CHADEMA siwaelewi. Bado siku 2 mwezi uishe lakini Kamati Kuu haijakutana. Why?

CHADEMA siwaelewi. Bado siku 2 mwezi uishe lakini Kamati Kuu haijakutana. Why?

Sipendi uwongo ktk maisha yangu. Chadema msinichokonoe. Toeni taarifa kuelezea sababu kwann imeshindikana KK kukutana ama kama mliudanganya umma ombeni radhi.

Moja ya sababu kubwa kwann namchukia sana JPM, ukiachilia mbali roho mbaya na ukatili aliokuwa nao ni UWONGO. Yule jamaa alikuwa anawaongopea Sana watanzania. Uwongo kwangu ni sumu. KATU sitamsamehe JPM. Nimemnanga mwaka mzima na nitaendelea

Sasa chadema niwatahadharishe, tukiufunga mwaka bila tamko lenu juu ya uwongo huu, tarehe moja January naanza kushughulika na ninyi.

Sitakagi ujinga mimi.
vipi hapo Lumumba mmecheleweshewa posho zenu? maana hii ni ishara ya njaa na kuchanganyikiwa
 
Moja ya makosa makubwa aliwahi kufanya mbowe ktk ulingo wa siasa ni hili. Historia itamhukumu.

Cha ajabu aliendelea kuwa mwenyekiti, bila aibu akagombea na uenyekiti uchaguzi mkuu uliopita! Mbowe hakupaswa kugombea tena uenyekiti ndani ya CDM, na hata sasa hastahili tena kuwa mwenyekiti wa CDM. Hayo maridhiano fake anayotaka kujionyesha ana siasa za kistaarabu ni kupotezeana muda. Brand ya CDM ilikuwa ni kupambana na CCM bila kujinyenyekeza, sasa anataka kuua brand ya CDM, na kuleta siasa za kujikomba. Kama amezeeka akae pembeni watu wenye uwezo waendelee.
 
Chairman mpya CDM- TUNDU ANTIPAS LISSU

Tundu Lisu ni sahihi, lakini kwa sasa yuko nje ya nchi, na haifahamiki ama hakuna uhakika atarudi lini. John Heche ni mtu sahihi, hata wakati wa uenyekiti wake wa Bavicha alifanya vizuri sana kwenye hamasa ya vijana wa CDM.
 
Ukweli ni kwamba bado hatuna vyama vya upinzani makini, viongozi wamevigeuza vyama vyao kama "sacos" wanapiga pesa tu!!!

Migogoro mwanzo mwisho, mfano chadema wamegeuka kuwa warina asali, NCCR vurugu wanagombea uongozi vurugu tupu!!

wanacho waza wao ni matumbo yao tu...wanaendekeza njaaa...........
afadhali kidogo ACT.

Kwa taarifa yako hata CCM sio chama makini, kipo madarakani hadi hii leo sio kwasababu ya umakini wake, bali ni kwa sababu za kihistoria, katiba ya mfumo wa chama kimoja, tume isiyo huru ya uchaguzi, na uoga wa wananchi. Hiyo migogoro michache unayoiona ndani ya vyama vya upinzani, hata CCM ipo, ila kwakuwa CCM inafaidika na uwepo wake madarakani ndio maana unataka kudhani CCM ni chama makini. Siku CCM ikitoka madarakani pamoja na ukubwa wake, itakufa kirahisi mno kama ilivyokufa KANU ya Kenya. Unapoona chama kimekaa madarakani zaidi ya miaka 50, lakini inategemea tu nguvu ya dola kukaa madarakani, basi ujue hicho sio chama.
 
CHADEMA Ni mkusanyiko wa wasaka tonge tu na fursa za upigaji,Ndio maana walishatafuna Ruzuku Hadi wakavimbiwa na kuanza kwenda kuzurula huko ulaya na marekani kupigania uraia pacha ili watoto wao Wala Ruzuku na michango yao waendelee kuzifyonza vizuri pesa zote za kikoba kinachojiita Chadema, Wamechangisha pesa kwa jina la Join The chain lakini mpaka leo haileweke Ile mifuko Nani alitokomea nayo gizani na alipata shilingi ngapi na zipi wapi mpaka leo,maana Tuliona tu makomandoo wao wakiilinda vizuri ili Mbowe asipokonywe.
 
