Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Dah hawa jamaa punguani kweli kweli, si ndiyo hao walidai ujenzi wa bwawa la stigler haukufuata taratibu? Baada ya kushushiwa nondo haya wamekuja na mapya tena. Hivi mnadhani serikali ya awamu ya tano inabahatisha? Jiulizeni mlivyoumbuka corona na huu uchaguzi umewabua uchi wa mnyama, mmejulikana ni vibaraka wa wazungu mpaka mkakodisha mzungu awasemee, hakika mlishashindwa vibaya mno na historia ilishawahukumu kwa usaliti
Unaandika mifano mingi ukidhani ndio utatupoteza kwenye hoja ya msingi. Ungejibu tu nani mzabuni wa kuprint karatasi za kura. Hiyo mifano mingi ni kutaka kututoa kwenye hoja ya msingi. Kwa taarifa yako hata waliopendekeza mbinu hii, wanajua kabisa togwa limeingia nzi.