Tetesi: CHADEMA ‘Nusu Mkate’ wote wanahamia CCM February 5 akiwemo Wenje, Sugu na Boni Yai

Tetesi: CHADEMA ‘Nusu Mkate’ wote wanahamia CCM February 5 akiwemo Wenje, Sugu na Boni Yai

Sio kweli kwamba tangu Chadema kuanzisha haijawahi kuwa na mwenyekiti asiye mchaga. Bob Makani Msukuma amewahi kuwa chairman wa Chadema kabla ya Mbowe.
Nashukuru kuweka kumbuka sawa, lakini hoja ya Uchaga ilikita mizizi Chadema labda kwakuwa Mwenyekiti aliyemaliza muda wake alikaa miaka mingi madarakani
 
Wengi hawajui Kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM wa sasa mh Wassira aliwahi kuhamia NCCR mageuzi ilikuwa u-Star

Masumbuko Lamwai akahamia CCM ulikuwa u-Star

Juliana Shonza akahamia CCM ulikuwa u-Star

Mrema akahamia NCCR Mageuzi ulikuwa u-Star

Funga KAZI Laigwanan Lowassa akahamia Chadema ulikuwa u-Star uliopitiliza kama Zamoyoni Mogella kuhamia Yanga

Lowassa akahitimisha Hama Hama na kurejeshwa CCM na Rostam Aziz akiambiwa kuhama Chama Kwa hasira ni SIASA za Kidwanzi

Nawatakia Dominica NJEMA
Hivi ukihama chama unahama na mambo yako mema ulliyoyafanya au yanabaki ulikokuwepo au yanafutika
 
Kwa sasa hawana infuence yo yote katika Chama!
Waende tu wakaungane na Msigwa kusugua mabenchi ya Lumumba au Dodona!
 
Mkuu bado kidogo utaokota makopo sasa. Umefikia stage ya kuokoteza ''uchafu'' kama huu ili tu kuonyesha Lissu hafai? Anyway, hili mbona tulilitegemea sana! Au sahihi niseme bado kuna vita kubwa inaandaliwa na timu ya Mbowe ili kuonyesha tu kuwa ilikuwa ni makosa kumchagua Lissu na Chadema inakufa. Kwa kushirikiana na vyombo vya dola, Mbowe atahakikisha Chadema inayumba au hata kufa ili yeye aonekane ni shujaa. Hata ikitokea Mbowe akafaniwa, lakini sisi wananchi tumepata ushindi mkubwa wa kujua ukweli ulikuwa umefichwa nyuma ya pazia i.e. tungepoteza muda na mali yetu kusubiri mabadiliko kutoka kwa uongozi wa Mbowe. Mimi hata Chadema chini ya Lissu ikifa leo sitasikitika sana kwani najua kabisa ndiyo utakuwa mwanzo wa mabadiliko ya kweli kwa sababu kokoro la CCM haliwezi kumbeba kila mtu.
 
Mkuu Lusungo , bado huamini kwamba Tundu Lissu ndiyo Mwenyekiti wako wa Chama Taifa?

Ni kweli anaweza kuwa amehaidi mengi, lakini ndiyo kwanza kufikia leo, anakuwa ametimiza Siku 5 tangu aingie ofisini.

Nashauri, mpeni muda na ushirikiano ili aweze kutimiza maono na ndoto za kukifanya Chadema kuwa Taasisi ma sio Mali ya mtu binafsi

Kwa mara ya kwanza tangu kusajiliwa kwake Mwaka 1992, Chadema kimepata Mwenyekiti asiyetoka Kaskazini.

Kwahiyo ile propaganda kwamba Chadema ni Chama cha Wachaga, Tundu Lissu ameivunja rasmi
Lusungo ana maumivi kibao na sasa hivi adui yake ni Chadema. Kwake bora CCM kuliko Chadema. Hao hao kina Lusungo sasa wanasema ni chama cha wakristo.
 
Mkuu Lusungo , bado huamini kwamba Tundu Lissu ndiyo Mwenyekiti wako wa Chama Taifa?

Ni kweli anaweza kuwa amehaidi mengi, lakini ndiyo kwanza kufikia leo, anakuwa ametimiza Siku 5 tangu aingie ofisini.

Nashauri, mpeni muda na ushirikiano ili aweze kutimiza maono na ndoto za kukifanya Chadema kuwa Taasisi ma sio Mali ya mtu binafsi

Kwa mara ya kwanza tangu kusajiliwa kwake Mwaka 1992, Chadema kimepata Mwenyekiti asiyetoka Kaskazini.