Sipendi uwongo ktk maisha yangu. CHADEMA msinichokonoe. Toeni taarifa kuelezea sababu kwann imeshindikana KK kukutana ama kama mliudanganya umma ombeni radhi.

Moja ya sababu kubwa kwann namchukia sana JPM, ukiachilia mbali roho mbaya na ukatili aliokuwa nao ni UWONGO. Yule jamaa alikuwa anawaongopea Sana watanzania. Uwongo kwangu ni sumu. KATU sitamsamehe JPM. Nimemnanga mwaka mzima na nitaendelea

Sasa chadema niwatahadharishe, tukiufunga mwaka bila tamko lenu juu ya uwongo huu, tarehe moja January naanza kushughulika na ninyi.

Sitakagi ujinga mimi.
Ni Kweli,

Kama CDM inataka kiaminika kushika DOLA, iachane na UWONGO.

Pia kabla mwaka Kwisha tuambiwe lile DEGE lilifuata nini mbugani kukiwa GIZA, na baada ya kuondoka na mgao umeondoka😠😠
 
Ukiacha hujuma walizofanyiwa na wanazoendelea kufanyiwa wapinzani na CCM/dola hususan CDM, kwa sasa Mbowe ameshafikia mwisho wa uwezo wake. Ili CDM ibaki kwenye mstari sahihi, ni muda muafaka Mbowe kukaa pembeni na chama kuongozwa na mwenyekiti mpya. Jambo hili nimekuwa nikilisema wazi wazi kuhusu Mbowe kufikia mwisho.

Kimsingi Mbowe alipaswa kukaa pembeni mara baada ya mission Lowassa kugombea urais kwa njia ya mkato kushindikana. Kama aliona aibu kuachia baada ya Lowassa blunder, basi hakupaswa kugombea tena uenyekiti uchaguzi uliopita. Jambo hili nililisitiza kabla ya uchaguzi mkuu, na hata wakati wa uchaguzi mkuu. Na nimekuwa nikiendelea kusisitiza kuwa Mbowe kafikia mwisho. John Heche anastahili sana kuwa mwenyekiti mpya wa CDM.
Namuona DR SLAA akirudi ulingoni, Sijui chama Gani makini kitakuwa tayari kumpokea.
 
Sipendi uwongo ktk maisha yangu. CHADEMA msinichokonoe. Toeni taarifa kuelezea sababu kwann imeshindikana KK kukutana ama kama mliudanganya umma ombeni radhi.

Moja ya sababu kubwa kwann namchukia sana JPM, ukiachilia mbali roho mbaya na ukatili aliokuwa nao ni UWONGO. Yule jamaa alikuwa anawaongopea Sana watanzania. Uwongo kwangu ni sumu. KATU sitamsamehe JPM. Nimemnanga mwaka mzima na nitaendelea

Sasa chadema niwatahadharishe, tukiufunga mwaka bila tamko lenu juu ya uwongo huu, tarehe moja January naanza kushughulika na ninyi.

Sitakagi ujinga mimi.
Hapa mfipa Erythrocyte atapita kimya kimya kama hajui kusoma
 
Ni Kweli,

Kama CDM inataka kiaminika kushika DOLA, iachane na UWONGO.

