Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
..Silaha za moto zinatakiwa mahali ambapo Polisi wanakabiliana na mtu mwenye silaha.
Ngoja wamrefiPOLISI PWANI WASEMA WATALALA NA LISSU BARABARANI KUMLINDA.
‘’Lissu amesema atakaa pale,atalala pale,tunasema asante sana kukesha pale,na sisi tutakesha nae,ni sehemu ya kazi yetu kukesha kwenye malindo’’-Wankyo Nyigesa,RPC Pwani.
View attachment 1592260
Lissu Bwana! Kwani alikuwa hajui kuna msafara wa Waziri Mkuu? Ya nini kujitafutia Shari hisio ya lazima.
Watajuaje kama wanapoenda hao watu hawana silaha za moto?
Usilinganishe Waziri Mkuu mzalendo na huyo puppet wa mabeberuHow is it possible for Pm majaliwa but for lissu impossible?
Unaandika huku nafsi inakusutaIna maana alipotoka hamna kitimoto? Acheni sababu za uongo nyie magwanda. Huyo mgombea wenu lazima ajifunze kutii mamlaka; otherwise, tutamnyoosha hadi ashike adabu.
Utafikiri North Korea.....!!
Mbona watu mnataka kujitoa ufahamu. Tulisema tangu mwanzo Serikali iko macho hiyo michezo ya kitoto mbona inafahamika. Nyie mlisema Serikali haifanyi kazi yake, sasa nendeni mkawalete mabwana zenu wanaowatuma, ''hizi habari ziende kote ulimwenguni'' are you serious?..msafara wa Tundu Lissu una askari Polisi ambao wanamlinda.
..kila mgombea Uraisi analindwa na askari polisi 24/7.
..zaidi, Tundu Lissu hana historia ya kujihusisha na matumizi ya silaha ktk historia yake yote ya kisiasa.
Unipe pole Mimi nimetoka familia tajiri? Au mm nikupe pole wewe unayefanya biashara isiyokupa faidaUnaandika huku nafsi inakusuta
Hizo hadithi hazitoki moyoni
Unajipendekeza
Huo Ndio unafiki
Pole Sana
Wengine sio nchi yao?..Polisi hawajasema kwamba wamemzuia kwasababu ya msafara wa waziri mkuu.
..Na hata kama kungekuwa na msafara wa Waziri Mkuu hiyo haihalalishi kumzuia Tundu Lissu wakati wakiruhusu raia wengine wote.
..Kwanini wanam-single out Tundu Lissu? Kwanini wanamuonea na kumnyanyasa ktk nchi yake? This is totally unfair.
CCM na conspiracy theories.... Mtakufa Kwa kihoro.Hujui historia , umekaririshwa Mandela alitoka gerezani hai.
Tumia akili yako kujua Mandela alifia wapi ? Na alipokufa nani alivalishwa sura ya Mandela. Na alitolewa gerezani ama alizikwa wapi?
Kwa nini Winnie Mandela alikataa kulala na kivuli cha Mandela ?
Hujiulizi na kuona kifo cha Mandela fake na Mandela original ni tofauti?
Endelea kulishwa matango pori na Lisu wako.
Mkuu Lisu anapingwa kila kona!Nguvu ya Police ama wananchi? Hivi Crimea somo la Comprehension lilipita kushoto ama ni njaaa njaa mwananchi??
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
They are extremely serious.hizi habari ziende kote ulimwenguni'' are you serious?
wazili mkuu alikuwa anaenda wapi au ametoka wapi?Hao polisi walikuwa kwenye msafara wa waziri mkuu sasa kama mtu wenu anataka kuvuruga basi lazima athibitiwe vilivyo!
Mbona ya huyo aliyepiga magoti kabla ya magufuli hujamsema?WAJAMENI MUNIOMBEE
View attachment 1592231
Wengine sio nchi yao?
Unahangaika Bure na watu wa aina hii na story zao za vijiweni.Ubongo wako una dhiki ya uelewa.
Kaburi lake la huyo Mandela orijino liko wapi?
Ni nani alizibaini hizo njama na akaweka ushahidi usio na shaka kuwa Mandela amefariki na sura yake kavikwa mwingine?
Waswahili ubongo wetu umetiwa upofu na siasa za hovyo hovyo zilizo tufanya tuwe watu wa kusifu na kuabudu huku ufukara kwenye jamii zetu ukitamalaki.