Baltazar Engongo
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 604
- 932
Mm pia naamini hivyo, mbowe Hana shida Sana. But ukweli timu yake ilikua inatumiwa na ccm kuanzia sugu, boni na wengineMbowe ni mtu mwema sn sema ile timu yake ilikuwa ya wapigaji sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm pia naamini hivyo, mbowe Hana shida Sana. But ukweli timu yake ilikua inatumiwa na ccm kuanzia sugu, boni na wengineMbowe ni mtu mwema sn sema ile timu yake ilikuwa ya wapigaji sn
Ni tabia mbayaBado hawaamini
Bro wewe pengine hujui mwanasiasa msaka fursa yupoje. Niambia wake wake wa kigaila kina kunti majala, matiko, bulaya walitishwa na nani? Au niambie ally bananga mmoja wa kampeni meneja wa lissu 2020, alitishwa na Nani kwenda ccm? Mwanasiasa msaka fursa anaisaka fursa kwenye angle nyingi, msigwa katishwa na nani? Ndio maana nakuambia hizo sio sababu za mwanasiasa kuhamaKulazimishwa vikiambatana na vitisho kuelekea fursa, unakumbuka issue ya Nusrant Hanje kutolewa gerezani akiwa na kesi mahakamani hadi kuapishwa kuwa Mbunge?.
Tusubiri tuone mkuuBora hata boniyai na wenje. Sugu ndio mnufaika wa kwanza wa pesa chafu alizosema lissu. Jina sugu linawachanganya mnahisi ni sugu kweli
Lissu sababu ya kuamua kupambana na rushwa ndani ya chama Ni uchaguzi wa nyasa ambao sugu alishinda. Rushwa ilitembea sana, hiko ndio kilimkera lissu na kuamua kuongea yote aliyoongea.
Mbowe akikaa akatulia atagundua timu ake ilikuwa ya hovyo snMm pia naamini hivyo, mbowe Hana shida Sana. But ukweli timu yake ilikua inatumiwa na ccm kuanzia sugu, boni na wengine
Ni changamoto kubwa snNi tabia mbaya
Hata asipohama hiyo tarehe 5, but hawezi kubaki chadema muda mrefu. Hakuna namna yoyote sugu anaweza tena kuaminiwa na chadema iliyopo sasaTusubiri tuone mkuu
Mkibosho umenena vema.Wengi walivofurahia ushindi wa Lisu sio Kwa sababu Lisu yupo vizuri apana watu walitaka waone makanjanja kama hawa, watu wanaohadaaa wananchi Kwa siasa uchwara, watu wanaofanya uwinga wa kisiasa na wengine wote waliopo kwenye vyama Kwa hila flani
Sugu DC mpya KigamboniSugu hawezi kuhama lakini Mboni yai inawezekana na Wenje
Sina data kamili lakini nguvu ya Sugu ilikuwa inatoka HQ kwa kina Mrema na genge lake ambao leo hawana nguvu tenaHata asipohama hiyo tarehe 5, but hawezi kubaki chadema muda mrefu. Hakuna namna yoyote sugu anaweza tena kuaminiwa na chadema iliyopo sasa
Lema with confidence alisema uchaguzi wa nyasa ambao sugu alishinda ulikua mbovu kuliko hata wa Tamisemi. Tusiukimbie ukweli sugu alichofanya kwenye uchaguzi wa nyasa ilikua kitu Cha ajabu. Unahisi kwa nini lissu na lema hawakulalamika sana uchaguzi wa wenje Kanda ya Victoria?
Peneza kapewa kitengo muhimu Sana Chamani anatembelea V8Masikini Peneza, hajachaguliwa uteuzi, ngoja tuone baada ya October...na Msigwa Kinyambe , hopefully watapata.
