Zakayomfupi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2024
- 281
- 320
Hata Lissu alikuwa CCM, kwanini wao kujiunga na CCM iwe nongwa?Wamechelewa walitakiwa wahame na Msigwa, sasa hivi itaonekana wanamtaka mtu wala si chamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Lissu alikuwa CCM, kwanini wao kujiunga na CCM iwe nongwa?Wamechelewa walitakiwa wahame na Msigwa, sasa hivi itaonekana wanamtaka mtu wala si chamaa.
Mkuu ungeweza kuamini Mdee angeenda kinyume na msimamo wa chama baada ya ule uchaguzi wa kihuni?Nitakua wa mwisho kabisa kuamini sugu anaweza kwenda ccm.
Sugu kabisaa aende ccm? Sijui lakini maana nafsi ya mtu ni kiza
Alikuwa ccm kwa lazima sio kwa utashi wake.Hata Lissu alikuwa CCM, kwanini wao kujiunga na CCM iwe nongwa?
Kwa hiyo alilazimishwa na kuingia kwenye kura za maoni za kugombea ubunge kwa tiketi ya CCm? Dr. Slaa na Maria je? Wanachama wa CCM ambao makesha nao space.Alikuwa ccm kwa lazima sio kwa utashi wake.
Usiwaamini kabisa wanasiasa.Nitakua wa mwisho kabisa kuamini sugu anaweza kwenda ccm.
Sugu kabisaa aende ccm? Sijui lakini maana nafsi ya mtu ni kiza
FAM amewapiga b kadhaa sasa wanahaha...kazi sanaaaaWengi hawajui Kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM wa sasa mh Wassira aliwahi kuhamia NCCR mageuzi ilikuwa u-Star
Masumbuko Lamwai akahamia CCM ulikuwa u-Star
Juliana Shonza akahamia CCM ulikuwa u-Star
Mrema akahamia NCCR Mageuzi ulikuwa u-Star
Funga KAZI Laigwanan Lowassa akahamia Chadema ulikuwa u-Star uliopitiliza kama Zamoyoni Mogella kuhamia Yanga
Lowassa akahitimisha Hama Hama na kurejeshwa CCM na Rostam Aziz akiambiwa kuhama Chama Kwa hasira ni SIASA za Kidwanzi
Nawatakia Dominica NJEMA
Binafsi sijawai kuwa ccm sipo CCM na sitokuja kuwa CCM Mimi ni chadema hata wahame wote,CCM ni laana na shetani kwangu.Mtu pekee awezi kwenda Ccm ni Hashimu Rungwe
Hakuna mwanasiasa nchi hii kutoka chadema awezi kwenda Ccm iwe direct or kufanya kazi na Ccm indirect
Sahau
Sugu sasa hivi ni mjasiriamali na siyo mwanasiasa. Ule upambanaji wake umeisha. Samia ni mtu wa karibu sana na Abdul ni rafiki. Itakuwa vizuri sana kama wakihama japo sidhani kama watafanya hivyo. Au watahamia chama cha Zitto. Kumbuka kuwa CCM bado inahitaji ''wapinzani geresha'' hivyo haitataka pasiwepo na chama cha upinzani bandia.
Pole sana hakuna wakumkimbia yule tapeli Lissu!! Very soon atatemeshwa bungoWengi hawajui Kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM wa sasa mh Wassira aliwahi kuhamia NCCR mageuzi ilikuwa u-Star
Masumbuko Lamwai akahamia CCM ulikuwa u-Star
Juliana Shonza akahamia CCM ulikuwa u-Star
Mrema akahamia NCCR Mageuzi ulikuwa u-Star
Funga KAZI Laigwanan Lowassa akahamia Chadema ulikuwa u-Star uliopitiliza kama Zamoyoni Mogella kuhamia Yanga
Lowassa akahitimisha Hama Hama na kurejeshwa CCM na Rostam Aziz akiambiwa kuhama Chama Kwa hasira ni SIASA za Kidwanzi
Nawatakia Dominica NJEMA
Endelea kukaririPole sana hakuna wakumkimbia yule tapeli Lissu!! Very soon atatemeshwa bungo
Safari njema. Wamechagua kitu Ile Roho inapenda.Wengi hawajui Kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM wa sasa mh Wassira aliwahi kuhamia NCCR mageuzi ilikuwa u-Star
Masumbuko Lamwai akahamia CCM ulikuwa u-Star
Juliana Shonza akahamia CCM ulikuwa u-Star
Mrema akahamia NCCR Mageuzi ulikuwa u-Star
Funga KAZI Laigwanan Lowassa akahamia Chadema ulikuwa u-Star uliopitiliza kama Zamoyoni Mogella kuhamia Yanga
Lowassa akahitimisha Hama Hama na kurejeshwa CCM na Rostam Aziz akiambiwa kuhama Chama Kwa hasira ni SIASA za Kidwanzi
Nawatakia Dominica NJEMA
Endelea kukariri
Hao wote wameambiwa Kila Jimbo Lina mwenyewe hivyo wachukue KADI na kupewa uDC
Sugu ni rahisi sana kuhamia CCM, maana ashakula hela za AbdulNitakua wa mwisho kabisa kuamini sugu anaweza kwenda ccm.
Sugu kabisaa aende ccm? Sijui lakini maana nafsi ya mtu ni kiza
Lisu ni zao la mfumo wa chama kimoja, enzi hizo kujiunga ccm ilikuwa hakuna tofauti na lazima. Slaa ni ccm muda wote, Maria kama ni mwanaccm, basi ni lile jini lililotoka kwenye chupa.Kwa hiyo alilazimishwa na kuingia kwenye kura za maoni za kugombea ubunge kwa tiketi ya CCm? Dr. Slaa na Maria je? Wanachama wa CCM ambao makesha nao space.
Sio kweli kwamba tangu Chadema kuanzisha haijawahi kuwa na mwenyekiti asiye mchaga. Bob Makani Msukuma amewahi kuwa chairman wa Chadema kabla ya Mbowe.Mkuu Lusungo , bado huamini kwamba Tundu Lissu ndiyo Mwenyekiti wako wa Chama Taifa?
Ni kweli anaweza kuwa amehaidi mengi, lakini ndiyo kwanza kufikia leo, anakuwa ametimiza Siku 5 tangu aingie ofisini.
Nashauri, mpeni muda na ushirikiano ili aweze kutimiza maono na ndoto za kukifanya Chadema kuwa Taasisi ma sio Mali ya mtu binafsi
Kwa mara ya kwanza tangu kusajiliwa kwake Mwaka 1992, Chadema kimepata Mwenyekiti asiyetoka Kaskazini.
Kwahiyo ile propaganda kwamba Chadema ni Chama cha Wachaga, Tundu Lissu ameivunja rasmi