Uchaguzi 2020 CHADEMA, TBC TV wanawaharibia kampeni ya mgombea Urais wenu Tundu Lissu; chukueni hatua sasa na haraka kabla hawajaharibu zaidi!

Uchaguzi 2020 CHADEMA, TBC TV wanawaharibia kampeni ya mgombea Urais wenu Tundu Lissu; chukueni hatua sasa na haraka kabla hawajaharibu zaidi!

Nilishasema toka mwanzo ila wakubwa(mods) waliamua kufuta Uzi wangu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wakulaumiwa hapa ni CDM... Walipaswa wawe na media yao ya kurusha matukio yao... Wanawapa watu wakati mgumu sana kutafuta taarifa zao...
Wasitegemee watu watenda tibisii kucheki matangazo yasiyo na weledi...
 
Manafiki ni Chama cha Majambazi. Wametoa TV zote za ndani kwenye ving'amuzi halafu wanauliza TBCCM mnaangalia ya nini. Ni swali la lipumbavu (lipumba is the root word).
Acheni unafki, lini mmeanza kuangalia TBC? si huwa mnaiita tbccm
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Maamuzi ya kipindi kile ya kuwafukuza Tbc mkutanoni yalikua mazuri saaaaana nashangaa sijui Mbowe alitoka wapi tena akaleta busara zake za kikuda mara naona anapiga picha na boss wa Tbc na kusema ooh tumeyamaliza sijui nini bla bla blah kibao.
 
Tukisema TBC watimuliwe ni njia, lakini njia rahisi! Wale hawatimizi wajibu wao, lakini hiyo haituzui sisi kutimiza wajibu wetu!
Kwa mfano mimi leo nilikua kwenye basi dogo, mpiga debe akawa anasifu sana ccm. Badaye mada ikawa hakuna abiria, watu hawana pesa hawasafiri, maisha magumu! Nikatumia fursa hapo hapo, nikasema; maisha yatakua bora tukimchagua Lissu tarehe 28! Mjadala ukaanzia hapo hapo, mpaka mwisho wa safari, 90% ya abiria wameweka maamuzi #NiYeYe!
Badala ya kupoteza muda kuwatukana TBC, tunaweza kuwekeza kwenye ubunifu wa kupata kura kwa TAL! Lisu atafute maelfu ya kura, lakini Sisi tumtafutie kura moja moja! Kidogo kidogo hujaza kibaba!
 
Hao TBC sasa umefika wakati wakataliwe moja kwa moja, Mbowe atoe tamko kila mpenda haki aelewe, jamaa ni wanafiki sio wa kuwaendekeza kabisa, wakomeshwe moja kwa moja.
 
å Leo tarehe 16/9/2020 nimejikuta natazama taarifa ya habari ya saa 2usiku huu kwenye TV kupitia channel ya TBC....

å Taarifa ya kwanza ilikuwa ni kuripoti matukio ya kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka huu 2020 ya vyama tofauti tofauti...

å Wa kwanza kuripotiwa ni mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli akiwa Bukoba, Kagera. Ripota wa taarifa hii, akatumia back video yenye nyomi kweli kweli na hatua kwa hatua akadadavua ujumbe na tukio alilokusudia hadhira ijue kwa ufasaha kabisa...

å Baadaye ikafuata taarifa ya mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Antipas Lissu akiwa huko mkoa wa Songwe....

å Hapa ndo mtu utachoka na kucheka kuliko kawaida kwa sababu kilichiripotiwa ni tofauti kabisa na hali halisi ilivyokuwa ktk mikutano yote ya leo. Hapa ndo unaiona "NIA OVU" ya TBC TV...

å Wanachofanya TBC ni ili mradi tu habari ya CHADEMA na Tundu Lissu imeonekana kwenye TV yao ikiwa ni kwa shingo upande tu ya kujibu lawama wanazorushiwa za upendeleo wanaoufanya waziwazi kwa CCM na mgombea wao John Magufuli...

å Alichofanya ripota wa TBC kwenye mikutano ya Tundu Lissu si kuripoti kampeni bali ni kupotosha kwa kutumia negative TV broadcasting propaganda....

