Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa. Na CCM wanajua watanzania wanaogopa kulipa gharama ya ukombozi wao.Haki ina gharama! Watanzania tunaogopa kuhesabu gharama za demokrasia.
Mkuu utaongea sana na sarakasi nyingi lakini unatakiwa ujue Tanzania ni nchi ya chama kimoja ndani ya mwamvuli wa vyama vingi 😂️😂️😂️😂️Tafsiri ya maneno yako ndiyo iko hivyo. Kama CCM wangeweza kupika watu wao wenyewe kulikuwa na haja gani kusubiri wapikwe na CHADEMA ili waende "wakale" vyeo CCM!?
Kitendo cha kusema wanaenda CCM kula vyeo ni kiashiria kimojawapo ni kwa nini CCM kumejaa watu walaji wa rasirimali za Taifa.
Kwa CCM cheo ni ulaji.
Usitakatifushe (Dogmatize) mawazo yako. Hizo post zako za kuiponda CCM hazihalalishi hoja yako hii kwamba CHADEMA na CCM ni chama kimoja.Futilia post zangu naiponda CCM sana sana lakini hii fact ichukue ili usipate kiharusi siku ukikutana na usiyoyatarajia.
Sawa ni hiari yako kukataa au kukubali nadharia.Usitakatifushe (Dogmatize) mawazo yako. Hizo post zako za kuiponda CCM hazihalalishi hoja yako hii kwamba CHADEMA na CCM ni chama kimoja.
Hii ni nadharia njama (conspiracy theory) isiyo na mashiko inayotumiwa na CCM kuwakatisha tamaa watanzania wasiwe na Imani na CHADEMA.
Mwenendo wa CCM kwa CHADEMA hauashirii kwa namna yoyote ile kuwa CHADEMA na CCM ni chama kimoja.
Kwanini usemee mioyo ya wengine kila mmoja ana shughuli!Na akili hizo zenu mkig'ang'ania madaraka mtaendelea kuwafanya warz masikini
Unafikiri Kila mtamzania mzalendo anayepost Habari njema hapa jf ni mwanasiasa?
Wengine ni tuna shughuli zetu halali hatuna mfungamano na siasa
Kabisa... Tatizo ni ajira siyo shughuli ya kufanya.Kwanini usemee mioyo ya wengine kila mmoja ana shughuli!
sawa ila bado tunaimani na misemo ya wazee chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwishoKwanza hakuna mjadala kuwa CCM inatakiwa kutolewa madarakani kwa njia yoyote ile.
Pia hakuna mjadala kuwa mpaka sasa hakuna jinsi nyingine ya kuwa na chama kingine nje ya CHADEMA cha kupambana na CCM.
Ni ukweli kwamba CHADEMA ni chama bora cha siasa kuliko vyama vyote vya siasa nchini CCM ikiwemo.
Baada ya CHADEMA kwa ubora, inafuatia CCM na vyama vingine kama vile ACT na vinginevyo viko kwenye fungu (bundle) moja.
Lakini kuitoa CCM madarakani pamoja na udhaifu wake,inataka jamii ya watanzania kwa uhalaiki wake ( amassed) kujua nini kifanyike ili kuitoa CCM madarakani.
Kuishutumu CCM kwa uovu wake ni jambo la zamani kwa sasa. Kati ya watanzania 100 watanzania 60 wanaujua uovu wa CCM kwa undani sana.
Hakuna asiyejua kuwa CCM ndiyo inaifilisi nchi hii. Watanzania wote wanajua maisha yao yanaharibiwa na CCM kuwepo madarakani.
Lakini asilimia tisini (90%) ya watanzania hawapo tayari kushiriki kwenye harakati za kuitoa CCM madarakani.
Watanzania wengi wanadhani kazi ya kuitoa CCM madarakani ni ya CHADEMA peke yao.
Kila siku wanalaumiwa ni kwa nini hawaitoi CCM madarakani. Cha kushangaza watu wengi wanaogopa kuiudhi CCM.
Huwezi kuta wafanyakazi Serikalini, wafanyabiashara, wakulima na watu wa kawaida wakipambana hadharani na CCM.
Kwa mazingira haya huwezi tarajia CHADEMA peke yao kuitoa CCM madarakani.
Kutegemea CHADEMA peke yake kuitoa CCM madarakani, ni kutarajia muujiza.
Wengine tunatamani huo mwisho tuuone sisi na siyo wajukuu zetu.sawa ila bado tunaimani na misemo ya wazee chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho
vyovyote vileWengine tunatamani huo mwisho tuuone sisi na siyo wajukuu zetu.
Kwanza hakuna mjadala kuwa CCM inatakiwa kutolewa madarakani kwa njia yoyote ile.
Pia hakuna mjadala kuwa mpaka sasa hakuna jinsi nyingine ya kuwa na chama kingine nje ya CHADEMA cha kupambana na CCM.
Ni ukweli kwamba CHADEMA ni chama bora cha siasa kuliko vyama vyote vya siasa nchini CCM ikiwemo.
Baada ya CHADEMA kwa ubora, inafuatia CCM na vyama vingine kama vile ACT na vinginevyo viko kwenye fungu (bundle) moja.
Lakini kuitoa CCM madarakani pamoja na udhaifu wake,inataka jamii ya watanzania kwa uhalaiki wake ( amassed) kujua nini kifanyike ili kuitoa CCM madarakani.
Kuishutumu CCM kwa uovu wake ni jambo la zamani kwa sasa. Kati ya watanzania 100 watanzania 60 wanaujua uovu wa CCM kwa undani sana.
Hakuna asiyejua kuwa CCM ndiyo inaifilisi nchi hii. Watanzania wote wanajua maisha yao yanaharibiwa na CCM kuwepo madarakani.
Lakini asilimia tisini (90%) ya watanzania hawapo tayari kushiriki kwenye harakati za kuitoa CCM madarakani.
Watanzania wengi wanadhani kazi ya kuitoa CCM madarakani ni ya CHADEMA peke yao.
Kila siku wanalaumiwa ni kwa nini hawaitoi CCM madarakani. Cha kushangaza watu wengi wanaogopa kuiudhi CCM.
Huwezi kuta wafanyakazi Serikalini, wafanyabiashara, wakulima na watu wa kawaida wakipambana hadharani na CCM.
Kwa mazingira haya huwezi tarajia CHADEMA peke yao kuitoa CCM madarakani.
Kutegemea CHADEMA peke yake kuitoa CCM madarakani, ni kutarajia muujiza.
Umeeleweka.Umenena vyema,
CHADEMA inategemea CCM kuitoa CCM madarakani.
Sijui kama nimeeleweka🤔
Kwan ccm hawapokei ruzuku?Pesa za serikali kwa mgongo wa chama, nyie chawa sijui mna akili gani
Na haiwezekani watu wote wawe kwenye ajira!Kabisa... Tatizo ni ajira siyo shughuli ya kufanya.
Kabisa... Lakini angalau kati ya watu 10 basi watu 9 wawe na ajira rasmi.Na haiwezekani watu wote wawe kwenye ajira!
na mission ya Chadema Sio kuitoa CCM mafarakani. Hilo ulijue tangu leo Kama ulikua bado gizani.