Kwa sababu hakuna anayeweza kuwaziwia.Hivi kwanini ccm huwa wanapenda kuiba pesa ya imma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu hakuna anayeweza kuwaziwia.Hivi kwanini ccm huwa wanapenda kuiba pesa ya imma?
Mungu Ibariki Chadema ErythrocyteMwenye macho haambiwi tazama:
View attachment 2527886
View attachment 2527887
Kwani hata ipo siri? Inatakiwa Katiba Mpya hapo.
Ni wazi kuwa hata ule upande mwingine, salamu zitakuwa zimewafikia.
Mungu Ibariki CHADEMA.
Propaganda tu...Mbona tuliambiwa na Machawa/ Viroboto kuwa hiki chama hakipo tena?
Mimi nakosa kabisa hata neno la kusema. Hiki chama kwa kweli ni mpango wa Mungu maana kila baya linalopangwa dhidi yake linakwama.Mungu Ibariki Chadema Erythrocyte
PoweeeeeeerChadema ni mpango wa Mungu.
Peopleeeees
Nirushie tafadhari humuHotuba ya leo Sumbawanga ni MTITI....
Hongera Kamanda MBOWE !!!!
Umemaliza kazi! Asante sanaKama hakuna chama kikubwa cha upinzani kuliko vingine itisha mkutano kesho ndiyo tujue nani mkubwa.
Ukinga ipi? Utajuta kuliona chadema! Huu ni mpango wa Mungu na si Bure.Toa ujinga wako na mapicha ya miaka ya 2015.
Tinduma yote ni Chadema, kitu kikubwa usiombe kesho. Jamani watutupie liveTuna test MITAMBO kesho TUNDUMA!!!
Kabisa Mkuu......Tinduma yote ni Chadema, kitu kikubwa usiombe kesho. Jamani watutupie live
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kufichama!!!Mrejesho kutokea Sumbawanga hauko upande wao. Kusini wanasema watakuwa wameamua kufichama. [emoji1787][emoji1787]
huyu mzee bado yupo
Eti CHADEMA inakufa [emoji23]Mwenye macho haambiwi tazama:
View attachment 2527886
View attachment 2527887
Kwani hata ipo siri? Inatakiwa Katiba Mpya hapo.
Ni wazi kuwa hata ule upande mwingine, salamu zitakuwa zimewafikia.
Mungu Ibariki CHADEMA.
Kumbe!!!!Kantrewaidi tangia agongewe kawa kimya sana ,sijamuona na habari zake za upotoshaji tena.
.Eti CHADEMA inakufa [emoji23]
WanajifarijiEti CHADEMA inakufa [emoji23]
Muacheni Mzee Mapesa kwa stress za kufiwa na Magu.