å Mfano "back up video" aliyotumia ripota wa leo kule Songwe ni ya kuchekesha kuliko kawaida kinyume kabisa na hali halisi....!

å Yaani badala ya kuonesha umati wa watu waliohudhuria mkutano, kwa makusudi kabisa mwandishi anaelekeza camera yake mlimani eneo tupu lisilo na watu huku kwenye ripoti yake akisema

"....wakimsikiliza mgombea Urais huyo akisema.....!"

å Lengo la mwandishi ni ili kumfanya anayetazama TV ashangae hao watu wanaomsikiliza huyu mgombea wako wapi? Mbona ni mlima mtupu tu?

å Kwa mtazamo wangu, niwashauri CHADEMA kuwa, hakuna haja ya kuendelea kushirikiana na TBC kwenye kampeni zenu. Piga marufuku ripota wote wa TBC. Hawa ni maadui katika kambi yenu ya mapambano....

å Hawastahili kuambatana nanyi ktk mikutano yenu, hawana nia njema dhidi yenu, wako kwa ajili ya kufanya propaganda hasi dhidi mgombea wenu...

å Hawa watangazaji wa TBC ni aidha kwa kutojua au kwa makusudi kabisa na kwa "NIA OVU" dhidi ya CHADEMA na mgombea Urais Tundu Lissu wameamua kuwa unethical & unprofessional ktk tasnia ya habari. Kwanini mshirikiane na watu wa namna hii??

å Kwanini muendelee kuwa na waandishi au chombo cha habari cha namna hii chenye waandishi/watangazaji ambao unethical and unprofessional?

å Kwa hakika, uwepo wao kwenye kampeni zenu hauwaongezei chochote zaidi tu kwamba unawaharibia kwa kutoa picha hasi kwa wapiga kura dhidi ya kampeni na mgombea wenu....!

å Hamchachelewa kuchukua hatua kwa sababu BETTER LATE THAN NEVER...!!
Mnahangaika na vitu vidogo.

Kwani kituo cha television ni TBC pekee tu.

Kwanza Television yenyewe haingaliwi na wafuasi wenu ya nini kuipigia kelele.
 
Sisi waafrika akili zetu kuna wakati tunakua tumezikalia, hao TBC hawajui kwamba hizo njia wanazotumia kuwapaisha CCM ndio zinazozidi kuwapa wakati ngumu CCM.

Raia wanazidisha chuki kwao TBC na kwa CCM wenyewe, wanafikiri wakifanya hivyo ndio raia watawapenda?. Ukweli huwa haufichiki, na kadri unavyouficha ndio unajitia kitanzi zaidi.
Comrade mmeanza lini kuangalia tbc?
 
Mujini tunasema ALIKURUPUKA.

Maamuzi ya kipindi kile ya kuwafukuza Tbc mkutanoni yalikua mazuri saaaaana nashangaa sijui Mbowe alitoka wapi tena akaleta busara zake za kikuda mara naona anapiga picha na boss wa Tbc na kusema ooh tumeyamaliza sijui nini bla bla blah kibao.
 
Nmeona pia kupitia ITV .

Kwa ufupi huu uhuni Hadi Millard Ayo anao pia.


Unakuta Lissu anapouliza swali anataka mwitikio wa watu... Wao wanaiminya sauti ile, ili ionekane kama ameongea Pumba.


Lissu anaongea, wanaonyesha picha za pembezoni sanaaa ambako unakuta ni mwananchi mmoja mmoja.



NADHANI NI WAKATI MWAFAKA, KUWAFUKUZIA MBALI TBC NA ITV ,AYO .
Lissu hakubaliki comrade.
 
Siku ile niliposikia kuwa CHADEMA kupitia Mwenyekiti wao Mbowe wamewafurumusha TBC nilifurahi ila niliposikia amejirudi Kwao nilimdharau mno.
 
