CHADEMA Sumbawanga pigo jingine kwa wale Wengine

CHADEMA Sumbawanga pigo jingine kwa wale Wengine

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mwenye macho haambiwi tazama:

Screenshot_20230223-220000.jpg


Screenshot_20230223-220000~2.jpg


Kwani hata ipo siri? Inatakiwa Katiba Mpya hapo.

Ni wazi kuwa hata ule upande mwingine, salamu zitakuwa zimewafikia.

Mungu Ibariki CHADEMA.
 
Toa ujinga wako na mapicha ya miaka ya 2015.
 
Mbona umeshikwa na mchecheto?

Hizo ni picha LIVE za Mkutano wa Chadema, huko Sumbawanga.

Hivi wewe unadhani ni sababu zipi zilimfanya Mwendazake, apige marufuku mikutano ya hadhara,?

Ni Kwa sababu aliogopa dhahama za aina hiyo!😀
Tuma video clip...au jamaa alikuwa chicha?
 
Back
Top Bottom