Kwahiyo ile propaganda kwamba Chadema ni Chama cha Wachaga, Tundu Lissu ameivunja rasmi
Siwezi kumpa ushirikiano jitu tapeli na laghai…. Tutahakikisha anashindwa.
 
Freshi tu wahame, ni wahuni watupu, wamepoteza credit, hawana mvuto, waende tu huko watapewa majimbo ya kugombea, wakikosa ukuu wa wilaya na teuzi zingine watapewa kama njugu! Daima CHADEMA itasonga mbele na kuwa kubwa zaidi
 
Tapeli Lissu ule mdomo wake uliokaa Kama karai la chapati utamgharimu sana…..

Hatofika popote na tutahakikisha hilo.
Hili mbona liko wazi! Nna uhakika hata kuua mpo tayari. Hapa ndipo ninaposema tumshukuru sana sana Lissu kwa sababu tusingejua kuwa Mbowe ni muuaji.
 
Kwenye siasa hakuna kisichowezekana! Shemeji yangu ambaye alikuwa tayari kufa kwa ajili ya CHADEMA hatimaye ametoa timu na mwaka huu anagombea kupitia CCM! Kazi kweli kweli!
Ukijua siasa ni maisha na ajira za watu kamwe huwezi kuwekeza imani au misimamo kwa mtu au binadamu yoyote.Mtu yoyote anaweza kufanya chochote ilimradi mkono uende kinywani.
 
Mkuu bado kidogo utaokota makopo sasa. Umefikia stage ya kuokoteza ''uchafu'' kama huu ili tu kuonyesha Lissu hafai? Anyway, hili mbona tulilitegemea sana! Au sahihi niseme bado kuna vita kubwa inaandaliwa na timu ya Mbowe ili kuonyesha tu kuwa ilikuwa ni makosa kumchagua Lissu na Chadema inakufa. Kwa kushirikiana na vyombo vya dola, Mbowe atahakikisha Chadema inayumba au hata kufa ili yeye aonekane ni shujaa. Hata ikitokea Mbowe akafaniwa, lakini sisi wananchi tumepata ushindi mkubwa wa kujua ukweli ulikuwa umefichwa nyuma ya pazia i.e. tungepoteza muda na mali yetu kusubiri mabadiliko kutoka kwa uongozi wa Mbowe. Mimi hata Chadema chini ya Lissu ikifa leo sitasikitika sana kwani najua kabisa ndiyo utakuwa mwanzo wa mabadiliko ya kweli kwa sababu kokoro la CCM haliwezi kumbeba kila mtu.
Usiwe tutusa wapi nimesema Lisu Hafai?

Mnywage mbege Kwa kipimo hata kama mnanyweshwa Bure 🐼
 
Freshi tu wahame, ni wahuni watupu, wamepoteza credit, hawana mvuto, waende tu huko watapewa majimbo ya kugombea, wakikosa ukuu wa wilaya na teuzi zingine watapewa kama njugu! Daima CHADEMA itasonga mbele na kuwa kubwa zaidi
Mbona kama unaumia na maisha ya watu?.Huo mvuto unasaidia nini kwenye maisha ya watu?.Watu hawawazi hizo mivuto zako wenzako wanawaza wanaingiza ngapi.Mengine yanabaki kua maamuzi ya mtu binafsi huna sababu yakumbagaza mtu kwasababu kafanya nje ya matarajio yako wakati yeye anawaza maisha yake ya kesho.
 
Nitakua wa mwisho kabisa kuamini sugu anaweza kwenda ccm.

Sugu kabisaa aende ccm? Sijui lakini maana nafsi ya mtu ni kiza
Kabla ya kwenda CHADEMA, Sugu alikuwa CCM.

Ubunge ndiyo ulimpeleka CHADEMA baada ya figisu za ndani kwa ndani kuliminya jina lake kwa kuipoteza form.

Mara ya mwisho kabla ya uchaguzi wa 2010 nilikutana na Sugu ofisi za UVCCM upanga, pale nyuma ya Zanaki sec. Ilikuwa ni somwhere 2009 wakati wa vuguvugu la maandalazi ya uchaguzi ndani ya CCM.

Baada ya hapo sikumsikia tena hadi alipoibukua CHADEMA.
 
Back
Top Bottom