TUNAKUONYA MILLARD UKIENDELEA KURIPOTI HABARI ZA UCHAGUZI KWA UPENDELEO TUTAANZISHA KAMPENI YA KUKU UNFLOW HIYO PAGE YAKO MPAKA UBAKI NA FOLLOWERS 100. LEO UMERIPOTI HABARI ZA CHAMA KIMOJA TU UTAFKIRI TL HAJAFANYA MKUTANO WA HADHARA LEO.
Comrade punguza povu hujalazimishwa kumfollow. Lissu hakubaliki na wengi.
 
Hawa ndio waliomuingiza chaka Mbowe kule Mbagala, kumwambia TBC1 wamekata matangazo hali kuwa watazamaji tuwaona wakiwa live😂😂
 
å Leo tarehe 16/9/2020 nimejikuta natazama taarifa ya habari ya saa 2usiku huu kwenye TV kupitia channel ya TBC....

å Taarifa ya kwanza ilikuwa ni kuripoti matukio ya kampeni ya uchaguzi mkuu mwaka huu 2020 ya vyama tofauti tofauti...

å Wa kwanza kuripotiwa ni mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli akiwa Bukoba, Kagera. Ripota wa taarifa hii, akatumia back video yenye nyomi kweli kweli na hatua kwa hatua akadadavua ujumbe na tukio alilokusudia hadhira ijue kwa ufasaha kabisa...

å Baadaye ikafuata taarifa ya mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Antipas Lissu akiwa huko mkoa wa Songwe....

å Hapa ndo mtu utachoka na kucheka kuliko kawaida kwa sababu kilichiripotiwa ni tofauti kabisa na hali halisi ilivyokuwa ktk mikutano yote ya leo. Hapa ndo unaiona "NIA OVU" ya TBC TV...

å Wanachofanya TBC ni ili mradi tu habari ya CHADEMA na Tundu Lissu imeonekana kwenye TV yao ikiwa ni kwa shingo upande tu ya kujibu lawama wanazorushiwa za upendeleo wanaoufanya waziwazi kwa CCM na mgombea wao John Magufuli...

å Alichofanya ripota wa TBC kwenye mikutano ya Tundu Lissu si kuripoti kampeni bali ni kupotosha kwa kutumia negative TV broadcasting propaganda....

å Mfano "back up video" aliyotumia ripota wa leo kule Songwe ni ya kuchekesha kuliko kawaida kinyume kabisa na hali halisi....!

å Yaani badala ya kuonesha umati wa watu waliohudhuria mkutano, kwa makusudi kabisa mwandishi anaelekeza camera yake mlimani eneo tupu lisilo na watu huku kwenye ripoti yake akisema

"....wakimsikiliza mgombea Urais huyo akisema.....!"

å Lengo la mwandishi ni ili kumfanya anayetazama TV ashangae hao watu wanaomsikiliza huyu mgombea wako wapi? Mbona ni mlima mtupu tu?

å Kwa mtazamo wangu, niwashauri CHADEMA kuwa, hakuna haja ya kuendelea kushirikiana na TBC kwenye kampeni zenu. Piga marufuku ripota wote wa TBC. Hawa ni maadui katika kambi yenu ya mapambano....

å Hawastahili kuambatana nanyi ktk mikutano yenu, hawana nia njema dhidi yenu, wako kwa ajili ya kufanya propaganda hasi dhidi mgombea wenu...

å Hawa watangazaji wa TBC ni aidha kwa kutojua au kwa makusudi kabisa na kwa "NIA OVU" dhidi ya CHADEMA na mgombea Urais Tundu Lissu wameamua kuwa unethical & unprofessional ktk tasnia ya habari. Kwanini mshirikiane na watu wa namna hii??

å Kwanini muendelee kuwa na waandishi au chombo cha habari cha namna hii chenye waandishi/watangazaji ambao unethical and unprofessional?

å Kwa hakika, uwepo wao kwenye kampeni zenu hauwaongezei chochote zaidi tu kwamba unawaharibia kwa kutoa picha hasi kwa wapiga kura dhidi ya kampeni na mgombea wenu....!

å Hamchachelewa kuchukua hatua kwa sababu BETTER LATE THAN NEVER...!!
Tusipangiane blaza kemera yangu mwenyewe unichagulie kwa kuitizamishia
 
Back
Top Bottom