- Thread starter
- #41
Tuna test MITAMBO kesho TUNDUMA!!!
Mtaji wa chama ni watu. Tunataka Katiba Mpya. Mwenye macho haambiwi tazama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna test MITAMBO kesho TUNDUMA!!!
Kama inauma chomoaToa ujinga wako na mapicha ya miaka ya 2015.
NiliwaambiaChawa Lucas Mwashambwa amekuwa mnyonge sana baada ya kutoswa kwenye mkeka wa madc
Kuna mtu alimtapeliKweli Bwana, mwashamba simuoni maana alikuwa anapost thread kama 100 kutwa. Nadhani uteuzi wajuzi ameachwa akakata tamaa
Ni wapi huko mkuu, Buguruni au dakika ya 89 niguse ninukeNi wazi kuwa hata ule upande mwingine, salamu zitakuwa zimewafikia.
Huyu ndio mpiga Kura tarajiwa wa CCMWakati huku kaskazini na sehemu zingine zishathibitisha wapizani ni matapeli...sumbawanga wanajidai ndio wanajua upinza kwa sasa...hii ni sawa sawa na watu wameshavaa nguo fulani wameichoka nakuitupa wengine ndio wanaanza kununu kama fashion.
Huko sumbawanga ni matakoni mwa Tanzania
Ni wapi huko mkuu, Buguruni au dakika ya 89 niguse ninuke
Katibu mwenezi wa CCM. Halafu mtegemee la maana toka hiki Chama?Wakati huku kaskazini na sehemu zingine zishathibitisha wapizani ni matapeli...sumbawanga wanajidai ndio wanajua upinza kwa sasa...hii ni sawa sawa na watu wameshavaa nguo fulani wameichoka nakuitupa wengine ndio wanaanza kununu kama fashion.
Huko sumbawanga ni matakoni mwa Tanzania