Tatizo kubwa la mbowe kwa timu yake ni kuwapa maslahi, ni kitu kizuri lakini mtu unayempa maslahi sana ni rahisi kuwa compromised kwingine. Mbowe alikua anampa boni magari, alikua anampa mallya magari, hivi watu wa hivyo waliokua wanapata mtelezo wataishi vipi tena kwenye hiyo taasisi? Si ajabu walilia sana kama boniyai alivyosemaMbowe akikaa akatulia atagundua timu ake ilikuwa ya hovyo sn
Sugu hawezi kuwa mjinga kiasi hicho, pesa anayoingiza kwa mwezi ni zaidi ya 20M kwenye biashara kuliko akahangaike na salary ya 4.6M atakuwa ni mwenda wazimu haswa.Sugu DC mpya Kigamboni
Hoja hiyo imekufa hoja wanayoifanyia kazi kwa sasa ni kuwagombanisha Wakatoliki na Walutheri na madhehebu mengine.Nashukuru kuweka kumbuka sawa, lakini hoja ya Uchaga ilikita mizizi Chadema labda kwakuwa Mwenyekiti aliyemaliza muda wake alikaa miaka mingi madarakani
Wakubali matokeo, ni sawa na mtu kufiwa na mzazi wako utaumia lakini mwisho utazoeaTatizo kubwa la mbowe kwa timu yake ni kuwapa maslahi, ni kitu kizuri lakini mtu unayempa maslahi sana ni rahisi kuwa compromised kwingine. Mbowe alikua anampa boni magari, alikua anampa mallya magari, hivi watu wa hivyo waliokua wanapata mtelezo wataishi vipi tena kwenye hiyo taasisi? Si ajabu walilia sana kama boniyai alivyosema
Sugu hamshindi Msando Kwa chochote Lakini Wakili Msomi Msando ni DCSugu hawezi kuwa mjinga kiasi hicho, pesa anayoingiza kwa mwezi ni zaidi ya 20M kwenye biashara kuliko akahangaike na salary ya 4.6M atakuwa ni mwenda wazimu haswa.
Wala sio suala la data, kilichofanyika kilikua hadharani, rushwa ilitolewa sana. Mbowe aliwekwa vikao zaidi ya mara moja kuingilia Kati kinachotokea nyasa, akashupaza shingoSina data kamili lakini nguvu ya Sugu ilikuwa inatoka HQ kwa kina Mrema na genge lake ambao leo hawana nguvu tena
Hawawezi kuzoea, option walionayo ni kukaa chini na ccm wapate chochote ndio hiyo kuhama chamaWakubali matokeo, ni sawa na mtu kufiwa na mzazi wako utaumia lakini mwisho utazoea
Je na vipi ukapata kujua ccm mboga saba wote nao watahamia kwa jirani katika muda muafaka,hapo vipi?Wengi hawajui Kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM wa sasa, Stephen Wassira aliwahi kuhamia NCCR Mageuzi ilikuwa u-Star
Masumbuko Lamwai akahamia CCM ulikuwa u-Star
Juliana Shonza akahamia CCM ulikuwa u-Star
Mrema akahamia NCCR Mageuzi ulikuwa u-Star
Funga KAZI Laigwanan Lowassa akahamia CHADEMA ulikuwa u-Star uliopitiliza kama Zamoyoni Mogella kuhamia Yanga
Lowassa akahitimisha Hama Hama na kurejeshwa CCM na Rostam Aziz akiambiwa kuhama Chama Kwa hasira ni SIASA za Kidwanzi
Nawatakia Dominica NJEMA
Msando namfahamu vizuri sn hana mali kama unavyodhani kumshida mtu ambaye amekuwa mbunge kwa miaka 10 + biashara, mbunge akiwa siyo mla rushwa for 5 years hakosi 2B, kwanza anapewa mkopo na hazina 1B nusu anakatwa na nusu analipiwa na bunge, mbunge likivunjwa hakosi 300M, bado vikao, safari, GSM huwezi kumpa hata kuwa Gavana lakini ubunge atakubali sababu ndiyo kuna hela zipo nje njeSugu hamshindi Msando Kwa chochote Lakini Wakili Msomi Msando ni DC