Uchaguzi 2020 CHADEMA: Taarifa tulizo nazo zinaonyesha Kampuni yenye makada wa CCM ndiyo itachapisha karatasi za kupigia kura...

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Taarifa tulizo nazo zinaonyesha Kampuni yenye makada wa CCM ndiyo itachapisha karatasi za kupigia kura...

Wapwa

Wakati mgombea uraisi wa Chadema akianza tena kampeni zake baada ya kutumikia kifungo cha siku 8 kutoka tume ya Taifa ya uchaguzi NEC, leo tena Chadema kupitia katibu mkuu wake ameiomba NEC iweke wazi kampuni iliyoshinda zabuni kushapisha ballot papers na mchakato mzima wa kuipata ulivyofanyika

Tusubiria NEC watasemaje



Source : Watetezi TV

Haki huinua Taifa

kwani nao waliomba tenda?
 
Hapo sasa na usikute zimechapwa na mayanga construction and papers Ltd ambapo nafasi ya Lissu ukiweka wino unafutika baada ya nusu saa
Sababu za kushindwa Lissu zinabuniwa kila siku. nashauri arudi kwa Amsterdam huko ughaibuni akaendelee kuitukana Tanzania.
 
Sasa chadema wamewashika "CCM na NEC "sehemu za' SIRI"
hakuna lolote hapo ,mnunuzi wa vifaa hivyo ni Chadema au Tume ya uchaguzi?Tume wao siwana tumia sheria ya manunuzi ya umma ktk manunuzi yao.chadema wanataka wajue na karatasi zilipo chapishiwa ulikwisha ona wapi utopolo wa namna hii,ili nao wakale dili huko waje na zakwao?wanaomba waujue mfumo wa kuhesabu kura unavyofanya kazi hivi hawa wanaakili kweli?wanataka wakipewa ili waweze kuuingilia nakuja na matokeo yao Tume wana akili sana na wana weledi wakutosha.
 
Mgombea wa CCM anafanya Kampeni siku 2 then analala Wiki nzima Kumbe amehakikishiwa Wapiga kura wako Jamana Printers pumbavu

Kabisa, kila siku ccm wanasema watashinda kwa 85%+, kumbe kiburi chote ni kwakuwa wanajua watakuwa na kura za ziada toka Jamana printers. Bado walipika idadi ya wapiga kura kuwa 29m+ ili waweze kuchomeka hizo kura zao za kubumba, na kumpa Magufuli kura azitakazo. Saa hii hawataki kutoa daftari la wapiga kura lihakikiwe, maana wanajua fika siri ya hujuma itafahamika.
 
Kabisa, kila siku ccm wanasema watashinda kwa 85%+, kumbe kiburi chote ni kwakuwa wanajua watakuwa na kura za ziada toka Jamana printers. Bado walipika idadi ya wapiga kura kuwa 29m+ ili waweze kuchomeka hizo kura zao za kubumba, na kumpa Magufuli kura azitakazo. Saa hii hawataki kutoa daftari la wapiga kura lihakikiwe, maana wanajua fika siri ya hujuma itafahamika.
Sasa CHADEMA wamejua wachukue hatua
 
Hapo sasa na usikute zimechapwa na mayanga construction and papers Ltd ambapo nafasi ya Lissu ukiweka wino unafutika baada ya nusu saa
mmeanza kutafuta sababu hivyo kabla hata tarehe 28/10 haijafika, unachopswa kuelewa ni hiki hata karatasi za kupigia kura zingeandaliwa na tanzania daima, mwenyekiti wa tume awe Edwin Mtei na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi awe Allute Mghwai Lisu Chadema na Tundu Lisu wenu hamtoboi kwa CCM na Magufuli.
 
Hizi ni dalili za wazi kabisa za kuishiwa sera mmeona hamna Cha kusema jukwaani Sasa mmehamia kwenye zabubi? Kwa kweli napata mashaka na wapinzani wa nchi hii

Utaratibu wa zabuni unafahamika, taja zabuni ilitangazwa lini na mshindi alikuwa nani. Siasa za majukwaani zinaendelea kama kawaida, ni mwendawazimu tu anaweza kubaki tu na siasa za majukwaani, huku wenzake nyuma ya pazia wakitengeneza ushindi wa hila. Ni hivi hili la karatasi za kura litawapeleka pabaya. Kama mlijiandaa na ushindi wa hila basi uhuni wenu uko wazi peupe.
 
Sababu za kushindwa Lissu zinabuniwa kila siku. nashauri arudi kwa Amsterdam huko ughaibuni akaendelee kuitukana Tanzania.

Hili ni jibu la aibu baada ya kujua mtego wa ushindi wa hila uko wazi. Tunasubiri tume wajitokeze waweke wazi mchakato mzima wa tenda.
 
Dah hawa jamaa punguani kweli kweli, si ndiyo hao walidai ujenzi wa bwawa la stigler haukufuata taratibu? Baada ya kushushiwa nondo haya wamekuja na mapya tena. Hivi mnadhani serikali ya awamu ya tano inabahatisha? Jiulizeni mlivyoumbuka corona na huu uchaguzi umewabua uchi wa mnyama, mmejulikana ni vibaraka wa wazungu mpaka mkakodisha mzungu awasemee, hakika mlishashindwa vibaya mno na historia ilishawahukumu kwa usaliti
kaka usipate tabu, ukiona hivyo ujue ngamia ashaanza kupiga magoti,hawa hata kura zote zikihesabiwa ufipa hawashindi na watasema wameibiwa.
 
hakuna lolote hapo ,mnunuzi wa vifaa hivyo ni Chadema au Tume ya uchaguzi?Tume wao siwana tumia sheria ya manunuzi ya umma ktk manunuzi yao.chadema wanataka wajue na karatasi zilipo chapishiwa ulikwisha ona wapi utopolo wa namna hii,ili nao wakale dili huko waje na zakwao?wanaomba waujue mfumo wa kuhesabu kura unavyofanya kazi hivi hawa wanaakili kweli?wanataka wakipewa ili waweze kuuingilia nakuja na matokeo yao Tume wana akili sana na wana weledi wakutosha.

Hapo ndio unajiona umetupoteza maboya ile mbaya kwa majibu hayo. Manunuzi ya umma ni jambo la wazi, wekeni wazi mchakato wa tender na mzabuni alivyopatikana. Hili suala sio jepesi kihivyo. Hapo ndio mtajua kuwa hamjui.
 
Utaratibu wa zabuni unafahamika, taja zabuni ilitangazwa lini na mshindi alikuwa nani. Siasa za majukwaani zinaendelea kama kawaida, ni mwendawazimu tu anaweza kubaki tu na siasa za majukwaani, huku wenzake nyuma ya pazia wakitengeneza ushindi wa hila. Ni hivi hili la karatasi za kura litawapeleka pabaya. Kama mlijiandaa na ushindi wa hila basi uhuni wenu uko wazi peupe.
South African firm, Ms Ren-Form CC, will print ballot papers for the October General Election after winning a Sh14.4 billion tender.

The company was awarded the tender in May after defeating a Dubai-based firm, Ms Al Ghurair Printing and Publishing LLC, that is also known to have supplied ballot papers for the just-ended Malawi presidential election re-run

Source gazeti la The Citizen la Tarehe 30 June 2020.

Link: South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers
 
Back
Top Bottom