Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM hawana pesa kama watu wanavyodhani, nimekuwa UVCCM kwa ngazi ya Mkoa sana sana ni kuishi kwa matumaini ya kuteuliwa lakini hakuna hela kama watu wanavyodhaniHawawezi kuzoea, option walionayo ni kukaa chini na ccm wapate chochote ndio hiyo kuhama chama