Uchaguzi 2020 CHADEMA: Taarifa tulizo nazo zinaonyesha Kampuni yenye makada wa CCM ndiyo itachapisha karatasi za kupigia kura...

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Taarifa tulizo nazo zinaonyesha Kampuni yenye makada wa CCM ndiyo itachapisha karatasi za kupigia kura...

Dah hawa jamaa punguani kweli kweli, si ndiyo hao walidai ujenzi wa bwawa la stigler haukufuata taratibu? Baada ya kushushiwa nondo haya wamekuja na mapya tena. Hivi mnadhani serikali ya awamu ya tano inabahatisha? Jiulizeni mlivyoumbuka corona na huu uchaguzi umewabua uchi wa mnyama, mmejulikana ni vibaraka wa wazungu mpaka mkakodisha mzungu awasemee, hakika mlishashindwa vibaya mno na historia ilishawahukumu kwa usaliti

Unaandika mifano mingi ukidhani ndio utatupoteza kwenye hoja ya msingi. Ungejibu tu nani mzabuni wa kuprint karatasi za kura. Hiyo mifano mingi ni kutaka kututoa kwenye hoja ya msingi. Kwa taarifa yako hata waliopendekeza mbinu hii, wanajua kabisa togwa limeingia nzi.
 
Unaandika mifano mingi ukidhani ndio utatupoteza kwenye hoja ya msingi. Ungejibu tu nani mzabuni wa kuprint karatasi za kura. Hiyo mifano mingi ni kutaka kututoa kwenye hoja ya msingi. Kwa taarifa yako hata waliopendekeza mbinu hii, wanajua kabisa togwa limeingia nzi.
South African firm, Ms Ren-Form CC, will print ballot papers for the October General Election after winning a Sh14.4 billion tender.

The company was awarded the tender in May after defeating a Dubai-based firm, Ms Al Ghurair Printing and Publishing LLC, that is also known to have supplied ballot papers for the just-ended Malawi presidential election re-run

Source gazeti la The Citizen la Tarehe 30 June 2020.

Link:
South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers
 
South African firm, Ms Ren-Form CC, will print ballot papers for the October General Election after winning a Sh14.4 billion tender.

The company was awarded the tender in May after defeating a Dubai-based firm, Ms Al Ghurair Printing and Publishing LLC, that is also known to have supplied ballot papers for the just-ended Malawi presidential election re-run

Source gazeti la The Citizen la Tarehe 30 June 2020.

Link: South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers

Tunasubiri majibu ya NEC na wataweka ushahidi wa hiyo tender. Hii ni ya kusambaza dunia nzima ili kila mtu ajiridhishe na ukweli wa hilo.
 
mmeanza kutafuta sababu hivyo kabla hata tarehe 28/10 haijafika, unachopswa kuelewa ni hiki hata karatasi za kupigia kura zingeandaliwa na tanzania daima, mwenyekiti wa tume awe Edwin Mtei na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi awe Allute Mghwai Lisu Chadema na Tundu Lisu wenu hamtoboi kwa CCM na Magufuli.
Sisi hatutaki ushindi wa mezani,tunataka haki ifanyike
 
mmeanza kutafuta sababu hivyo kabla hata tarehe 28/10 haijafika, unachopswa kuelewa ni hiki hata karatasi za kupigia kura zingeandaliwa na tanzania daima, mwenyekiti wa tume awe Edwin Mtei na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi awe Allute Mghwai Lisu Chadema na Tundu Lisu wenu hamtoboi kwa CCM na Magufuli.

Hatuna tatizo lolote la kushindwa, tunataka mshindi halali full stop.
 
Tunasubiri majibu ya NEC na wataweka ushahidi wa hiyo tender. Hii ni ya kusambaza dunia nzima ili kila mtu ajiridhishe na ukweli wa hilo.
Wewe unataka majibu ya NEC au unataka kujua nani alieshinda tender?
Coz mwanzoni ulitaka uambiwe nani kashinda, umeambiwa now umebadili gia angani.

By theway mbona dunia inajua nani kashinda hio tender tangu mwezi June?Mnataka tujue mara ngapi labda?
Are you guys tryn to send a reminder to the world or telling them something they already knew about?
au mnataka muwasambazie kitu gani kipya wasichokijua kuhusu io tender?
 
Hatuna tatizo lolote la kushindwa, tunataka mshindi halali full stop.
Nyie wajinga kweli kweli, hivi nani atawapigia kura watu wenyewe ni vibaraka?? Mtakuwa mlikuwa mmejiandaa kijinga na makaratasi ya kuibia kura imekula kwenu wapumbavu kabisa. Ngoja uchaguzi uishe muone mtakavyopata tabu vibaraka wa mabeberu, lazima muhame nchi, maana hatutaki wasaliti ktk nchi yetu, lazima tuwakomeshe wajinga kabisa
 
Wewe unataka majibu ya NEC au unataka kujua nani alieshinda tender?
Coz mwanzoni ulitaka uambiwe nani kashinda, umeambiwa nao umebadili gia angani.

By theway mbona dunia inajua nani kashinda hio tender tangu mwezi June?Mnataka tujue mara ngapi labda?
Are you guys tryn to send a reminder to the world or telling them something they already knew about?

Tume ndio wako responsible na majibu, ww sio mamlaka husika. Sina tatizo na maelezo yako lakini ww sio reliable source, uko na fake I'd ni kipi naweza kutegemea toka kwako? Kwahiyo nitegemee matokeo ya kura kwako?
 
Wajibu ASAP Wasifanye watu hawana akili
Ni haki ya Vyama vyote kuhakiki na kusimamia karatasi za kura
Huu mfumo wa kuenda kituoni kupiga kura utafutiwe ufumbuzi
Vituo viwe makanisa misikiti shule sio ofisi za kata sijui serikali za mtaa ( najisemea tu)
Tena ni wajibu wa kila chama kujua ni karatasi ngapi zimetengenezwa ili kuzuia mianya ya wizi sio kupelekwa pelekwa tuu
 
Nyie wajinga kweli kweli, hivi nani atawapigia kura watu wenyewe ni vibaraka?? Mtakuwa mlikuwa mmejiandaa kijinga na makaratasi ya kuibia kura imekula kwenu wapumbavu kabisa. Ngoja uchaguzi uishe muone mtakavyopata tabu vibaraka wa mabeberu, lazima muhame nchi, maana hatutaki wasaliti ktk nchi yetu, lazima tuwakomeshe wajinga kabisa

Tuko kwenye nchi hii toka tumezaliwa, mbona hatujawahi kuondoka mbali ya unyama tuliofanyiwa? Au huo unyama utazidi wa hii miaka mitano inayoisha? Kura za halali kwetu sio za kutafuta, tunazo kibao, labda useme kingine lakini sio kura.
 
Ushahidi wa kupeleka/kujenga hoja ICC huanza kukusanywa kupitia mambo/matukio ya aina hii.
 
Yote hayo ni maendeleo ya vitu pia Jamana Printers watashitakiwa MIGA
 
Back
Top Bottom