Tetesi: CHADEMA ‘Nusu Mkate’ wote wanahamia CCM February 5 akiwemo Wenje, Sugu na Boni Yai

Trump alisema watu wengi waliwa ma**ask na chawa akili zao zinakuwa saa urudi nyuma.
 
Ndio hiyo wanachofata ni teuzi, wenzao wote maarufu waliohama walikula teuzi
Hawezi kuteuliwa wote, Upendo Peneza mpk amepotea kwenye ramani anasubiri uteuzi, Msigwa jua linazama anasubiri, kumbuka kwenye hizi jumuhia sijui UVCCM, wazazi, UWT(Akina Lucas Mwashambwa) na takataka zingine zote zipo kwenye foleni ya uteuzi
 
Hawezi kuteuliwa wote, Upendo Peneza mpk amepotea kwenye ramani anasubiri uteuzi, Msigwa jua linazama anasubiri, kumbuka kwenye hizi jumuhia sijui UVCCM, wazazi, UWT(Akina Lucas Mwashambwa) na takataka zingine zote zipo kwenye foleni ya uteuzi
Inategemea na upepo unaoenda nao, Kama ulijipendekeza mwenyewe basi teuzi utaisikia tu kwa wengine
 
They are nothing ! Wakibaki ama wakienda hawana impact!
 
Nyuzi za hovyohovyo kama hizi zimekithiri JF
Na hawa ni watu wa mipasho tu. Sioni hata mmoja mwenye hoja za msingi za kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya watanzania wengi tunayokabiliana nayo. Vyama vimekuwa kama club za mpira, full ushabiki! Tuchambueni hoja siyo mipasho na vioja
 
Mbona Nassari aliacha Ubunge akaenda kuwa DC

Nyalandu aliacha Ubunge

Rostam Aziz aliacha Ubunge

Lijualikali alikuwa Mbunge Sasa ni DC

Hata Mbowe anaweza kuwa DC

Usikariri manka 😂
 
Mbona Nassari aliacha Ubunge akaenda kuwa DC

Nyalandu aliacha Ubunge

Rostam Aziz aliacha Ubunge

Lijualikali alikuwa Mbunge Sasa ni DC

Hata Mbowe anaweza kuwa DC

Usikariri manka 😂
Hao wote walishindwa, Mbowe/Rostam/Nyalandu huwezi kumteua kuwa DC ni nafasi ya chini sn kwao
 
Hawezi kuteuliwa wote, Upendo Peneza mpk amepotea kwenye ramani anasubiri uteuzi, Msigwa jua linazama anasubiri, kumbuka kwenye hizi jumuhia sijui UVCCM, wazazi, UWT(Akina Lucas Mwashambwa) na takataka zingine zote zipo kwenye foleni ya uteuzi
Lucas Mwashambwa unaitwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…