Pia kabla mwaka Kwisha tuambiwe lile DEGE lilifuata nini mbugani kukiwa GIZA, na baada ya kuondoka na mgao umeondoka😠😠
MLDC- Movement for liberation and democratic change itaangalia kwa jicho la tatu tatizo la ajira kwa vijana nakutafutia permanent solutions , tunaamini katika utu wa mtu, kila mmoja anahitajika kupata basic human need kwa kufanya kazi na kulipwa ujira stahihiki , tutuweka mazingira wezeshi kwa vijana woote nchi , tutabadlisha mfumo wa elimu nchini kuanzia primary school , shule zote za umma zitakuwa zinafundisha kwa mitaala ya kiengeraza tutaondoa ubaguzi katika elimu nchi nzima , tutavunja mikataba yote isiyokuwa na tija kwa Taifa hili .....Nk.
 
Pia kabla mwaka Kwisha tuambiwe lile DEGE lilifuata nini mbugani kukiwa GIZA, na baada ya kuondoka na mgao umeondoka😠😠
Kwa hili nalo chadema wanahusika vipi? Hawa si ni mafisiemu na siri-kali yao?
 
tatizo la ajira kwa vijana nakutafutia permanent solutions ,
Hii itabakia kuwa ngonjera inayoimbwa na kila chama na kila mgombea. Lkn suala la ukosefu wa ajira na matataizo ya kiuchumi ni endelevu hakuna wa kulimaliza Ila yupo wa kulipunguza.

Kwahiyo tusidanganyane. Sipendi uwongo.
 
MLDC- Movement for liberation and democratic change itaangalia kwa jicho la tatu tatizo la ajira kwa vijana nakutafutia permanent solutions , tunaamini katika utu wa mtu, kila mmoja anahitajika kupata basic human need kwa kufanya kazi na kulipwa ujira stahihiki , tutuweka mazingira wezeshi kwa vijana woote nchi , tutabadlisha mfumo wa elimu nchini kuanzia primary school , shule zote za umma zitakuwa zinafundisha kwa mitaala ya kiengeraza tutaondoa ubaguzi katika elimu nchi nzima , tutavunja mikataba yote isiyokuwa na tija kwa Taifa hili .....Nk.
Chama unachoanzisha Leo kina mpango wa kushika DOLA lini??

Pia uwe na HAKIKA kama utazikuta salama Raslimali za Nchi kama wanyama adimu Kwa Uhujumu unaoshika Kasi!!!

Nashauri tuungane kufanya mass demonstration kupata mabadiliko ya Kweli.
 
Ni wazo zuri kuanzishisha chama. Usikate tamaa.
MLDC- Movement for liberation and democratic change itaangalia kwa jicho la tatu tatizo la ajira kwa vijana nakutafutia permanent solutions , tunaamini katika utu wa mtu, kila mmoja anahitajika kupata basic human need kwa kufanya kazi na kulipwa ujira stahihiki , tutuweka mazingira wezeshi kwa vijana woote nchi , tutabadlisha mfumo wa elimu nchini kuanzia primary school , shule zote za umma zitakuwa zinafundisha kwa mitaala ya kiengeraza tutaondoa ubaguzi katika elimu nchi nzima , tutavunja mikataba yote isiyokuwa na tija kwa Taifa hili .....Nk.
 
Namuona DR SLAA akirudi ulingoni, Sijui chama Gani makini kitakuwa tayari kumpokea.

Anaweza kuingia chama chochote, lakini sitegemei ufanisi mkubwa kutoka kwa mtu mwenye 70+. Ni muhamasishaji mzuri, lakini kutokana na mazingira mabovu ya kisiasa yaliyopo, ni vigumu kutegemea makubwa kwa mtu wa umri wake.
 
Anaweza kuingia chama chochote, lakini sitegemei ufanisi mkubwa kutoka kwa mtu mwenye 70+. Ni muhamasishaji mzuri, lakini kutokana na mazingira mabovu ya kisiasa yaliyopo, ni vigumu kutegemea makubwa kwa mtu wa umri wake.
Ukilinganisha SLAA na wanaotuhumiwa kuramba asali, Bado UBONGO wake haujatolewa, anahoji kisomi.

Umri Si tatizo kama ana DHAMIRA ya Kweli na ametuprove right kuwa alikuwa sahihi kusema LOWASSA was a LIABILITY to CDM.
 
Back
Top Bottom