"Washami" tena?!
Iyo nyomi kama ya wale wafanyabiashara wa promotion tu
Subiri tume huru uine kama çm.mtatoboa. Chama ni watu!Iyo nyomi kama ya wale wafanyabiashara wa promotion tu
Ukizingatia miaka 7 ya kupita kwenye tanuru la moto kwa kweli waTz bado wana mahaba na siasa mbadalaHawa watu walizuiwa mkutano...
Hawakuwa na ruzuku...
Walitishwa na kuteswa ila bado wana nguvu
Hawa watu walizuiwa mkutano...
Hawakuwa na ruzuku...
Walitishwa na kuteswa ila bado wana nguvu
Ukizingatia miaka 7 ya kupita kwenye tanuru la moto kwa kweli waTz bado wana mahaba na siasa mbadala
Tumeshavuka mstari wa kimbunga sasa twende hatua nyinginreNguvu ya chama ni watu. Kwamba chama kina watu thabiti nyuma yake si habari Tena:
View attachment 2529478
Inafahamika hatutapata katiba mpya kwa kuchezeshwa ngoma na CCM.
View attachment 2529481
Hatutapewa katiba mpya kwa kuzingatia sheria na kanuni tunazopewa na CCM.
Hatutapewa katiba mpya mezani.
2 Wafalme 7:6 inasema:
"Kishindo cha wakoma kiliwakimbiza washami"
Hata mimi imenishangaza sana. Kanda ya Nyansa sio Chadema wala ACT walikiona cha moto.Ukizingatia miaka 7 ya kupita kwenye tanuru la moto kwa kweli waTz bado wana mahaba na siasa mbadala
Mungu kibariki hiki chama kilichomo mioyoni mwa wapenda haki maendeleo na utu... Viva CHADEMA!Nguvu ya chama ni watu. Kwamba chama kina watu thabiti nyuma yake si habari Tena:
View attachment 2529478
Inafahamika hatutapata katiba mpya kwa kuchezeshwa ngoma na CCM.
View attachment 2529481
Hatutapewa katiba mpya kwa kuzingatia sheria na kanuni tunazopewa na CCM.
Hatutapewa katiba mpya mezani.
2 Wafalme 7:6 inasema:
"Kishindo cha wakoma kiliwakimbiza washami"
They are so courageous. Watanzani bado wanaipenda Nchi yao na Chama chaoHawa watu walizuiwa mkutano...
Hawakuwa na ruzuku...
Walitishwa na kuteswa ila bado wana nguvu
Tz ni watu wa AmaniMungu kibariki hiki chama kilichomo mioyoni mwa wapenda haki maendeleo na utu... Viva CHADEMA!
Vijijini burudani na vichekesho ni ngumu kupata, ndio maana watu hujaa, hawajai kwa sababu ya itikadiNguvu ya chama ni watu. Kwamba chama kina watu thabiti nyuma yake si habari Tena:
View attachment 2529478
Inafahamika hatutapata katiba mpya kwa kuchezeshwa ngoma na CCM.
View attachment 2529481
Hatutapewa katiba mpya kwa kuzingatia sheria na kanuni tunazopewa na CCM.
Hatutapewa katiba mpya mezani.
2 Wafalme 7:6 inasema:
"Kishindo cha wakoma kiliwakimbiza washami"
Washami walikumbua kishindo cha wakoma"Washami" tena?!
Tumeshavuka mstari wa kimbunga sasa twende hatua nyinginre
Vijijini burudani na vichekesho ni ngumu kupata, ndio maana watu hujaa, hawajai kwa sababu ya itikadi