Lisu ni zao la mfumo wa chama kimoja, enzi hizo kujiunga ccm ilikuwa hakuna tofauti na lazima. Slaa ni ccm muda wote, Maria kama ni mwanaccm, basi ni lile jini lililotoka kwenye chupa.
 
Mkuu Lusungo , bado huamini kwamba Tundu Lissu ndiyo Mwenyekiti wako wa Chama Taifa?

Ni kweli anaweza kuwa amehaidi mengi, lakini ndiyo kwanza kufikia leo, anakuwa ametimiza Siku 5 tangu aingie ofisini.

Nashauri, mpeni muda na ushirikiano ili aweze kutimiza maono na ndoto za kukifanya Chadema kuwa Taasisi na sio Mali ya mtu binafsi

Kwa mara ya kwanza tangu kusajiliwa kwake Mwaka 1992, Chadema kimepata Mwenyekiti asiyetoka Kaskazini.

Kwahiyo ile propaganda kwamba Chadema ni Chama cha Wachaga, Tundu Lissu ameivunja rasmi
 
Mkuu Lusungo , bado huamini kwamba Tundu Lissu ndiyo Mwenyekiti wako wa Chama Taifa?

Ni kweli anaweza kuwa amehaidi mengi, lakini ndiyo kwanza kufikia leo, anakuwa ametimiza Siku 5 tangu aingie ofisini.

Nashauri, mpeni muda na ushirikiano ili aweze kutimiza maono na ndoto za kukifanya Chadema kuwa Taasisi ma sio Mali ya mtu binafsi

Kwa mara ya kwanza tangu kusajiliwa kwake Mwaka 1992, Chadema kimepata Mwenyekiti asiyetoka Kaskazini.

Kwahiyo ile propaganda kwamba Chadema ni Chama cha Wachaga, Tundu Lissu ameivunja rasmi
Sio kweli kwamba tangu Chadema kuanzisha haijawahi kuwa na mwenyekiti asiye mchaga. Bob Makani Msukuma amewahi kuwa chairman wa Chadema kabla ya Mbowe.
 
Back
Top Bottom