Nguvu ya chama ni watu. Kwamba chama kina watu thabiti nyuma yake si habari Tena:
Inafahamika hatutapata katiba mpya kwa kuchezeshwa ngoma na CCM.
Hatutapewa katiba mpya kwa kuzingatia sheria na kanuni tunazopewa na CCM.
Hatutapewa katiba mpya mezani.
2 Wafalme 7:6 inasema:
"Kishindo cha wakoma kiliwakimbiza washami"
Inafahamika hatutapata katiba mpya kwa kuchezeshwa ngoma na CCM.
Hatutapewa katiba mpya kwa kuzingatia sheria na kanuni tunazopewa na CCM.
Hatutapewa katiba mpya mezani.
2 Wafalme 7:6 inasema:
"Kishindo cha wakoma kiliwakimbiza washami"