Weka source hapa acha kutufanya kama tupo karne ya 10. Ungeweka link sio maneno yako ya mdomo mchafu... Taifa litaangamizwa ma vijana wa sampuli yakoGAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!
Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
Ok nashukuru Mkuu kwa taarifa.Ukiangalia vizuri utaona hii ni post ya 2013! Imerudishwa tu...
Ok, umekuja vzuri..!!!utatuambia Ben Saanane nani alimuua...??? **mbavu zako...!!!huu ni ushahidi tosha subr....!!!!mkuu umekurupuka vibaya hadi unatia huruma nimeamini sisi watu weusi tuna matatizo saana ya kiakili, hivi kabla huja comment uliisoma vizuri hiyo post na kujua ni mwaka gani? post ya uchaguzi uliopita hata marehem Ben saanane alikua hai na ali comment, hiyo ilikua mwaka 2013, sasa mwenzangu ulivyoingia mkenge hadi nakuhurumia
kama hajafa au uwawa na nyinyi kenge wa blue sasa atakua wapi? nguruwe pori nyieOk, umekuja vzuri..!!!utatuambia Ben Saanane nani alimuua...??? **mbavu zako...!!!huu ni ushahidi tosha subr....!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ushambatiza marehemu wakati hata hujui kama amekufa ama la. Sasa una tofauti gani na huyo unomkejeli.mkuu umekurupuka vibaya hadi unatia huruma nimeamini sisi watu weusi tuna matatizo saana ya kiakili, hivi kabla huja comment uliisoma vizuri hiyo post na kujua ni mwaka gani? post ya uchaguzi uliopita hata marehem Ben saanane alikua hai na ali comment, hiyo ilikua mwaka 2013, sasa mwenzangu ulivyoingia mkenge hadi nakuhurumia
Naona ushambatiza marehemu wakati hata hujui kama amekufa ama la. Sasa una tofauti gani na huyo unomkejeli.
Your days are numbered endelea..!!!!kama hajafa au uwawa na nyinyi kenge wa blue sasa atakua wapi? nguruwe pori nyie
Hivi mmiliki wa hili gazeti la Sauti Huru ni nani? Na mhariri ni wa hili gazeti ni nani? Anayefahamu tafadhali!GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!
Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
Nyumbu haoGAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!
Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
habari ni 2013 mkuu sio ya 2017, usikurupuke kuchangia tuNyumbu hao
soma kwa ufasaha ujue hii habari ni ya lini