Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,058
Mkuu Pasko Tunashukuru kwa mada yako yenye hoja zilizoshiba lakini Nina maswali kidogo ,Je Mama Samia ni kweli ana Nia njema na nchi yetu hasa kuketa Maafikiano ya kisiasa?
Mbona ni kama haonyeshi hivo Yani maneno yake ni tofauti na matendo yake?
Na mbona Rais Mama yetu Samia ni kama kaanza kuwa na kibri Cha madaraka ukimcheki vizuri ni kama anasema Mimi ndo Rais hamna Cha kunifanya Zaid namuona anataka kama vile aabudiwe?
Zaidi ya hapo naweza kuhitimisha kwamba haya yote yanatokea ili yake maneno ya unabii yaweze kutimia kuhusu nchi yetu kwamba inapitia gizani na ipo siku wale wote walioipitisha gizani hakika watajuta,Maana ni ngumu kuamin katika Hali ya kawaida Yani nchi kwa miaka 6 ipo kwenye sintofaham kwa chuki za kisiasa ,watu kuumizwa,kupoteza maisha na Kila aina ya dhurma Leo anakuja Rais mwingine Badala ya kuitoa nchi shimoni anaendelea tu na Hali hiyohyo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ni kama haonyeshi hivo Yani maneno yake ni tofauti na matendo yake?
Na mbona Rais Mama yetu Samia ni kama kaanza kuwa na kibri Cha madaraka ukimcheki vizuri ni kama anasema Mimi ndo Rais hamna Cha kunifanya Zaid namuona anataka kama vile aabudiwe?
Zaidi ya hapo naweza kuhitimisha kwamba haya yote yanatokea ili yake maneno ya unabii yaweze kutimia kuhusu nchi yetu kwamba inapitia gizani na ipo siku wale wote walioipitisha gizani hakika watajuta,Maana ni ngumu kuamin katika Hali ya kawaida Yani nchi kwa miaka 6 ipo kwenye sintofaham kwa chuki za kisiasa ,watu kuumizwa,kupoteza maisha na Kila aina ya dhurma Leo anakuja Rais mwingine Badala ya kuitoa nchi shimoni anaendelea tu na Hali hiyohyo .
Sent using Jamii Forums mobile app