Uchaguzi 2020 CHADEMA: Taarifa tulizo nazo zinaonyesha Kampuni yenye makada wa CCM ndiyo itachapisha karatasi za kupigia kura...

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Taarifa tulizo nazo zinaonyesha Kampuni yenye makada wa CCM ndiyo itachapisha karatasi za kupigia kura...

Mambo ya Chato air port na daraja la Busisi wanataka kuyaleta kwenye uchaguzi mkuu.
 
Dah hawa jamaa punguani kweli kweli, si ndiyo hao walidai ujenzi wa bwawa la stigler haukufuata taratibu? Baada ya kushushiwa nondo haya wamekuja na mapya tena. Hivi mnadhani serikali ya awamu ya tano inabahatisha? Jiulizeni mlivyoumbuka corona na huu uchaguzi umewabua uchi wa mnyama, mmejulikana ni vibaraka wa wazungu mpaka mkakodisha mzungu awasemee, hakika mlishashindwa vibaya mno na historia ilishawahukumu kwa usaliti
Naskia toka jana unajichubua ili nawe uwe kama mgombea wa temeke,meko akupe udc...tumia jiki n maji ya betri utakua kama kabula
 
Mbona kampuni iliyoshinda ilitangazwa kitambo na kwenye magazeti hii habari iliandikwa?

Link: South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers
Screenshot_20201010-181857_Chrome.jpg
 
CHADEMA waache uwoga wasuburi October tuwachape, waliyataka wenyewe kumsimamisha msaliti wa Nchi
 
Utakuta Nec kuna mtu anadanganya wasifate prosija za uchaguzi alafu wakipelekwa kwenye ushahidi waonekane kituko na awakane siyo yeye, maana huwezi kupiga watu picha na electrical system alafu uchapishe majina bila picha sasa kila mtu si anaweza kuchapisha hata majina ya kampuni yake akasema yametoka nec, hivi walizani uchaguzi ni kula supu na usiku kurudi nyumbani kulala? Hiyo kazi kila wanachofanya kinatakiwa kiwe clear and neat hata wakikulupuliwa usiku kila kitu kiwe sawa Mambo ya ushambenga watuachie sisi na wanasiasa.
 
Wajibu ASAP Wasifanye watu hawana akili
Ni haki ya Vyama vyote kuhakiki na kusimamia karatasi za kura
Huu mfumo wa kuenda kituoni kupiga kura utafutiwe ufumbuzi
Vituo viwe makanisa misikiti shule sio ofisi za kata sijui serikali za mtaa ( najisemea tu)
There not serious on burning issues
 
Kama waliua mwanafunzi wa chuo Iringa, mwananchi wa kawaida Mbeya; na kule Pemba kupiga watu mapanga na kuchoma maskani za CCM hawashindwi kuhujumu uchaguzi kwa kuvamia kampuni inayochapisha, na kuiba karatasi, kuichoma moto, kuwatisha wafanyakazi, ama hata kuwahonga pesa
Alisikika akiomba uteuzi kwa njia ya kusingizia CHADEMA
 
Wapwa

Wakati mgombea uraisi wa Chadema akianza tena kampeni zake baada ya kutumikia kifungo cha siku 8 kutoka tume ya Taifa ya uchaguzi NEC, leo tena Chadema kupitia katibu mkuu wake ameiomba NEC iweke wazi kampuni iliyoshinda zabuni kushapisha ballot papers na mchakato mzima wa kuipata ulivyofanyika

Tusubiria NEC watasemaje



Source : Watetezi TV

Haki huinua Taifa

Mgombea wa CCM anafanya Kampeni siku 2 then analala Wiki nzima Kumbe amehakikishiwa Wapiga kura wako Jamana Printers pumbavu
 
Wapwa

Wakati mgombea uraisi wa Chadema akianza tena kampeni zake baada ya kutumikia kifungo cha siku 8 kutoka tume ya Taifa ya uchaguzi NEC, leo tena Chadema kupitia katibu mkuu wake ameiomba NEC iweke wazi kampuni iliyoshinda zabuni kushapisha ballot papers na mchakato mzima wa kuipata ulivyofanyika

Tusubiria NEC watasemaje



Source : Watetezi TV

Haki huinua Taifa


Hawa lugha za kuwaomba huwa hawazielewi.

Bila minimum force hawawezi kuleta mrejesho hao.
 
Wapwa

Wakati mgombea uraisi wa Chadema akianza tena kampeni zake baada ya kutumikia kifungo cha siku 8 kutoka tume ya Taifa ya uchaguzi NEC, leo tena Chadema kupitia katibu mkuu wake ameiomba NEC iweke wazi kampuni iliyoshinda zabuni kushapisha ballot papers na mchakato mzima wa kuipata ulivyofanyika

Tusubiria NEC watasemaje



Source : Watetezi TV

Haki huinua Taifa
Hizi ni dalili za wazi kabisa za kuishiwa sera mmeona hamna Cha kusema jukwaani Sasa mmehamia kwenye zabubi? Kwa kweli napata mashaka na wapinzani wa nchi hii
 
Back
Top Bottom