CHADEMA: Odinga ameibiwa kura

CHADEMA: Odinga ameibiwa kura

GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!

Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
Weka source hapa acha kutufanya kama tupo karne ya 10. Ungeweka link sio maneno yako ya mdomo mchafu... Taifa litaangamizwa ma vijana wa sampuli yako
 
mkuu umekurupuka vibaya hadi unatia huruma nimeamini sisi watu weusi tuna matatizo saana ya kiakili, hivi kabla huja comment uliisoma vizuri hiyo post na kujua ni mwaka gani? post ya uchaguzi uliopita hata marehem Ben saanane alikua hai na ali comment, hiyo ilikua mwaka 2013, sasa mwenzangu ulivyoingia mkenge hadi nakuhurumia
Ok, umekuja vzuri..!!!utatuambia Ben Saanane nani alimuua...??? **mbavu zako...!!!huu ni ushahidi tosha subr....!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi zile computer zao walisema watazielekeza kwenye dishi la Tanzania Na zingine watazielekeza kwenye satellite ya ujerumani ili wapate kuhesabu kura vizuri zimefeli
 
Chadema walitoa ufafanuzi kwa nini wamemuunga mkono Uhuru n hoja ilikuwa uchaguzi wa Tz 2015 Odinga hawajawaunga mkono Chadema
 
mkuu umekurupuka vibaya hadi unatia huruma nimeamini sisi watu weusi tuna matatizo saana ya kiakili, hivi kabla huja comment uliisoma vizuri hiyo post na kujua ni mwaka gani? post ya uchaguzi uliopita hata marehem Ben saanane alikua hai na ali comment, hiyo ilikua mwaka 2013, sasa mwenzangu ulivyoingia mkenge hadi nakuhurumia
Naona ushambatiza marehemu wakati hata hujui kama amekufa ama la. Sasa una tofauti gani na huyo unomkejeli.
 
Naona ushambatiza marehemu wakati hata hujui kama amekufa ama la. Sasa una tofauti gani na huyo unomkejeli.

kama hajafa yupo wapi? kunamamgereza yoyote au kituo chochote cha polisi yupo? au kwa kutumiahati zake za kusafiria je kuna nchi yoyote inaonyesha marehem Ben saanane aliingia? acha kujitoa ufaham.
 
GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!

Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
Hivi mmiliki wa hili gazeti la Sauti Huru ni nani? Na mhariri ni wa hili gazeti ni nani? Anayefahamu tafadhali!
 
Your days are numbered endelea..!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

hahahaha i know that, tashkuru saana kama utanisaidia kwahilo send me home please come and kill me now, nimejaribu kujiua zaidi ya mara 5 nimeshindwa kama utaweza kuniua tashkuru saana, give me my freedom from everything, njaa, kiu, u snitch wenu na mabaya yote ya dunia hii, just tell me when and where takuja mwenyewe uniuwe.
asante sana mkuu
 
GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote!

Nini madhara ya kauli hii ya CHADEMA katika nyanja za kidiplomasia?
je CHADEMA kinatuma salamu gani kwa wWakenya waLIODECIDE kumpa kura za kishindo bwana Uhuru Kenyatta
Nyumbu hao
 
Back
Top Bottom